Ni rahisi sana Afrika (Tanzania) kurudi utumwani

Ni rahisi sana Afrika (Tanzania) kurudi utumwani

Sisi watu weusi ni wabinafsi na wanafiki sana, hili ni tatizo letu kubwa nafikiri ni toka uumbaji wa ulimwengu. Mfano mdogo tu ni hao hao alioshangilia mchina aisipewe bandari ya Bangamoyo kwa miaka 99 wakati wa Magufuli kwa masharti ya kichaa tu ndiyo anaweza kusign mkataba huo ndiyo hao hao leo hii wanashangilia DP World kupewa mkataba wa milele.
 
Huko bara kuna tani zaidi ya milioni 20 zinazotakiwa kuletwa huku bandarini ili zisafirishwe huko nje, huo muda wa kujenga uwezo wa ndani na uendane na uelewa wetu kwamba hizi ni fursa ambazo zinatusubiri sisi tufaidike nazo.

Uwezo wa ndani bila ya teknolojia za kisasa, ni changamoto nzito sana.
Teknolojia za kisasa zinanunulika, tusidharau wawekezaji wa ndani,

Mzee mengi akifanikiwa kuendesha vizuri viwanda vyake, Hadi maji ya Kilimanjaro yaliuzwa South Africa kombe la Dunia kama brand kubwa.

Arusha Kuna wazawa wanachimba kisasa, kamwe msidharau uwezo wa wazawa.

Mkishindwa, Jeshi Linaweza.
 
Teknolojia za kisasa zinanunulika, tusidharau wawekezaji wa ndani,

Mzee mengi akifanikiwa kuendesha vizuri viwanda vyake, Hadi maji ya Kilimanjaro yaliuzwa South Africa kombe la Dunia kama brand kubwa.

Arusha Kuna wazawa wanachimba kisasa, kamwe msidharau uwezo wa wazawa.

Mkishindwa, Jeshi Linaweza.
Bandari ya kisasa huwezi kuiendesha kwa kubahatisha, sio mahali pa kujifunzia uendeshaji wa biashara kubwa.

Biashara ya end to end logistic anayotaka kuianza mwarabu pale TPA ni kubwa sana inahitaji nidhamu pana na pia elimu za kisasa za usimamiaji wa mitambo.

Katika moja ya vigezo vya hii IGA ni kuhakikisha anajenga utaalam wa watendaji wa ndani kwa maana ya kuviongezea ujuzi vyuo vyetu vya bandari, ni hapo tutakapopata wataalam wenye kuendana na mahitaji ya soko la sasa.
 
Bandari ya kisasa huwezi kuiendesha kwa kubahatisha, sio mahali pa kujifunzia uendeshaji wa biashara kubwa.

Biashara ya end to end logistic anayotaka kuianza mwarabu pale TPA ni kubwa sana inahitaji nidhamu pana na pia elimu za kisasa za usimamiaji wa mitambo.

Katika moja ya vigezo vya hii IGA ni kuhakikisha anajenga utaalam wa watendaji wa ndani kwa maana ya kuviongezea ujuzi vyuo vyetu vya bandari, ni hapo tutakapopata wataalam wenye kuendana na mahitaji ya soko la sasa.
Tumeshakataa Hilo dude fake na BATILI.

Bandari haiozi.
 
Muda si mrefu mtakuwa mashambani mkilimishwa katani.
The system n Invizbo Gov.
 
Unaumwa Si Bure!!

Nimekwambia hakuna kitachoendelea!!
Project contracts zimeshamalizika, aliyetumwa kuziandaa huko ughaibuni kesharudi na iweke kichwani tarehe hiyo ya mwezi wa kumi. Ili kama unataka kufanya fujo uifanye siku hiyo pale bandarini.
 
Unakiri kuwa Bara la Africa lina Kila aina ya utajiri na LIMEBARIKIWA?

Sasa aliyelaaniwa amebarikiwaje Kila kitu?

