Ni nini kazi ya Katibu Mkuu Kiongozi?

Ni nini kazi ya Katibu Mkuu Kiongozi?

Umechanganya bwana, siyo Katibu wa Ikulu! Huyu ndiye kiongozi mkuu wa Utumishi wa Uma kiserikali.

Pakiwa na uchaguzi huyu anaendelea kuongoza kawaida kwakuwa ni mtumishi. Huyu ni tofauti na katibu wa Ikulu au Katibu wa Rais
Sikusema kuwa ni Katibu wa Ikulu, bali nimesema administrator wa Ikulu anayesimamia watumishi wote wa ikulu na wale wote walioteuliwa na rais; ni Chief of Staff wa Rais. Katibu wa Ikulu anafanya kazi chini yake kama walivyo makatibu wakuu wa wizara zote na walioko chini yao.
 
Katibu Mkuu Kiongozi ni Mtendaji Mkuu wa Serikali. NinKatibu wa Baraza la Mawaziri. Yeye ni Mtumishi wa Umma. Huteuliwa na Rais lkn husalia ofisini pindi Rais anapomaliza muda wake na humpokea Rais ajaye. Rais ajaye huamua kuendelea naye au kuteua mwingine. Nilichokiona kila Rais hupenda kwenda na safu yake. Tatizo ukiondolewa kwenye hiyo nafasi lazima utapewa ubalozi tu akaishi huko uhamishoni ili usiathiri huku
Mbona ombeni sefue hajapewa ubalozi?hayo huwa ni maamuzi ya rais mwenyewe
 
Balozi Ombeni Sefue alipostaafu hakwenda popote kuwa balozi.

Luhanjo alipomaliza muda wake, hakwenda kuwa balozi sehemu yoyote.

Mzee Opio baada ya kumaliza muda wake hakupewa ubalozi.

Sina hakika John Rupia nae alipewa ubalozi wakati anamkabidhi ofisi Marten Lubanga.

Ambae Alikuwa katibu mkuu kiongozi wakati wa Rais Mkapa ni Marten Lubanga, alipewa ubalozi wakati Rais Kikwete alimchukua Philemon Luhanjo kuwa kati Katibu Mkuu kiongozi.
Ndio umejibu vyema na jk amekaa na makatibu wakuu viongozi wawili
 
Sikusema kuwa ni Katibu wa Ikulu, bali nimesema administrator wa Ikulu anayesimamia watumishi wote wa ikulu na wale wote walioteuliwa na rais; ni Chief of Staff wa Rais. Katibu wa Ikulu anafanya kazi chini yake kama walivyo makatibu wakuu wa wizara zote na walioko chini yao.
Okay safi kiongozi; nilielewa vibaya-sorry!
 
Ndiye administrator mkuu wa ikulu anayesimamia mambo ya kiutawala kwa wafanyakazi wote wa Ikulu pamoja na wale walioteuliwa na rais. Kwa marekani anaitwa Chief of Staff.

Sio wafanyakazi wa Ikulu tu. Huyo ndiye mkuu wa civil service kwa upana wake wote!
 
Sio wafanyakazi wa Ikulu tu. Huyo ndiye mkuu wa civil service kwa upana wake wote!
Nilishafafanua swali hilo hapa
 
Katibu Mkuu Kiongozi ni Mtendaji Mkuu wa Serikali. NinKatibu wa Baraza la Mawaziri. Yeye ni Mtumishi wa Umma. Huteuliwa na Rais lkn husalia ofisini pindi Rais anapomaliza muda wake na humpokea Rais ajaye. Rais ajaye huamua kuendelea naye au kuteua mwingine. Nilichokiona kila Rais hupenda kwenda na safu yake. Tatizo ukiondolewa kwenye hiyo nafasi lazima utapewa ubalozi tu akaishi huko uhamishoni ili usiathiri huku
Ukitoka nafasi hiyo hupelekwi nje ya nchi tena na wala hupewi kazi nyingine yoyte ndani ya serikali kwani itakuwa ni kama demotion. Badala yake unastaafishwa kwa marupurupu mazuri sana, ingawa marehemu Timothy Opiyo na Paul Rupia hawakupata marupurupu hayo kwa vile sheria ilitoka wakati wao weshastaafu na haikuwa retroactive.
 
