Ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele kizazi hiki

Ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele kizazi hiki

Kijana atafute pesa kwanza hao watu hawana ungwana bila pesa wote wako vile
Nadhani ujamuelewa pitia Tena uzi wake soma kwa umakini taratibu utamuelewa na kama hauelewa nitakuelewesha
 
Sensa safii, natumai baadhi yetu tumeshatembelewa na makarani wa sensa kwa ajili ya kuchukua details zetu na wengine tumeshiriki nao chakula cha mchana.

Twende kwenye mada husika kizazi changu hiki ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele, unamtongoza mdada kwa nia nzuri kabisa ya kumfanya awe mke/mamayeyo wako wa badaye ila ghafla bin vuu anaanza kukupiga vizinga visivyoeleweka na unapata mdada anakazi yake nzuri tu na mshahara kakuzidi kwa gepu kubwa tu.

Unajiuliza maswali huu ni uchumba/urafiki tu nikiweka ndani huyu si ndio mpaka chumvi ya mia tano ikiisha ntasubiriwa hata kama ni saa nne usiku nije nitoe hela ya kununua mnaweza mkalala njaa kisa chumvi ya Shs 500 eti anakusubiri.

Sikatai kusaidiana kupo ila sio msaada unakua wa upande mmoja tu chake ni chake ila cha mwanaume nicha wote, wanashangaza sana, unajiuliza kanipenda mimi au kapenda pesa si bora angeniambia sikutaki tu.

Badilikeni wanaume nao wanamatumizi ya hizo pesa sio kwba wamekosa nazo kazi.
Nakupinga kwa asilimia zote. Sababu yangu ni hii: Watu wengi hamjui maana ya sentensi ''kutanguliza fedha mbele''. Mtu kusema au kuzingatia mwenza awe na chanzo cha mapato kwa ajili ya matumizi ya kila siku huko siyo kutanguliza fedha mbele. Watu wote duniani wanafanya kazi ili kupata kipato cha kuendeshea maisha. Mwanamke kwa mfano, atakuwa mtu mjinga sana kama atakimbilia kuolewa na mtu asiye na kipato chochote. Kutanguliza fedha mbele maana yake haswa ni ile hali ya mke/mume kupenda fedha kupita kiasi kwa hali zote bila kujali kuna kupata na kukosa.
 
Kuna demu mmoja mzuri hivi anapenda kuvaa mavazi ya kujisitiri, shape anayo ila si wa kuvaa zile nguo za kubana yeye,vitenge u sketi zile za kuachia kuna mwanagu mmoja Engineer yupo vizuri ila ni mtu ambaye yupo simple sana kimwonekano hata kimavazi ila financial yupo vizuri.

Basi si kamtokea yule binti, binti akampa namba ya simu ,kumpigia simu hata dk tano za kutambuana hazijaisha anasema ana shida ya 40000,nywele chafu, bundle limeisha na simu kioo kimepasuka.

Jamaa akapiga chini, basi yule demu akawa anamponda mwana ,ila siku anakuja kupata file la mwana alijiona bonge fala sana bada ya kujua status ya mwana.

Ficheni tamaa zenu hizo mwanzoni, mnawapoteza watu wa maana sababu ya tamaa zenu, mwana si kwamba alikuwa anashindwa kumpa hiyo hela ila kwake yy alimuona kama malaya na jamaa mwenyewe mstaarabu yule demu sasa hivi angekuwa anakula mema ya nchi.

Halafu unaweza ukakuta anapewa mimba na fala mmoja tu kisa ana gari,tena gari lenyewe la kuazima au mwana mjanja mjanja ,msanii au walamba lips wanao shinda kwenye Gym halafu hawana time na hiyo mimba.
Wewe ndio umemuelewa vizuri mtoa mada Covax Beesmom Simara njooni hapa mtoa mada azungumzii mwanaume kukosa hela au kutokuwa na hela anachozumzia wanawake wamekosa ile staha ya kiuwanawake badala yake wamejikuta wanaweka tamaa mbele. Kwasisi Wanaume tunaojitambua tunapima wanawake kutokana na matendo yao kujua je huyu ni wakugonga au wakuanzisha maisha nae
 