Ni dhahiri, Anayekuaminisha umelaaniwa ni mgeni Ili uendelee kutojitambua.

Mkuu Rabbon.

Kama mibaraka ni uwingi wa rasilimali hata Zuhura, Zebaki na sayari nyinginezo zimebarikiwa.

Mibaraka ya kweli inaanza na na watu.
 
Mkuu Rabbon.

Kama mibaraka ni uwingi wa rasilimali hata Zuhura, Zebaki na sayari nyinginezo zimebarikiwa.

Mibaraka ya kweli inaaza na watu.
Kwahiyo aliyebarikiwa raslimali akiamua kutozitumia muda huo kujitajirisha,

Jirani ana HAKI kutumia Hila kuzipora?

Nyerere alikosea kutochimba mafuta na gesi ilhali akijua utajiri huo upo?

Nijibu tafadhali!!
 
Utumwa haujawahi kuisha Africa. Ni vile Wakoloni huendana na nyakati.

Ukombozi upo kwetu wenyewe, ukilaumu mtu, unataka nani aje akukomboe. Shika silaha ingia vitani.

Mkoloni wa kwanza wa kumuondoa, ni Mwafrica mwenzio, huitwa sijui kibaraka. Ukifanikiwa hapa kukata mtandao, Beberu atabaki anatapatapa.

Usipoingia kwenye mapambano basi utaona unaongozwa na vilaza kuliko wewe unavojihisi..
 
Sio kurudi utumwani tu.


Tukiendelea hivi, vizazi vijavyo vya waafrika vinaweza kupotea mazima ikiwa ni pamoja na vile vya wauza nchi na ma apologist wao.

Darwin ni nabii mzuri zaidi kuliko wale wa kiimani.
 
Kwahiyo aliyebarikiwa raslimali akiamua kutozitumia muda huo kujitajirisha,

Jirani ana HAKI kutumia Hila kuzipora?

Nyerere alikosea kutochimba mafuta na gesi ilhali akijua utajiri huo upo?

Nijibu tafadhali!!

Nyerere hakukosea kwasababu wakati anatawala, rasilimali hizo zilikuwa potentially za watanzania.

Wanaobarikiwa ni watu. Rasilimali zaweza kuwa baraka au laana na nadhani misingi aliyoiweka Nyerere imesaidia kuzifanya rasilimaliza Tanzania zisiwe laana kwa haraka ingawa awamu zilizofuata (ukimwacha JPM) wameigeuza hiyo fasta .

Mifano ni mingi. Sudani, DRC,Angola, na Afrika yaKati kwa uchache.

Hapo mkuu naongelea rasilimali kama laana zinaposhindwa kuwa msaada kwa kupunguza ukali wa maisha kwa wenye nazo au kuleta mateso ya vita za wenyewe kwa wenyewe au kufaidisha watu wachache tu kwenye jamii au vyote vitatu, wakati zinafanyiwa biashara.
Hii ndiyo hali iliyopo hapo kwetu.

Kuhusu jirani, utasemaje amekupora kama umempa mwenyewe, tena kwa mkataba unaotambuliwa kisheria?
Laana inabakia kwako na mporaji ndiye anakuwa mbarikiwa!
 
Unaona ktk uono hafifu!!

1. Madini yote,yanatoka Africa,

2. Malighafi zote hutoka Africa, ambazo hutumika kuzalisha bidhaa na vifaa vyote adimu.

3. Hata kabla ya mashine kugunduliwa, watumwa walitoka Africa kwenda kuzijenga Nchi maskini za ulaya na kuzitajirisha.

4. Mali asili ,misitu mizuri na Kila fursa zipo Africa.

5. Ni bara pekee ambapo unaweza kufanya KILIMO msimu mzima, mabara mengine ni barafu ktk baadhi ya misimu.

Narudia kusema Bila Africa, mabara mengine yasingekuwa yalivyo Leo, hivyo Africa ni BARAKA.

Hao unaowaona wamebarikiwa ndo chanzo Cha Umaskini wa Africa.

