Utu uzima dawaKuna co-worker wa kiume miaka 38 aliniambia ukiwa mtu mzima huwezi kumuacha mwanamke kisa ame cheat
Hahaha wee mwenyewe si unanijuaSawa mkuu lol umetapika yote...[emoji16]
am better here
AkhaaaBasi tutakulana kimasihara tu
una hela bro ?Mimi ukiniheshimu na kutokuonyesha dalili yoyote ya kucheat...umeniweza.
Mpende mama yake mzazi au wadogo zake na pia Kama unawifi wapende pia halafu ulete mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakunaga kusaidiwa wewe.
Nije tuyajenge ?Akhaaa
Nikikukamata unapooza nitakufanya hamnaUtu uzima dawa
Ni kama vile kuacha mume kisa kacheat..inahusuu
Kila mtu anapooza engine mnakutana home kimya kimyaa
We unapooza ama umetulia home tu?.Nikikukamata unapooza nitakufanya hamna
Hujapata majibu bado ?Wakuu kwema
Moja kwa moja kwenye mada.
Ikiwa kumpa ngono haimfanyi mwanaume kukuoa, wala kumzalia mwana pia haimfanyi mwanaume kukuoa je, nini hasa itapelekea mwanaume ulie nae akupe heshima ya ndoa?
Maana wengine wanabadili hadi dini ili kumridhisha mwanaume lakini bado haolewi. Hata ukijitahidi kuwa mwenye heshima au tabia njema utakuta anaenda oa kwingine. Au ndoa ni fate?
Karibuni kwa ushauri
am better here
Kwa hiyo ndoa lini ?Nimepata mkuu nashukuru sana....
am better here
Unataka kuniuzia nini?
Yupo sahihi hasa kwenye ndoa.... ila hamuwezi kuwa na amani tena kama ilivyokuwa mwanzo.Kuna co-worker wa kiume miaka 38 aliniambia ukiwa mtu mzima huwezi kumuacha mwanamke kisa ame cheat
ππππTufanye kweli basi
Tena tukioana kipindi hiki cha corona gharama zitakuwa ndogo na hakutakuwa na idadi kubwa ya watu isiyo na umuhimu
Sema neno tu mpenz na Pm yako itapata ugeni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ndio maana wanaume wanakufa mapemaYupo sahihi hasa kwenye ndoa.... ila hamuwezi kuwa na amani tena kama ilivyokuwa mwanzo.
Wanawake wanaweza kusamehe kwenye usaliti na wakasahau ila sisi halitoki...hadi utakufa nalo....
Mimi mwaminifu kama mtoto mchangaWe unapooza ama umetulia home tu?.
kitu kikubwa mwanaume anachokiangalia kwny kusaka mke sio heshima na utiifu peke yake , Maana hizo Sifa hata Malaya ukimpa pesa atakuheshimu na kukutii, , MWANAUME anaangalia mwanamke ataweza kuitengeneza future yake, mwanamke atakaekua msaada wa kukamilisha ndoto zake ...na ndio maana halisi ya mwanamke kuwa msaidizi.
Sent using Jamii Forums mobile app