Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

Ni nani waliongeza cha juu kwenye manunuzi ya ndege ya mizigo?

JamiiForums-1927045174.jpg
 
PM anasemaje hapa.. Maana ndio alienda hadi kiwandani
JamiiForums-915927986.jpg
 
Hizi ndege zinanunuliwa kwa sababu kuna mwanya wa kuiba pesa , si kweli kwamba Atcl inahitaji ndege,
Hitaji tunalo ila shida ipo kwenye manunuzi yaani wanaingia fisi kuongeza cha juu wapige manoti. Serikali imefanya busara kuikubali ripoti iende bungeni kujadiliwa bungeni haya ni mazingira ya uwazi. Huko nyuma prof alietumbuliwa alibainisha kuwa aliomba karatasi za manunuzi ya ndege akanyimwa. Watanzania tumshauri Rais kisayansi jinsi anaweza kukati angalau mizizi kidogo ya wizi maana inaonekana imejichimbia chini.
 
Hitaji tunalo ila shida ipo kwenye manunuzi yaani wanaingia fisi kuongeza cha juu wapige manoti. Serikali imefanya busara kuikubali ripoti iende bungeni kujadiliwa bungeni haya ni mazingira ya uwazi. Huko nyuma prof alietumbuliwa alibainisha kuwa aliomba karatasi za manunuzi ya ndege akanyimwa. Watanzania tumshauri Rais kisayansi jinsi anaweza kukati angalau mizizi kidogo ya wizi maana inaonekana imejichimbia chini.
Hasara za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa miaka 9 (2014-2022)

2014/2015 - Tsh. Bilioni 94.3
2015/2016 - Tsh. Bilioni 109.2
2016/2017 - Tsh. Bilioni 113.8
2017/2018 - Tsh. Bilioni 26.6
2018/2019 - Tsh. Bilioni 48
2019/2020 - Tsh. Bilioni 60.24
2020/2021 - Tsh. Bilioni 36.2
2021/2022 - Tsh. Bilioni 35.2

Ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), zimeendelea kuonesha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara tangu Serikali ilipoamua kulifufua kwa kununua ndege mpya 12.

ATCL imekodishwa Ndege 11 zilizonunuliwa kwa Tsh. Tril 1.47 zinazotoa huduma ya Usafiri sehemu mbalimbali ndani na nje ya Nchi, baadhi yake zimepata hitilafu za kiufundi na 1 inashikiliwa Nchini Uholanzi.
 
1: ATCL Management
2: TGFA Management
3: Ofisi ya AG
4: Ofisi ya Mlipaji Mkuu wa Serikali

Etc, hizo ofisi hawawezi kwepa hii kadhia, hizo ni fedha nyingi mnooo... Naamini hadi Mama kachukia vile, lazima kachukuza na kawaita na kujua madudu yote na upigaji wa wazi wazi, ndio maana kasema watupishe yaani wajiuzulu wao wenyewe.
Sasa wasipojiuzulu au kuachia nafasi zao, itabidi haraka Mh. Rais Mama Samia, awafukuze kazi haraka kwa barua toka Ikulu.
Hamna cha kutupisha wala nini, ilitakiwa wawe ndani.
 
Hitaji tunalo ila shida ipo kwenye manunuzi yaani wanaingia fisi kuongeza cha juu wapige manoti. Serikali imefanya busara kuikubali ripoti iende bungeni kujadiliwa bungeni haya ni mazingira ya uwazi. Huko nyuma prof alietumbuliwa alibainisha kuwa aliomba karatasi za manunuzi ya ndege akanyimwa. Watanzania tumshauri Rais kisayansi jinsi anaweza kukati angalau mizizi kidogo ya wizi maana inaonekana imejichimbia chini.
Kwa wabunge waliopatikana uchaguzi 2020 ambapo upinzani ulidhulumiwa , Bado unaamini bunge linaweza kufanya kazi yake kwa weledi?
 
Katika vitu nilivyowahi kushangaa ni hao walamba asali kwenda kutoa taarifa ya ndege ya ATCL ikamatwe huko SA na huko Ulaya ili wapate udalali kweli wahuni sio watu wana laana ya asili...sijawatofautisha na wale wanasimama mahakamani na Mama yao aliejenga nyumba wakiigombania kama mzazi mmoja alitangulia mbele za Haki...
 
Hitaji tunalo ila shida ipo kwenye manunuzi yaani wanaingia fisi kuongeza cha juu wapige manoti. Serikali imefanya busara kuikubali ripoti iende bungeni kujadiliwa bungeni haya ni mazingira ya uwazi. Huko nyuma prof alietumbuliwa alibainisha kuwa aliomba karatasi za manunuzi ya ndege akanyimwa. Watanzania tumshauri Rais kisayansi jinsi anaweza kukati angalau mizizi kidogo ya wizi maana inaonekana imejichimbia chini.
Shirika la ndege la Tz alijawahi kuleta faida yoyote na hasara ya ma billion hiyo pesa ingewekezwa kwa kupeleka maji vijijini huenda maisha ya mtazania wa kawaida yange badilika.
 
