Pre GE2025 Ni ngumu kwa mtu ambitious kuridhika na Ukuu wa Mkoa, 2025 Makonda anaingia bungeni kwa kutumia jimbo gani?

Pre GE2025 Ni ngumu kwa mtu ambitious kuridhika na Ukuu wa Mkoa, 2025 Makonda anaingia bungeni kwa kutumia jimbo gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanaomuunga mkono na kumshabikia ni masadist
Maelezo ni mengi hebu tupe hayo aliyoyafanya namafanikio yake kila alipopita kubwa analokumbukwa nikuvamia kituo akiwa na askari huyo kifupi amepoteza sifa zakuwa kiongozi lakini pia utuambie kwa utumishi wa umma na ukwasi alionao vyanzo vyake ni nini mana hatujawahi kufahamu kama ana kumbukumbu zakua mfanya biashara kwa namna yoyote.Sio kwa ubaya kama tutaendelea kuwapa sifa viongozi wa namna hii hakika tutakua na safari ndefu sana
 
Back
Top Bottom