Sikusema kuwa ni Katibu wa Ikulu, bali nimesema administrator wa Ikulu anayesimamia watumishi wote wa ikulu na wale wote walioteuliwa na rais; ni Chief of Staff wa Rais. Katibu wa Ikulu anafanya kazi chini yake kama walivyo makatibu wakuu wa wizara zote na walioko chini yao.

..mwenye majukumu uliyoyataja nadhani anaitwa Mnikulu.
 
Sikusema kuwa ni Katibu wa Ikulu, bali nimesema administrator wa Ikulu anayesimamia watumishi wote wa ikulu na wale wote walioteuliwa na rais; ni Chief of Staff wa Rais. Katibu wa Ikulu anafanya kazi chini yake kama walivyo makatibu wakuu wa wizara zote na walioko chini yao.

Bado humjui vizuri Chief Secretary ni nani; usidhani anafanana na Chief of Staff wa White House. Civil Service yote iko chini ya Chief Secretary. Yeye yuko pale regardless ya nani ni Rais. Chief of Staff wa White House automatically anaondoka na Rais aliyemteua. Hana hata sekunde ya nyongeza!
 
Katibu mkuu kiongozi anafanya kazi gani? Kuna umuhimu wa mtu kuwepo kufanya kazi hiyo?
2702146_IMG-20210226-WA0121.jpg
Nina mashaka na kipengere namba 105 (1), hakijavunjwa kweli!?
 
Hii article (c) ndo hua inanichanganya. Nashindwa kumtofautisha na prime minister as all we know prime minister has mandate of give directions and instructions to any institution in the country the same applies to chief secretary.
Sasa mkuu, PM ana wizara na Vitengo vyake. Mfano TAMISEMI ishahamishiwa kwa Rais. Kuna wizara na Vitengo kibao haviko chini ya PM. Bali ni Rais na Katibu Mkuu Kiongozi ndio Final says.

Mkanganyiko unaupatia wapi labda?
 
Wadau je ni kwanini kwa hapa Tanzania katibu mkuu mara nyingi lazima awe na hadhi ya kibalozi? Hata dr Bashiru tayar ataitwa balozi maana kapewa hadhi hiyo
 
Hapa napata swali lingine...
Mbona kama hakuwa na ulinzi wa kumlinda kivileee.. maana kwa maelezo yako.. yeye ni mtu mwenye siri nyingi sana za nchi
Yaan hapo ni sawa unalinda computer kwa gharama kubwa kumbe doc. zote ziko kwenye flash na unatembea nayo kila siku lkn computer inalindwa na bunduki gate kali nk
 
Hii ya uteuzi wa Bashiru umeniibua. Hongera JPM. Kiongozi ni sifa junioni alizo nazo. Bashiru anazo. Maajabu aliyofanya ndani ya CCM yakadumishe yaliyo ndani ya serikali.

Apatikane mrithi atakaye vaa viatu vyake CCM.
Chama kisije kikarudi tena katika umahiri wa majungu na fitina.

Mh Jaffo tuongezee neno International kwenye stand ya mabasi ya JPM.
 
Katibu kiongozi ni sawa na chief of staff kwa vyeo vya ughaibuni.
 
Yaani ni kama Mungu na mwanae wa pekee, Yesu Kristo, ukaribu wa Mkuu wa nchi na Katibu Mkuu kiongozi. Sijui umeelewa? Maana tukikupa vifungu vya sheria ujue wajibu wa CS, hutajua vema. Umeelewa au bado umelewa?
Yesu n mtt wa bi mariham sio mung acha kutoa maneno ya kufuru
 
Back
Top Bottom