Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hakuna kitu sipendi kama hii ya mtu kuinama alafu mistari ya tako ipo wazi juuKwa wasichana kulinda kitumbua kwa mvulana kulinda heshima maana ni aibu mwanaume kuinama wakati unafanya kazi, tako likabaki wazi.View attachment 2964528
Bila chochote kwa wewe sawa ila kwa mwanaume inaleta ukakasi kidogoHutakiwi kuvaa chochote
๐ณ๐๐ฝโโ๏ธBila chochote kwa wewe sawa ila kwa mwanaume inaleta ukakasi kidogo
Kweli!๐ณ๐๐ฝโโ๏ธ
Adamu na hawa wap ? Wakati juzi juzi apa Africa tulikua tunatembea uchi .Chimbuko Eden Mungu alipomuita Adam badala ya kula tunda, ndipo Adamu na hawa kutafuta majani na kutengeneza chupi ya majani na kujistiri.!! Hope umeridhika na jibu langu mujarabu
Mkeka ushachanika huo๐Nirudishie mbegu mahindi yashakomaa yanakauka kwa kuvunwa Daddy?
Kwani nyekundu ,nyeusi na njano zina shida gani wakati ni za ndani tu?Nadhani ni mazoea na ni kitu kizuri siwezi kutoka hata nje tu bila kuvaa chupi๐ ila isiwe rangi nyekundu, njano or nyeusi aah
๐คฃ em huko๐Mkeka ushachanika huo๐
Alafu unakuta una nywele sasa๐Heri tako zima liwe wazi kuliko ule mstari wa bonde kuonekana aise! ๐
Angalia niliyemquote mkuuUnanitega
Tunasemea chanzo au chimbuko, Africa tulichelewa sababu ya kukaa mwisho wa duniaAdamu na hawa wap ? Wakati juzi juzi apa Africa tulikua tunatembea uchi .
Kwaiyo Afrika iko matakoni mwa Dunia๐๐Tunasemea chanzo au chimbuko, Africa tulichelewa sababu ya kukaa mwisho wa dunia