Kuna hili jingine huku..Uuuwiii kweli kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.

“Kuhusu mikopo chechefu na yenyewe unajiuliza why mikopo chechefu?, hivi ingekuwa Benki zinazotoa mikopo ni Benki binafsi kwenye rekodi zao kungekuwa na mikopo chechefu?, kusingekuwa, wetu sisi wa Serikali wanashindwa nini mpaka kunakuwa na mikopo chechefu?, kuna ushirikiano baina ya Maafisa wa Benki na hao wanaoenda kukopa, andika nitakupitishia ukipata chako hiki changu hiki, hailipiki tunasema mikopo chechefu”

“Kuna Mtu, Mfanyabiashara kakopa Benki zetu sita sijui tano Mabilioni kila Benki, kachukua fedha yetu kaitoa nje na yeye kaondoka, leo tunasema mikopo chechefu mlipompa huyu!, dhamana zote alizoweka ni feki, zote feki, kama sio ushirikiano kitu gani?

Lakini Watu wanazunguka tunawatazama, wapo na wanajua walichokifanya, hii mikopo chechefu itachechemea mpaka tujirekebishe na inapochechemea na Nchi inachechemea”

WANAJAMVI HEBU TUJUZANE HUYU ANAYETAJWA HAPA NI NANI?

View attachment 2570068
 
Hawezi, mkono wa mstaafu uko hapo.

Narudia tena, hawezi.

Hakuna wa kufukuzwa hata mmoja.

Mama kama angekuwa na uwezo huo hakupaswa kutoka na kutuambia. Tulitakiwa tuone watu ni fired bila sisi kujua kinachoendelea. Ndo uongozi.

Mama aliona Magu hana huruma. Akasahau kuwa hii nchi ina wajanja fulani wanaendesha nchi kama choo binafsi.

Atamkumbuka Magu, na nchi ishamshinda. Watu wanapekenyua hadi kilemba chake.

mkono wa rais mstaafu ndio uliowaweka walaji mama hana ubavu wa kuwaondoa ndio maana kawaomba watupishe
 
Yaani watu wezi sana, $ 49 mil ni sawa na fedha zetu tshs 114 bil, watu hawa hawajali kabisa, mimi naona Mama angewafukuza pale pale aliposema waondoke wenyewe, yaani angesema barua zao za kufukuzwa kazi zipo tayari leo baada ya kikao hiki waondoke kabisa wezi hawa wakubwa sana, sbb itakuwa ni chain kubwa ya wapigaji ktk dili hilo

Wawafukuze tu na hela zetu je? Unamfukuza kwa kumwachia mtaji? Kamata mbane arudishe mali na akafie gerezani huko
 
Baada ya ulafi wa mali za umma kuanikwa na CAG, hakika rais wetu Samia anatakiwa asaidiwe pakubwa na kwa haraka, ikiwemo kumwombea Mungu ampe ujasiri, akili na hekima itokayo juu.

Kakwama kabisa na kuishia tu kulalamika na kutukana: "...stupid..., ...pumbavu..."!

Nani ataogopa kuendelea kuiba na kula fedha za umma kwa kulalamikiwa na kutukanwa tu bila kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu na kisheria?!

hana ubavu maana wezi wamewekwa na rais mstaafu ndio maana mama kakasirika kabaki kutukana tena mwezi mtukufu
 
Hasara za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) kwa miaka 9 (2014-2022)

2014/2015 - Tsh. Bilioni 94.3
2015/2016 - Tsh. Bilioni 109.2
2016/2017 - Tsh. Bilioni 113.8
2017/2018 - Tsh. Bilioni 26.6
2018/2019 - Tsh. Bilioni 48
2019/2020 - Tsh. Bilioni 60.24
2020/2021 - Tsh. Bilioni 36.2
2021/2022 - Tsh. Bilioni 35.2

Ripoti za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), zimeendelea kuonesha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limeendelea kupata hasara tangu Serikali ilipoamua kulifufua kwa kununua ndege mpya 12.

ATCL imekodishwa Ndege 11 zilizonunuliwa kwa Tsh. Tril 1.47 zinazotoa huduma ya Usafiri sehemu mbalimbali ndani na nje ya Nchi, baadhi yake zimepata hitilafu za kiufundi na 1 inashikiliwa Nchini Uholanzi.
Duh, hatari sana!
 
Back
Top Bottom