Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

Kivipi mkuu, mbona wengine wanasema kuwa muhindi ndio noma zaidi ya hao wengine?

Hana jibu huyo, sana sana atakuambia wale ni wabaguzi, wale walitesa mababu zetu 😁 mara wanaangusha mahousegirl ghorofani😁 yani mtu anaongea kwa kufuata mkumbo wa wengine ilimradi afurahishe nafsi yake 😁
 
Afadhali ya waarabu in terms of maslahi ila udini uko juu kwa hao viumbe.
Inshort watu wa Asia karibu wote ni washenzi
 
Kwanza salam zangu za leo ziwafikie popote mlipo member wenzang.
Kuna best friend wangu alikuwa anauliza swali hili hapo chini 👇
Kati ya:
1] Mchina
2] Mwaarabu
3] Muhindi
Ni race ipi ambayo ukifanya nayo kazi haiwezi kukusumbua kwa upande wa malipo na haki zako zingine za msingi?

Maana jamaa anataka ku apply kazi mtandaoni, sasa ikitokea amepata kazi kwa race zote tatu kwa mpigo na kwa wakati mmoja.

Ni wapi unafikiri akienda ataweza kupata angalau kamshahara ka kurizisha, lkn pia hawatomsumbua sumbua sana kutokana na rangi yake.

Nawakilisha.
Zote ni majanga(magarasa) matupu.
 
Awe ambae anasali lakini

Kuna watu hawapendi tu kuongea ukweli, chuki zimejaa vifuani mwao 😁😁 sio kwamba hawajui kuwa waarabu wengi wao ni watu wazuri, wakarimu, wana imani, wana huruma, yote haya wanayajua mzee, sema chuki zimetawala dhidi yao.

Nachukia sana kuona mtu anachukia race zingine, na wengine kuwapenda. Tuwapende wote bila race ya mtu.
 
Kuna watu hawapendi tu kuongea ukweli, chuki zimejaa vifuani mwao 😁😁 sio kwamba hawajui kuwa waarabu wengi wao ni watu wazuri, wakarimu, wana imani, wana huruma, yote haya wanayajua mzee, sema chuki zimetawala dhidi yao.

Nachukia sana kuona mtu anachukia race zingine, na wengine kuwapenda. Tuwapende wote bila race ya mtu.
Tena sisi weusi ndo hovyo kabisa kwa kufanyiziana.Bora hata hizo race zingine
 
Mzungu tena ambaye hajapata chawa wa kitanzania wakamjaza ujinga kichwani.

Mfano viwanda vya cement vyote TPC wazo chini ya Heidelberg waholanzi na Mbeya Cement chini ya Lafarge wanalipa wafanyakazi wao vizuri, usalama kazini unazingatiwa imefika wakati mpaka watu hawaachi kazi lakini Dangote cement huko mtwara ni vichekesho na maigizo maana Dangote mwenyewe ni ngozi nyeusi kaingiza wahindi sijui wabangladesh na South Indians wanaminya kila kitu dangote kina shida.

Kuna nafasi kila mara unaona magazetini zinatangazwa Dangote sababu ya maslahi duni.

Mambi ya migodini yako hivyo hivyo migodi ya barrick kama Tulawaka baada ya mzungu kuiachia stamico na mishahara imepungua na maslahi pia plus kufanya kazi kwa majungu.

Nioneshe mfanyakazi kwa moo aliyejenga au kwa wachina CRJE amejenga lakini wapo wafanyakazi za ndani masaki kwa wazungu wamejenga nyumba za maana hapa mjini.
 
Kwa upande wangu nitafanya kazi kwa waarabu, waarabu wana huruma na imani.

1 waarabu
2 mabeberu
3 mchina, japo siwajui kiundani

Wahindi hapana aise, mwafrika nae hapana aise japo wapo baadhi yao wana afadhali.
Mkuu ushafanya kazi na muhindi akakudhulumu au umesikia tu maneno ya vijiweni? Una ushuhuda wowote kuhusu wahindi?
 
Back
Top Bottom