Sikusema kuwa ni Katibu wa Ikulu, bali nimesema administrator wa Ikulu anayesimamia watumishi wote wa ikulu na wale wote walioteuliwa na rais; ni Chief of Staff wa Rais. Katibu wa Ikulu anafanya kazi chini yake kama walivyo makatibu wakuu wa wizara zote na walioko chini yao.Umechanganya bwana, siyo Katibu wa Ikulu! Huyu ndiye kiongozi mkuu wa Utumishi wa Uma kiserikali.
Pakiwa na uchaguzi huyu anaendelea kuongoza kawaida kwakuwa ni mtumishi. Huyu ni tofauti na katibu wa Ikulu au Katibu wa Rais
Mbona ombeni sefue hajapewa ubalozi?hayo huwa ni maamuzi ya rais mwenyeweKatibu Mkuu Kiongozi ni Mtendaji Mkuu wa Serikali. NinKatibu wa Baraza la Mawaziri. Yeye ni Mtumishi wa Umma. Huteuliwa na Rais lkn husalia ofisini pindi Rais anapomaliza muda wake na humpokea Rais ajaye. Rais ajaye huamua kuendelea naye au kuteua mwingine. Nilichokiona kila Rais hupenda kwenda na safu yake. Tatizo ukiondolewa kwenye hiyo nafasi lazima utapewa ubalozi tu akaishi huko uhamishoni ili usiathiri huku
Ndio umejibu vyema na jk amekaa na makatibu wakuu viongozi wawiliBalozi Ombeni Sefue alipostaafu hakwenda popote kuwa balozi.
Luhanjo alipomaliza muda wake, hakwenda kuwa balozi sehemu yoyote.
Mzee Opio baada ya kumaliza muda wake hakupewa ubalozi.
Sina hakika John Rupia nae alipewa ubalozi wakati anamkabidhi ofisi Marten Lubanga.
Ambae Alikuwa katibu mkuu kiongozi wakati wa Rais Mkapa ni Marten Lubanga, alipewa ubalozi wakati Rais Kikwete alimchukua Philemon Luhanjo kuwa kati Katibu Mkuu kiongozi.
Okay safi kiongozi; nilielewa vibaya-sorry!Sikusema kuwa ni Katibu wa Ikulu, bali nimesema administrator wa Ikulu anayesimamia watumishi wote wa ikulu na wale wote walioteuliwa na rais; ni Chief of Staff wa Rais. Katibu wa Ikulu anafanya kazi chini yake kama walivyo makatibu wakuu wa wizara zote na walioko chini yao.
Ndiye administrator mkuu wa ikulu anayesimamia mambo ya kiutawala kwa wafanyakazi wote wa Ikulu pamoja na wale walioteuliwa na rais. Kwa marekani anaitwa Chief of Staff.
Nilishafafanua swali hilo hapaSio wafanyakazi wa Ikulu tu. Huyo ndiye mkuu wa civil service kwa upana wake wote!
Ukitoka nafasi hiyo hupelekwi nje ya nchi tena na wala hupewi kazi nyingine yoyte ndani ya serikali kwani itakuwa ni kama demotion. Badala yake unastaafishwa kwa marupurupu mazuri sana, ingawa marehemu Timothy Opiyo na Paul Rupia hawakupata marupurupu hayo kwa vile sheria ilitoka wakati wao weshastaafu na haikuwa retroactive.Katibu Mkuu Kiongozi ni Mtendaji Mkuu wa Serikali. NinKatibu wa Baraza la Mawaziri. Yeye ni Mtumishi wa Umma. Huteuliwa na Rais lkn husalia ofisini pindi Rais anapomaliza muda wake na humpokea Rais ajaye. Rais ajaye huamua kuendelea naye au kuteua mwingine. Nilichokiona kila Rais hupenda kwenda na safu yake. Tatizo ukiondolewa kwenye hiyo nafasi lazima utapewa ubalozi tu akaishi huko uhamishoni ili usiathiri huku
Sikusema kuwa ni Katibu wa Ikulu, bali nimesema administrator wa Ikulu anayesimamia watumishi wote wa ikulu na wale wote walioteuliwa na rais; ni Chief of Staff wa Rais. Katibu wa Ikulu anafanya kazi chini yake kama walivyo makatibu wakuu wa wizara zote na walioko chini yao.
Sikusema kuwa ni Katibu wa Ikulu, bali nimesema administrator wa Ikulu anayesimamia watumishi wote wa ikulu na wale wote walioteuliwa na rais; ni Chief of Staff wa Rais. Katibu wa Ikulu anafanya kazi chini yake kama walivyo makatibu wakuu wa wizara zote na walioko chini yao.
Katibu mkuu kiongozi anafanya kazi gani? Kuna umuhimu wa mtu kuwepo kufanya kazi hiyo?
Sasa mkuu, PM ana wizara na Vitengo vyake. Mfano TAMISEMI ishahamishiwa kwa Rais. Kuna wizara na Vitengo kibao haviko chini ya PM. Bali ni Rais na Katibu Mkuu Kiongozi ndio Final says.Hii article (c) ndo hua inanichanganya. Nashindwa kumtofautisha na prime minister as all we know prime minister has mandate of give directions and instructions to any institution in the country the same applies to chief secretary.
Ngoja tukalime alizeti maana mafuta yamepanda bei.... Kama kiswahili ndio hicho basi kimevunjwaView attachment 1712711Nina mashaka na kipengere namba 105 (1), hakijavunjwa kweli!?
View attachment 1712711Nina mashaka na kipengere namba 105 (1), hakijavunjwa kweli!?
Yaan hapo ni sawa unalinda computer kwa gharama kubwa kumbe doc. zote ziko kwenye flash na unatembea nayo kila siku lkn computer inalindwa na bunduki gate kali nkHapa napata swali lingine...
Mbona kama hakuwa na ulinzi wa kumlinda kivileee.. maana kwa maelezo yako.. yeye ni mtu mwenye siri nyingi sana za nchi
Hili linahitaji ufafanuzi mzuri kutoka kwa Mwigulu.View attachment 1712711Nina mashaka na kipengere namba 105 (1), hakijavunjwa kweli!?
Yesu n mtt wa bi mariham sio mung acha kutoa maneno ya kufuruYaani ni kama Mungu na mwanae wa pekee, Yesu Kristo, ukaribu wa Mkuu wa nchi na Katibu Mkuu kiongozi. Sijui umeelewa? Maana tukikupa vifungu vya sheria ujue wajibu wa CS, hutajua vema. Umeelewa au bado umelewa?