Nazungumia hawa omba omba wanajifanya kama special group mbovu unakuta mshahara anakuzunguka hata mara 2 ila bado tu ana omba omba pesa zako wewe mwamba umevaa kiatu mpaka kimepinda yeye anaviatu pesa 14 na bado anakuomba mpunga wa kunununa viatu
Hao sasa ndiyo wanatanguliza fedha mbele. Na mara nyingi hili hutokea kwa wanaume wanaolazimisha mapenzi. Ukiona mwanamke anakutumia namna hiyo ujue huyo hakupendi bali anapedna fedha zako. Lakini mwanamke anayetaka mwenza wake awe ni kipato cha kuendeshea maishi ili amkubali huyo hatangulizi fedha mbele bali anatanguliza kanuni za kawaida kabisa za maisha.
 
Nadhani ujamuelewa pitia Tena uzi wake soma kwa umakini taratibu utamuelewa na kama hauelewa nitakuelewesha
Naomba mkuu unieleweshe zaidi ntashukuru sanaa kwa ufafanuzi wako
 
ukichukua namba ya mwanamke ikapita siku 3 toka muanze kuchat hajasema ana shida ya vocha vocha...anaumwa...hajalaaa...kodi imeishaa...gas imeisha...anataka akasuke ila hana hela AISEEE huyo kidogo anajitambua. ila siku hizi ukiomba namba cha kwanza mwanamke anakuwa yatima hapo hapooo wew nod unakuwa baba yake 😀 😀
 
Wewe ndio umemuelewa vizuri mtoa mada Covax Beesmom Simara njooni hapa mtoa mada azungumzii mwanaume kukosa hela au kutokuwa na hela anachozumzia wanawake wamekosa ile staha ya kiuwanawake badala yake wamejikuta wanaweka tamaa mbele. Kwasisi Wanaume tunaojitambua tunapima wanawake kutokana na matendo yao kujua je huyu ni wakugonga au wakuanzisha maisha nae
Kwahiyo tumsaidiaje Sasa?🙄😏😠
 
Wewe ndio umemuelewa vizuri mtoa mada Covax Beesmom Simara njooni hapa mtoa mada azungumzii mwanaume kukosa hela au kutokuwa na hela anachozumzia wanawake wamekosa ile staha ya kiuwanawake badala yake wamejikuta wanaweka tamaa mbele. Kwasisi Wanaume tunaojitambua tunapima wanawake kutokana na matendo yao kujua je huyu ni wakugonga au wakuanzisha maisha nae

Okaay nimekuelewa Mkuu
 
Sisi wanawake tuna shida sana, unapenda hela ili hali wewe mwenyewe hata elfu 10 huwezi tafuta? Mimi mahusiano yangu hayajajengwa au hayapo kwa ajili ya kupata hela kwa mwanaume. Tupo kwa ajili ya ku enjoy na kujenga familia.
Dada unajitambua hiv umetoka kabila gani?
 
Dada unajitambua hiv umetoka kabila gani?
Kabila sidhani kama linamfanya mtu ajitambue, maana kuna wa kabila langu pia wana tabia hizo. Wanawake tusipojitambua tutashushwa thamani yetu. Na kadri siku zinavyozidi kwenda ,haya mambo ya kupewa pesa hayatakuwepo unless uwe unajiuza.
 
Wewe ndio umemuelewa vizuri mtoa mada Covax Beesmom Simara njooni hapa mtoa mada azungumzii mwanaume kukosa hela au kutokuwa na hela anachozumzia wanawake wamekosa ile staha ya kiuwanawake badala yake wamejikuta wanaweka tamaa mbele. Kwasisi Wanaume tunaojitambua tunapima wanawake kutokana na matendo yao kujua je huyu ni wakugonga au wakuanzisha maisha nae
Wengi ni wakugonga tuu mwanawane. Wakuweka ndani ni wacahache sana. Wanawake wenyewe wanakuja na kauli mbofu mbofu eti hela yangu nitachangia nikitaka....sasa nani anataka mwanamke kama huyo awe mke.
 
Back
Top Bottom