Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

Ni nani mwenye uwezo wa kutoa jibu la swali hili? Mimi nimechemka

Kwanza salam zangu za leo ziwafikie popote mlipo member wenzang.
Kuna best friend wangu alikuwa anauliza swali hili hapo chini [emoji116]
Kati ya:
1] Mchina
2] Mwaarabu
3] Muhindi
Ni race ipi ambayo ukifanya nayo kazi haiwezi kukusumbua kwa upande wa malipo na haki zako zingine za msingi?

Maana jamaa anataka ku apply kazi mtandaoni, sasa ikitokea amepata kazi kwa race zote tatu kwa mpigo na kwa wakati mmoja.

Ni wapi unafikiri akienda ataweza kupata angalau kamshahara ka kurizisha, lkn pia hawatomsumbua sumbua sana kutokana na rangi yake.

Nawakilisha.
Mhhh!!,Mbona km ndo walewale?.
 
Tukizungumzia races pekee, tutakuwa too general!!!

Kuna utofauti wa unafuu kutoka kampuni moja hadi nyingine bila kujali inamilikiwa na race ipi..

Kama hautajali, taja hizo kampuni ili wadau wakupe majibu mujarab!!
 
Wote hao ni maskini wenzetu ila kama kawaida kuna kiongozi kwenye kila kundi.
 
Wote hao ni maskini wenzetu ila kama kawaida kuna kiongozi kwenye kila kundi.
🤣🤣🤣 Sasa hapo kiongozi wao ni yupi? Wazee wa taichi? Wazee wa tende? Au wala pili pili?
 
Kwanza salam zangu za leo ziwafikie popote mlipo member wenzang.
Kuna best friend wangu alikuwa anauliza swali hili hapo chini 👇
Kati ya:
1] Mchina
2] Mwaarabu
3] Muhindi
Ni race ipi ambayo ukifanya nayo kazi haiwezi kukusumbua kwa upande wa malipo na haki zako zingine za msingi?

Maana jamaa anataka ku apply kazi mtandaoni, sasa ikitokea amepata kazi kwa race zote tatu kwa mpigo na kwa wakati mmoja.

Ni wapi unafikiri akienda ataweza kupata angalau kamshahara ka kurizisha, lkn pia hawatomsumbua sumbua sana kutokana na rangi yake.

Nawakilisha.
Hawa wote niwasumbufu hakuna wa afadhari, wanaonaga ni kama umefanya kazi bure
 
Back
Top Bottom