JAMAA SIJUI KAFIA WAPI HUYUWengi walikuwepo sasa hv wako wapi(wako wapi) balozi bado nipo ninatamba kwenye chat(kwenye chat) nashika ile ile ile moja nambaaa natamba...nauhakika kila mwaka wakubaki kwenye chat yeeeeyaaaahh
Ahahaha balozi mtu mbaya
Mikono juu aanh.mikono juu yeeeyaaah
Ana miaka chini ya 18Safi sana!upo vizuri
A financial institution is an establishment that conducts financial transactions such as investments, loans and deposits. (Government revenue deposits) Kazi ya tra ni kusimamia mapato ya serikali kukusanya fedha ,kurudisha refund ,kukadilia mapato zote hizo ni financial transaction hivyo yenyewe ni Financial institution ,aidha tra ilianza operationhapo sio NMB,CRDB(TRDB zamani) n.k,cna hakika kama pakitajwa financial institution na TRA nayo ipo,by the way TRA iliundwa kwenye makaratasi mwa 1994 na kuonekana mtaan 1997 kama sio 96
kabla ya hapo,wakati wa mwalimu hawakuwa wakikusanya kodi?..maana TRA haikuwepoA financial institution is an establishment that conducts financial transactions such as investments, loans and deposits. (Government revenue deposits) Kazi ya tra ni kusimamia mapato ya serikali kukusanya fedha ,kurudisha refund ,kukadilia mapato zote hizo ni financial transaction hivyo yenyewe ni Financial institution ,aidha tra ilianza operation
July 1996 na si 1997 ,mimi nikiwa muajiriwa wao ,bwana mdogo.
Aidha kazi yangu ya pili ni kukuthibitishia TRA ilitokana na SAP's Nanukuu taarifa ya KEPA ya Finland ya mwaka 1998 ikiisifu Tanzania nina quote '
'' Since 1986, fiscal policy and budgetary management have aimed at improving the budgetary situation. Aim was to create conditions in which tax and non-tax sources of revenue could fully finance the government’s recurrent projects as well as part of the development budget. The reform process entailed increased efforts concerning expenditure controls and tax administration, including the establishment of the Tanzania Revenue Authority (TRA). Following these measures, budgetary performance improved slightly. Fiscal deficit related to GDP declined from 10.6per cent during 1981-1985 to 3.7per cent during 1994-99.''
KUISOMA REPORT YOTE HII HAPA
https://www.kepa.fi/tiedostot/julkaisut/world-bank-and-structural-adjustment.pdf
Kaka unamengi ya kujifunza kwanza unapozungumzia baadhi ya mambo uliyoyasoma sisi tuliyaishi,anyway ndo maana unaamini prof jay ni mkali kuzidi Mr II.
walikuwa inefficient sana ndo wazungu wakaja na mkakati huo kagoogle structural adjustment reforms to indepted countries utaelewa sanaakabla ya hapo,wakati wa mwalimu hawakuwa wakikusanya kodi?..maana TRA haikuwepo
bado sijaona msukumo wa kuanzisha TRA toka kwa wakoloni,kama ni inefficiency hao walokua wanakusanya mwanzo wangeongeza tu ufanisi,kwa kweli mwinyi ni kiongozi mwenye maono na busara sanawalikuwa inefficient sana ndo wazungu wakaja na mkakati huo kagoogle structural adjustment reforms to indepted countries utaelewa sanaa
Ndo naborekaga hivi jamii forum nani kawataja wakoloni,hebu nikuache inahitaji darasa la siku nzima kukuelimisha ,kwa hiyo mashirika ya umma kuna hata moja aliloliendesha kwa faida huyo mwinyi .kwaheribado sijaona msukumo wa kuanzisha TRA toka kwa wakoloni,kama ni inefficiency hao walokua wanakusanya mwanzo wangeongeza tu ufanisi,kwa kweli mwinyi ni kiongozi mwenye maono na busara sana
ah ah kweli nimeamin safari moja huanzisha nyingineNdo naborekaga hivi jamii forum nani kawataja wakoloni,hebu nikuache inahitaji darasa la siku nzima kukuelimisha ,kwa hiyo mashirika ya umma kuna hata moja aliloliendesha kwa faida huyo mwinyi .kwaheri
Balozi balaa dah! Marekani imemeza vipaji vyetu, ilikuwa humwabii mtu kuhusu marekani kipndi kile nw day watu wanaona ujinga kwenda state,coz bongo watu wanatengeneza mamilionWengi walikuwepo sasa hv wako wapi(wako wapi) balozi bado nipo ninatamba kwenye chat(kwenye chat) nashika ile ile ile moja nambaaa natamba...nauhakika kila mwaka wakubaki kwenye chat yeeeeyaaaahh
Ahahaha balozi mtu mbaya
Mikono juu aanh.mikono juu yeeeyaaah
Tofauti ya kizazi na kizazi ...... ni kama wanaosema nani ni zaid kati ya pele,maradona na messi ....Mimi sijui hii sifa huwa Sugu anapewa yanini.
Hata ukisimamisha nyimbo za Sugu na za Ngwair au Fid Q, bado sugu haingii.
Haina noma maisha yatasimamahayakuwa mapenzi : we uliondoka tu
wala hukusema kitu...
Sina mchezo na lifeSugu sasa anamilik bunduki
Sitaki tena amani palipo na deal feki
ukitoa wimbo wa Haki,Chini ya 18 na Hold on labda kidogo Hayakuwa Mapenzi nyimbo zote zilizobaki za sugu ni kelele tu...na ukizungumzia nyimbo za harakati Sugu agusi hata robo ya Roma Mkatoliki tofauti yao itakuwa sugu alianza kuchana zamani basi
Habarini Wadau,
Kuanzia mwaka 2000 nilianza kumsikiliza Sugu au Mr II aliyekuwa akiitwa 2 proud zamani, ila kiukweli namtofautisha sana na Professor J katika kazi zao.
Mfano mzuri ni "Bongo Dar es salaam"
Nadiriki kusema nyimbo za Proffesor J zote ni nzuri, pia zipo zenye ujumbe na mashairi mazuri yenye Vina kuliko za Mr II.
Labda huu mpya wa "Freedom" japo pia chana yake na ujumbe sio bomba kiviile.
Mr II ni Mwanasiasa, Mwanaharakati na Mzalendo ila Kimziki naona kama anazidiwa sana na wasanii kama Proff J na Afande Sele.
Ni Mtazamo tu.
Sugu ndio alianzisha bongo flava?!bongo dar es salaam ni nyimbo ambayo pro j aliiboresha kutoka kwa sugu pia sugu alianzisha music wa bongo flavour na kufanya vijana wengi kufanya mziki huu lakini prefesa j alifanya mapinduzi ya music huu , kwaiyo kusema nani ni bora sio sawa hapo kila mtu alifanya part yake
Mitoto ya siku hizi sijui mnakula nn mnasikiliza miziki mi3 mshajifanya wachambuzi hivi unamjua 2 proud aka mr 2 wa 1990-2000 au sugu wa wakati umewajua wanawake hebu tujifunze kuheahim wakubwa basi kama prof j aliwaelewesha wazazi wako kusikiliza bongo flava basi sugu ndo aliowarusha debe wazazi wakoSugu alikuwa anarap au alikuwa anapiga kelele? Heshima ya ukongwe na jina la baba ake Mbilinyi ndo lilimbeba ila kuimba Sugu hamna kitu!
Kwa percent nitampa 17 ya Prof J!!!
Kidooogo ungemfananisha na Baba Levo!!!
Sent using Jamii Forums mobile app