Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Mhhh!!,Mbona km ndo walewale?.Kwanza salam zangu za leo ziwafikie popote mlipo member wenzang.
Kuna best friend wangu alikuwa anauliza swali hili hapo chini [emoji116]
Kati ya:
1] Mchina
2] Mwaarabu
3] Muhindi
Ni race ipi ambayo ukifanya nayo kazi haiwezi kukusumbua kwa upande wa malipo na haki zako zingine za msingi?
Maana jamaa anataka ku apply kazi mtandaoni, sasa ikitokea amepata kazi kwa race zote tatu kwa mpigo na kwa wakati mmoja.
Ni wapi unafikiri akienda ataweza kupata angalau kamshahara ka kurizisha, lkn pia hawatomsumbua sumbua sana kutokana na rangi yake.
Nawakilisha.
Na kulegea,,Shindwa shetani shindwaπ€£π€£π€£π€£
Fanya kwa yeyote ila muibie kidogoVipi kwa wale wasiokuwa na uwezo wa kujiajiri mkuu?
Watamuhasi kabisaMwarabu nafuu
Hawa wote niwasumbufu hakuna wa afadhari, wanaonaga ni kama umefanya kazi bureKwanza salam zangu za leo ziwafikie popote mlipo member wenzang.
Kuna best friend wangu alikuwa anauliza swali hili hapo chini π
Kati ya:
1] Mchina
2] Mwaarabu
3] Muhindi
Ni race ipi ambayo ukifanya nayo kazi haiwezi kukusumbua kwa upande wa malipo na haki zako zingine za msingi?
Maana jamaa anataka ku apply kazi mtandaoni, sasa ikitokea amepata kazi kwa race zote tatu kwa mpigo na kwa wakati mmoja.
Ni wapi unafikiri akienda ataweza kupata angalau kamshahara ka kurizisha, lkn pia hawatomsumbua sumbua sana kutokana na rangi yake.
Nawakilisha.
Usiende kwa mwarabu,wana roho mbaya sana