Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Waziri mkuu anakosa kazi hadi anaishia kuponda barakoa za mabeberu wakati huo huo kavaa suti iliyonunuliwa kwa mabeberu.Kwa hiyo ni kama katibu wa serikali. Ana kazi muhimu sana. Kwa nini hii kazi asiifanye waziri mkuu na badala yake PM anazururazurura tu?
Naona umeamua kukufuru, tubu mapema sanaYaani ni kama Mungu na mwanae wa pekee, Yesu Kristo, ukaribu wa Mkuu wa nchi na Katibu Mkuu kiongozi. Sijui umeelewa? Maana tukikupa vifungu vya sheria ujue wajibu wa CS, hutajua vema. Umeelewa au bado umelewa?
Uliwahi kumrushia hata kibunzi tu halafu ukaachwa uendelee na mishe zako ?Hapa napata swali lingine...
Mbona kama hakuwa na ulinzi wa kumlinda kivileee.. maana kwa maelezo yako.. yeye ni mtu mwenye siri nyingi sana za nchi
Well elaboratedNdiyo Msimamizi Wa Watumishi Wote Wa Serikali Huku Tanganyika!! Presidential Appointee Wote Wanapoapa Yupo Pembeni, Mpaka Rais
Balozi Ombeni Sefue alipostaafu hakwenda popote kuwa balozi.Katibu Mkuu Kiongozi ni Mtendaji Mkuu wa Serikali. NinKatibu wa Baraza la Mawaziri. Yeye ni Mtumishi wa Umma. Huteuliwa na Rais lkn husalia ofisini pindi Rais anapomaliza muda wake na humpokea Rais ajaye. Rais ajaye huamua kuendelea naye au kuteua mwingine. Nilichokiona kila Rais hupenda kwenda na safu yake. Tatizo ukiondolewa kwenye hiyo nafasi lazima utapewa ubalozi tu akaishi huko uhamishoni ili usiathiri huku
Kwa ninavyoelewa waziri ni msimamizi wa sera bt katibu mtendaji na ndio mwajili wa watumishi kwenye wizara husikaTofauti ya waziri na katibu wa wizara unaijua?
Apa kuna mkanganyiko na majukumu wa katibu wa ikulu ni yapi?Ndiye administrator mkuu wa ikulu anayesimamia mambo ya kiutawala kwa wafanyakazi wote wa Ikulu pamoja na wale walioteuliwa na rais. Kwa marekani anaitwa Chief of Staff.
Designates Survivor,Red Giant kama ni mpenzi wa series pakua na angalia moja inaitwa Designated Survivor utaelewa kazi ya katibu mkuu kiongozi, kule wanaita Chief of staff.
Huenda hata wasomi wengi wakiulizwa hawatatoa majibu sahihi, tujifunze tu kila siku.Kuna vilaza wengi huko mitaani hawajui hata katibu mkuu kiongozi ni nani hasa wamama,mwajabu Madela wa tandale ukimwambia katibu mkuu kiongozi hakuelewi
Kwa mnao mlinganisha chief secretary na chief of staff Wa marekani mnakosea. Mamlaka ya chief of staff Wa marekani yanaanza Na kuishia west wing. Hakuna chief of staff Mwenye mamlaka kwenye wizara yeyote marekani. Kwetu chief secretary ni Mkubwa Wa makatibu wakuu wrote. Kwenye utumishi wa uma usiokua Na siasa hakuna Mkubwa kumzidi. Yeye ni mkuu Wa utumishi Wa umma maana yake ndo mtumishi Wa umma namba moja. Pia ni katibu Wa baraza la mawaziri. Ni mjumbe asiyekua na kura kwenye baraza la mawaziri. Huandaa ratiba Na mihutasari ya yatokanayo na vikao hivo. Yeye ndiye mshauri namba moja Wa raising kuhusu mambo ya utendaji Wa serikali. Ndo kiungo kati ya siasa Na utendaji.
Unataka awe na ulinzi kama wa Makonda?Gari anayotumia sio STK bali CS (chief secretary).Naamini alikuwa analindwa vizuri na ni mtu aliyekuwa very busy.
Anyway awamu hii kuna matumizi mabaya ya ving'ora na misafara kwani hiyo ni haki yako kuona kama alikuwa halindwi sana (relative to other state officials)
Pia ni mw/kiti wa wakuu wa vyombo vya usalama. Ni kiongozi mkubwa .Hapana umekosea. Katibu mkuu wa Ikulu yupo na ana majukumu kama ya makatibu wakuu wengine wa wizara.
Katibu mkuu kiongozi siyo Chief of Staff bali ni Chief Secretary na ndiye mwenyekiti wa makatibu wakuu wengine wa wizara. Yeye ni mkuu wa watumishi wa umma wote yakiwemo mashirika na taasisi za serikali. Yeye ndiye katibu wa Baraza la mawaziri ambalo mwenyekiti wake ni Rais.
Ndiyo maana umeambiwa Katibu mkuu kiongozyni mtendaji zaidi lakini waziri mkuu Ni cheo Cha kupiga siasa zaidi.Kwa hiyo ni kama katibu wa serikali. Ana kazi muhimu sana. Kwa nini hii kazi asiifanye waziri mkuu na badala yake PM anazururazurura tu?
Neno Katibu lisinguangaishe; wewe angalia ni katibu gani. Kuna Katibu Myeka wa Rais, Katibu wa Ikulu, na kunaweza kuwa na katibu wa chochote kile, swali hapa ni kazi ya "Katibu Mkuu Kiongozi" anayepambanuliwa kwa kuwa Mkuu na pia Kiongozi.Apa kuna mkanganyiko na majukumu wa katibu wa ikulu ni yapi?
Umechanganya bwana, siyo Katibu wa Ikulu! Huyu ndiye kiongozi mkuu wa Utumishi wa Uma kiserikali.Ndiye administrator mkuu wa ikulu anayesimamia mambo ya kiutawala kwa wafanyakazi wote wa Ikulu pamoja na wale walioteuliwa na rais. Kwa marekani anaitwa Chief of Staff.
Katibu mkuu wa Ikulu majukumu yake ni usimamizi na utendaji wa shughuli za kila siku ofisi ya rais kiutalaamu zaidi yaani kwa kifupi huyu majukumu yake ni yale yale anayoyafanya katibu mkuu wa wizara yoyote Ile.Apa kuna mkanganyiko na majukumu wa katibu wa ikulu ni yapi?
Na katibu ikulu?Kikatiba ni mtumishi wa umma lakini kiutendaji ni mtu wa karibu mno na kiongozi wa nchi .Ni mkono wa kulia wa Rais.Yeye ndiye mkuu wa watumishi wa umma,ndiye kiongozi wa makatibu wakuu wote,NI KATIBU WA BARAZA LA MAWAZIRI (Baraza la mawaziri ndiyo serikali yenyewe).Kwa ujumla baada ya Rais ndiye mtu wapili kujua mambo actually karibu yote ya serikali.
SI MTU MDOGO HATA KIDOGO!!