WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Rushwa ya Mwarabu isitutenganishe.Kazi wanazofanya ni zile zile za ushushaji na upakiaji wa mizigo bandarini, suala zima la DP World limeingiziwa siasa nyingi za upotoshaji na sababu ni ukubwa wa kampuni yenyewe na namna inavyokwenda kuwaumbua wapigaji wa hapo TPA.