Mchina ana hasira za kipumbavu sana. Chelewa kazini unaweza kuishia kupigwa tai na kibarua kuota nyasi at par.
Ila malipo/riziki unayopata toka kwa mchina inatunzika na unaweza kufanyia malengo(spiritual wise)
Mwarabu na Mhindi hawa mstari wa kuwatenganisha ni mwembamba sana na ujinga ni kwamba hela atakayokupa huitoa kwa kinyongo sana na mara nyingi pesa zao zina mapepo na makafara mazito.
Ogopa sana mtu anaekupa ujira wako mkononi. Wengi wao ndo huwa wanafanya hivyo. Pesa hizi zinakuwa na manuizi mabaya na hata ukizipata hufanyii cha maana utabaki kuwa mtumwa.
Unapewa pesa za noti zinanukia marashi makali mixer matone ya damu!