Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 udini kivipi mkuu, kwamba ile ya kupiga swala tano kila siku ndo udini? Kuajiri tu kina Juma, Abdallah na Hamza huku wakiwatosa kina John na Michael au ulimaanishaje?Afadhali ya waarabu in terms of maslahi ila udini uko juu kwa hao viumbe.
Inshort watu wa Asia karibu wote ni washenzi
Hayo ndio na mengine pia😂😂😂 udini kivipi mkuu, kwamba ile ya kupiga swala tano kila siku ndo udini? Kuajiri tu kina Juma, Abdallah na Hamza huku wakiwatosa kina John na Michael au ulimaanishaje?
Hayo ndio na mengine pia
Nimefanya kazi na mhindi na mchina na mzungu, the same bro kafanya kazi na wote yaani mchina, mhindi, mwarabu na mzunguWewe ulishawahi kufanya kazi na mmoja wao hapo? Au ndio yale kwenye kusikia kwenye vigenge vya kahawa na chipsi!!😁
Mimi nahisi wazungu kwa upande wa malipo na kuheshim haki za mfanyakazi wako vizuri ukilinganisha na sisi wengine. Huo ni mtizamo wangu lakini mkuu.Nimefanya kazi na mhindi na mchina na mzungu, the same bro kafanya kazi na wote yaani mchina, mhindi, mwarabu na mzungu
Mkuu ushafanya kazi na muhindi akakudhulumu au umesikia tu maneno ya vijiweni? Una ushuhuda wowote kuhusu wahindi?