Naipenda Africa, Najivunia Kuzaliwa Africa,

Naipenda Nchi yangu nzuri TANZANIA, pia Najivunia Kuzaliwa Tanzania.

Aamen.
[emoji849]
 
Nyerere hakukosea kwasababu wakati anatawala, rasilimali hizo zilikuwa potentially za watanzania.

Wanaobarikiwa ni watu. Rasilimali zaweza kuwa baraka au laana na nadhani misingi aliyoiweka Nyerere imesaidia kuzifanya rasilimaliza Tanzania zisiwe laana kwa haraka ingawa awamu zilizofuata (ukimwacha JPM) wameigeuza hiyo fasta .

Mifano ni mingi. Sudani, DRC,Angola, na Afrika yaKati kwa uchache.


Hapo mkuu naongelea rasilimali kama laana zinaposhindwa kuwa msaada kwa kupunguza ukali wa maisha kwa wenye nazo au kuleta mateso ya vita za wenyewe kwa wenyewe au kufaidisha watu wachache tu kwenye jamii au vyote vitatu, wakati zinafanyiwa biashara.
Hii ndiyo hali iliyopo hapo kwetu.

Kuhusu jirani, utasemaje amekupora kama umempa mwenyewe, tena kwa mkataba unaotambuliwa kisheria?
Laana inabakia kwako na mporaji ndiye anakuwa mbarikiwa!
Kwamba Mporaji anakuwa Mbarikiwa!!!

Huoni kuwa kuamini hivyo kinamfanya Mporwaji akipata nafasi yoyote ya uongozi kuwa Dalali Ili kupata baraka fake kupitia maumivu ya wananchi.
 
Sisi watu weusi ni wabinafsi na wanafiki sana, hili ni tatizo letu kubwa nafikiri ni toka uumbaji wa ulimwengu. Mfano mdogo tu ni hao hao alioshangilia mchina aisipewe bandari ya Bangamoyo kwa miaka 99 wakati wa Magufuli kwa masharti ya kichaa tu ndiyo anaweza kusign mkataba huo ndiyo hao hao leo hii wanashangilia DP World kupewa mkataba wa milele.
Ngozi nyeusi ina laana ya milele.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Akili ni kumtafuta, kumjua Mungu, kuwa na HOFU ya Mungu.

Africa ndiyo inakwenda kuinuka juu sana katika Kila kitu, kiuchumi, kimaarifa kisiasa nk nk.

Sababu kuu ni Mungu anatafutwa sana na Waafrica na wanamkubali.

Mabara mengine yanakwenda kufifia Ili Afrika ipae zaidi.

Usipoyaona Leo, panda mabegani mwa watoto na vitukuu uyachungulie nikuambiayo Kisha moyo wako ujae furaha tele.

Amen
Mungu ni KWELI.
Sasa unatakiwa uthibitisho wa kuwa wanaitafuta hiyo kweli, vinginevyo ni kujidanganya na kujilisha upepo.
Asili ya Sayansi ni Mungu mwenyewe na matumizi yake ni uthibitisho wa kumjua Mungu.
Hawa manabii wa kuwaambia waumini wapokee utajiri bila kufanya kazi wanamjua kwa Mungu?
 
Anayekwanbia pokea utajiri wakati hakemei viongozi wanaoteka fursa zote za kiuchumi Kwa RUSHWA, huyo Si kiongozi wa Kweli.

Msikize Mchungaji Mbarikiwa utajua naongelea nini!!
 
Unaulaani Uafrika lakini unasahau kuwa siasa safi Tanzania haipo,kwa nini usijulize kuwa nchi za Malawi,Zambia na Ghana ambazo zote ziko Afrika huwa zinafanyaje kubadilisha viongozi wa Vyama mbali mbali na nchi zao zikabikia salama?
Sawa ila Malawi Zambia uchumi ni choka mbaya pamoja na kubadilisha viongozi upande wa upinzani uwezi kulinganisha na Tanzania
 
Back
Top Bottom