Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

Maybe she don't feel the position
I agree with you 100%, she is not fit for purposes. Urais hakuchaguliwa na kwahio kazi haijui. Rais makini jana ile ile bila kulalamika alitakiwa kutengua Management yote ya ATCL, Bodi yake na wote waliosaini kulipa hio nyongeza bila kuusoma mkataba wa manunuzi kwa sababu kikatiba ana hayo mamlaka. Mabilion ya pesa yanakopwa na huku kwingine yanafujwa! Kulikua hamna haja ya kulalamika hovyo hovyo, kaonesha udhaifu mkubwa.
 
Haya mambo yalikuwepo tangu zamani, unakumbuka mambo ya rada? Hata mtu akijulkana anakutishia "unanijua mimi ni nani?" Sijui kama atakuwa na mbavu za kumjibu mama vile. Mama chukuwa hatua kali, wanashusha sana uchumi, pesa yetu walala hoi ambao ndio wengi.
 
Hii nchi watu Wanameza vibaya sana
 
Kuna waliokuweka kwenye huo urais a.k.a wanaopitisha jina
 
Huu ni uchawi sasa.!
 
Brother mshana naona cha kumsaidia mama ni kumshauri uchaguzi ujao aachie madaraka . Hii nchi haitakiwi kuongozwa na mtu mwenye huruma
 
Jiwe
 
Mbaya zaidi hajasema km amegoma kulipa hiyo dola mil 88 na badala yake imelipwa ile ile ya awali dola mil37. Km kalipa hiyo iliyoongezwa haina maana kulia lia na kutafta huruma. Ntampongeza tu km amegoma kulipa.
Atagoma vipi wakati mkataba ulishasainiwa,akutane na rungu la kimkataba?
 
Hii nchi Kuna watu kina mwingilu na wenzie WANAPIGA pesa sana .mh analalama tu
Hii nchi SHERIA ya kunyongana inabidi irudishwe la sivyo nchi inaenda kufilika maana viongozi WA ngazi za juu wamekuwa na tamaa sana .

Hii inapelekea hata vijana wanaotoka chuo wakipata tu kazi wanafikiria upigaji kwanza
 
Atamkumbuka Magu, na nchi ishamshinda. Watu wanapekenyua hadi kilemba chake.
Wajanja wameishamjua mama kuwa sio makini kwenye ufuatiliaji wa malipo kwenye miradi; ndio maana upigaji umekuwa wa kutisha sio kwenye manunuzi ya ndege tu bali kwenye miradi ya reli ya SGR na kule kwenye bwawa la umeme ndio kufuru!!! Inashangaza mama anapolia lia na kuomba eti mawaziri wake wamsaidie bila yeye kujua kuwa hao hao mawaziri wake hasa huyo wa fedha ndio vinara wa upigaji!!!
Kwa bahati mbaya sisi walipa kodi ndio tutaumia na kulia sana pale mnakapotuongezea tozo ili kulipia madeni yanayotokana na wizi wa wateule wenu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…