Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

maxresdefault.jpg


Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable.

Huwa nasikitika sana nimenunua nguo lakini nikifua tu mara mbili ama mara tatu ni hohe hahe, nguo inakuwa imeanza kufifia na kuchuja, hapa kukwepa aibu ni kununua tu nyingine ila bajeti nayo inapigwa na upepo wa kisuli suli.

Nguo zenyewe hususani ni hizi jeans na cardets hata za mitumba zilizovaliwa sana huko lakini huku zikifika ukifua mara 4 mara 5 shida yani.

Tunakwepa sabuni za unga tunatumia sabuni za vipande lakini wapi, Kuna jeans yangu niliipenda sana niliifua kama mara tano hivi haitamaniki

Ni vipi tunaweza kufua nguo kwa kuhakikisha zinakaa muda mrefu?
Inategemea na maji kama maji yana asili ya chumvi nguo lazima iharibike.
 
Kama ni sabuni za unga haswa kufulia mashati tafuta zile og za bei kama Elfu 5 zipo kibao kweny supermarket nyingi ni brand za nje..

Ile kuna hizi za buku jero wanachanganya na unga wa dona kwanza hazina povu na zinapausha kabisa..

Dona tena jmn[emoji2][emoji2]
 
Nguo zetu nyingi ni lonyaaa, nguo za akina mr kdet sjui fred Vinjabei pale hamna kitu , unafua maji yote yanageuka rangi yaani ni sheeeeda , watu mnasingizia mpak jua , nunua nguo OG haina mashart kama ya mganga , niliamua kuagiza cadeti moja china aisee ile nguo haichuji bhana , kumbe nikagundua hawa jamaa kuna nguo wanauza tuu huku Africa

Kwenye kufua epuka maji ya chumvi ndo kigezo kikuu
Unaishi singida dodoma unaepuka vipi maji ya chumvi au utanunua ya dukani lita 50 ili ufue nguo isipauke 😄😄😄
 
Nguo zetu nyingi ni lonyaaa, nguo za akina mr kdet sjui fred Vinjabei pale hamna kitu , unafua maji yote yanageuka rangi yaani ni sheeeeda , watu mnasingizia mpak jua , nunua nguo OG haina mashart kama ya mganga , niliamua kuagiza cadeti moja china aisee ile nguo haichuji bhana , kumbe nikagundua hawa jamaa kuna nguo wanauza tuu huku Africa

Kwenye kufua epuka maji ya chumvi ndo kigezo kikuu
Brand ipi kiongozi manake nami nataka nianze agiza tu nguo nje taste ya africa hii imenishinda lonya kibao share apa na soko ulilonunua kama hutojali
 
Tuanzie hapa.
 

Attachments

  • The-complete-care-label-gude-min.png
    The-complete-care-label-gude-min.png
    148.2 KB · Views: 41
Hakuna taaaluma.
ZINGATIA... TUMIA SABUNI ORIGINO jaribu OMO au fulia sabuni ya mche. Usijaribu kamwe kufua nguo zako za gharama na hizo sabuni sjui kleesoft, mshindi, foma nk nk itachujwa rangi yooote ibakie makapi
Omo ndo Inapausha usimdanganye

Sent from my FRD-L19 using JamiiForums mobile app
 
Nguo za kuchuja hutakiwi kuzikamua,pia yafaa kuzianika usiku,zikauke kwa upepo na baridi, nguo zinazopaswa kuanikwa Juan ni nguo nyeupe tu,mi nakumbuka mpaka keshp,mama nguo zake huanika usiku,km vitenge vina miaka lakin bado vipya .na sabun hutumia ya kipande tu,labda mashuka meupe ndo hutumia ya unga

Sent from my FRD-L19 using JamiiForums mobile app
 
Watu hawajui kuagiza vitu online that's all. Hata Amazon kama hujui kuagiza utaletewa kitu sio.

Nimewahi kuona MTU kaona cover la simu akajua ni simu na akaagiza Kwasababu aliona ni Dola 1. Tujifunze vitu.

Kwa mfano hizi surual China ni Dola 1.4 Sawa na kama shilingi 3000. Ambapo bongo huuzwa si chini ya 40,000.


Kuna hizo bwanga za WAnawake china ni Dola 0.9 kama 1,500 tsh.


Watanzania tuko nyumA Sana badala bando mtumie kujikwamua Kwa mambo kama haya KAZI kushhinda Instagram kusoma umbea. Endeleeni kupigwa na wakina vunja bei. View attachment 2597537View attachment 2597538View attachment 2597543View attachment 2597544View attachment 2597545
Naomba ushare nami link mfano ya Amazon au Ali express ya bei tajwa nawe hapo juu ya suruali
 
Yaah SA Hii fursa ya nguo nimeiona na ni rahisi sana kwa upande wangu

Shida moja ya waTanzania walio wengi ni wanapenda Vitu cheap jamani yaani Yupo radhi anunue Vya 10.000 hata Mia ajaze ndani ila siyo kitu cha 100,000 kimoja [emoji119]
Naomba ufafanuzi kwene kuagiza Nguo hapo kutoka SA
 
maxresdefault.jpg


Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable.

Huwa nasikitika sana nimenunua nguo lakini nikifua tu mara mbili ama mara tatu ni hohe hahe, nguo inakuwa imeanza kufifia na kuchuja, hapa kukwepa aibu ni kununua tu nyingine ila bajeti nayo inapigwa na upepo wa kisuli suli.

Nguo zenyewe hususani ni hizi jeans na cardets hata za mitumba zilizovaliwa sana huko lakini huku zikifika ukifua mara 4 mara 5 shida yani.

Tunakwepa sabuni za unga tunatumia sabuni za vipande lakini wapi, Kuna jeans yangu niliipenda sana niliifua kama mara tano hivi haitamaniki

Ni vipi tunaweza kufua nguo kwa kuhakikisha zinakaa muda mrefu?
ni lazima uwe mwangalifu kuchagua sabuni ya kufulia,usitumie sabuni zenye bleach nguo zako zitapauka haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Badilisha nguo mara kwa mara

Kwa siku hata mara 2..ama ikishindikana usirudie nguo siku nyingi.


Itakusaidia nguo kutochafuka sana hivyo hata kufua hutatumia nguvu nyingi kuisugua sana..
Na kwa kusema hivyo nguo haiwezi kupauka.


Nunua nguo nyingi..
Ukivaa nguo leo,,kuja kuivaa tena iwe mwezi ujao...yaani mara moja kwa mwezi.
Haiwezi kupauka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom