Ni nyimbo zipi za Sugu zenye Ujumbe na zilizohit sana kuliko za Professor J?

Kwahiyo kumbe unamsifia kwa hayo na sio kazi yake kimuziki.


Nadhani hujasoma ukaelewa, muziki ndio umemtambulisha SUGU katika jamii. Na kukubarika huko kumemtengenezea njia ya kwenda Bungeni.
 
Aisee wewe jamaa ni mnyama. Maelezo yako ni kweli kabisa. Ninazo kwenye tape album zote hizo. Ni Mimi inagongwa kwa redio One 1995 kwenye DJ show ndio nimetoka shule primary hiyo.
Wasiojua muziki ulikotoka ndio watakaouliza swali kama hili.
 
[emoji121]
MIKONONI MWA POLISI!

[emoji121] [emoji121] [emoji121]
 
Hawamjui 2Proud wanamjua Sugu,mzee wa mikononi mwa Polisi,bonge la goma
 
Aisee wewe jamaa ni mnyama. Maelezo yako ni kweli kabisa. Ninazo kwenye tape album site hizo. Ni Mimi inagongwa kwa redio One 1995 kwenye DJ show ndio nimetoka shule primary hiyo.
Wasiojua muziki ulikotoka ndio watakaouliza swali kama chili.
enzi hizo Radio one ndo kila kitu,Radio free nayo kwa mbaaaali,eti clouds hahah
 
Mleta thread naamini humjui vizuri Sugu, pengine sababu ya umri wako, nikipata muda nitakuwekea albamu zake zote hapa.

Kuhusu Prof Jay, sikiliza nyimbo zake zote yeye anasimulia hadithi na matukio.
2 proud alikuwa anaongelea hali halisi ya maisha,kama Mikononi mwa polisi,soo la kweli mbeya Day
 
Ukweli haujifichi japo sugu kaanza mziki kitambo zaid ya prof lkn ukiwakompea sugu haugusi moto wa prof.....prof mtu mwingne
 
Sugu haimbagi chochote kile cha maana zaidi tu ya kupata sifa kuwa eti ni rapper wa kwanza na mkongwe hapa Bongo na alichangia kuukuza mziki wa HipHop na rap.

Hamna kitu pale...Prof ndio Msanii Fundi.
umekula embe mbichi mkuu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…