Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

Kivipi? Walikunyanyasa? Walikutukana? Walikuita sokwe?
Hata mimi nimemuuliza swali kama lako lkn hajanijibu. Ndo nasubiri labda atatuletea ushuhuda wa kile alichoandika. Isiwe habari ya vijiwe vya kahawa.
 
Afadhali ya waarabu in terms of maslahi ila udini uko juu kwa hao viumbe.
Inshort watu wa Asia karibu wote ni washenzi
😂😂😂 udini kivipi mkuu, kwamba ile ya kupiga swala tano kila siku ndo udini? Kuajiri tu kina Juma, Abdallah na Hamza huku wakiwatosa kina John na Michael au ulimaanishaje?
 
Wahind smart ni kalasinga tu. Wachina smart ni kutoka mkoa wa fujiang na waarabu smart ni watu kutoka Qatar. Kwa mtizamo wangu. Ila hawa wote wanakuwa wazur pindi na wewe ukiwa smart . Mzungu yeye life ameshaliratibu so kwa mzungu hela ni material sio msingi wa furaha.
 
Mchina ana hasira za kipumbavu sana. Chelewa kazini unaweza kuishia kupigwa tai na kibarua kuota nyasi at par.
Ila malipo/riziki unayopata toka kwa mchina inatunzika na unaweza kufanyia malengo(spiritual wise)
Mwarabu na Mhindi hawa mstari wa kuwatenganisha ni mwembamba sana na ujinga ni kwamba hela atakayokupa huitoa kwa kinyongo sana na mara nyingi pesa zao zina mapepo na makafara mazito.
Ogopa sana mtu anaekupa ujira wako mkononi. Wengi wao ndo huwa wanafanya hivyo. Pesa hizi zinakuwa na manuizi mabaya na hata ukizipata hufanyii cha maana utabaki kuwa mtumwa.
Unapewa pesa za noti zinanukia marashi makali mixer matone ya damu!
 
Wewe ulishawahi kufanya kazi na mmoja wao hapo? Au ndio yale kwenye kusikia kwenye vigenge vya kahawa na chipsi!!😁
Nimefanya kazi na mhindi na mchina na mzungu, the same bro kafanya kazi na wote yaani mchina, mhindi, mwarabu na mzungu
 
Nimefanya kazi na mhindi na mchina na mzungu, the same bro kafanya kazi na wote yaani mchina, mhindi, mwarabu na mzungu
Mimi nahisi wazungu kwa upande wa malipo na kuheshim haki za mfanyakazi wako vizuri ukilinganisha na sisi wengine. Huo ni mtizamo wangu lakini mkuu.
 
Back
Top Bottom