Ni rahisi sana Afrika (Tanzania) kurudi utumwani

Ni rahisi sana Afrika (Tanzania) kurudi utumwani

Mungu aliumba WANADAMU wote wakiwa na 1. Akili 2. Hisia 3. Uwezo wa kufanya maamuzi.

1. Sie waafrika tumebarikiwa na Kila kitu, Nchi zetu ni za joto ndomana hatukutaka hata kujihangaisha kutengeza nguo, ambapo mzungu Kwa baridi alilonalo lazima aumize KICHWA Ili kupata mavazi ya kumkinga baridi asife.

Mwarabu Hana maji, Wala chakula, naye kabarikiwa mafuta Ili ayatumie kusurvive.

Wazungu kadhalika, wamenyimwa raslimali, hivyo kuishi lazima waumize KICHWA sana.

Wote Waafrica, Wazungu, Waarabu tunazo akili, lakini tunatofautiana maamuzi ya kutumia akili zetu.

Maana imeandikwa, Awazavyo mtu ndivyo alivyo.

Mungu aliyetuumba na kumweka Mzungu Nchi mbaya baridi, Akamweka Mwarabu jangwani na kumpa mafuta, akamwumba mwafrica na kumpa Kila kitu, akitaka tuishi Kwa kidaidiana, tufikie WIN WIN SITUATION.

Narudia kusema,

Kumcha Mungu ndicho chanzo Cha AKILI, HEKIMA, MAARIFA na UFAHAMU.
Kwanza sikweli kwamba wazungu hawana rasilimali.

Wazungu wana rasilimali vilevile na wamezitumia vilivyo kuwaletea maendeleo.

Unaposema kwamba, waafrika wamebarikiwa kila kitu Halafu ndio wanao ongoza kwa Umaskini, na kuwa
omba omba nashindwa kuku elewa.

Naku uliza hivi [emoji116]

Waafrika wana shindwaje kutumia rasilimali hizo kuwa letea maendeleo mpaka waombe mikopo na misaada ya hao hao wazungu?

Nakwambia tena hivi [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Najivunia kuzaliwa Afrika Bara lenye kila aina ya neema,utii,nidhamu,chakula na watu wazuri wenye ngozi himilivu.Tatizo ulafi wa viongozi unafanya sisi Waafrika tuonekane kuwa hatuna akili.Lakini turidhike na hali zetu ambazo ndiyo zawadi ya bure tuliyopewa na Mwenyezi Mungu,kuzaliwa Afrika siyo laana bali ni baraka japokuwa tuna matatizo ya kiutawala.
Sawa endelea kujivunia upumbavu
 
Kama wanataka hela ya kutolea basi waje nyumbani kuifata hela kamili, Tusiwanufaishe maboss wa Tigopesa na M-pesa tusiowajua
Pascal Mayalla hivii huko halmashauri kuuu comment kama hizi mnakuwaga mna discuss future za watoto wenu kweli? au huwa mnaangalia future ya mtoto mmoja huyo mlionae bila kujua kwamba mtakuja kuwa na wajukuuu
 
Bora maisha ya Mwafrika zama za ukoloni kuliko baada ya uhuru.
Uhakika wa ajira,kujiajiri,uhakika wa soko la mazao, elimu, matibabu,kwenda Ulaya ulikuwepo
Hakuna ubora wowote. China ya ukoloni tabaka mweusi lilikuwa mkulima, kazi za mikono.

Juu walikuwa Wazungu, halafu, wahindi, waarabu.

Elimu waliyoipata wachache asilimia wengi illishia darasa la nne. Wachache watoto wa machifu, viongozi walipata fursa kufika vyuoni.

Afya, miundombinu, ajira ilikuwa hovyo kwa wengi. Ubaguzi ulishamiri Oysterbay, Kulikuwa kwa wazungu tu.

Afrika inabidi ijitambue isitake kuondoa ukweli kuhusu ukoloni, ukoloni mamboleo, utumwa wowote hauna Afya, faida kwa Afrika.
 
Inashangaza kuna jeshi la kulinda amani DRC miaka 30 sasa ila hakuna Amani. Wanalinda nini?

Waasi wana silaha hatari sana kama ilvyokuwa Msumbiji, Angola (UNITA), Zimbabwe, South Afrika.

Baada ya vita kuu ya pili ya Dunia Ulaya yote ilikuwa hoi, Ujerumani, Japan, France, Italy, UK na zingine zilikuwa na magofu bila ajira, basic nessesities of life.

Chini ya miaka 15 wakapiga hatua kubwa sana kurudi kwenye ubora wao. Sisi miaka 62 tunaongelea yale yale basic stuffs maji, umeme, elimu miundombinu. Akili ipo wapi?
Huo ni ushahidi kuwa Umaskini wa mwafrika ni WA kutengeneza.

Sisi TUMEBARIKIWA, maadui wanaotumia ndugu zetu kutuhujumu Kwa kutumia mbinu mbalimbali, mikopo, mitaala mibovu, sera nk nk. Kutufanya maskini.

Tuamke.
 
Kwanza sikweli kwamba wazungu hawana rasilimali.

Wazungu wana rasilimali vilevile na wamezitumia vilivyo kuwaletea maendeleo.

Unaposema kwamba, waafrika wamebarikiwa kila kitu Halafu ndio wanao ongoza kwa Umaskini, na kuwa
omba omba nashindwa kuku elewa.

Naku uliza hivi [emoji116]

Waafrika wana shindwaje kutumia rasilimali hizo kuwa letea maendeleo mpaka waombe mikopo na misaada ya hao hao wazungu?

Nakwambia tena hivi [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.
LAANA ni wewe binafsi Kwa kukiri kulaaniwa!!

Tanzania ni BARAKA,

Afrika imebarikiwa na ni Baraka Kwa Dunia nzima.
 
Kwanza sikweli kwamba wazungu hawana rasilimali.

Wazungu wana rasilimali vilevile na wamezitumia vilivyo kuwaletea maendeleo.

Unaposema kwamba, waafrika wamebarikiwa kila kitu Halafu ndio wanao ongoza kwa Umaskini, na kuwa
omba omba nashindwa kuku elewa.

Naku uliza hivi [emoji116]

Waafrika wana shindwaje kutumia rasilimali hizo kuwa letea maendeleo mpaka waombe mikopo na misaada ya hao hao wazungu?

Nakwambia tena hivi [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.
Hujui kuwa hata Maji ya ziwa Victoria kuyapeleka Dodoma, Nchi ilipitia upinzani usionwa kawaida?

Lowassa alipambana vilivyo, nyuma ya Umaskini wa Africa wapo wabaya wetu, wao wanajiita washindani au wabia wa maendeleo.
 
Sawa endelea kujivunia upumbavu
Kama wewe ni mpumbavu endelea kujivunia upumbavu,wewe kuzaliwa mweusi haimanishi kuwa umelaaniwa.Na ndiyo maana mnalilia DP World ambayo asili yake ni Waarabu watu weupe kuja kutawala bandari zenu kwa sababu ya ujinga huu huu wa kujidharau pumbavu.
 
LAANA ni wewe binafsi Kwa kukiri kulaaniwa!!

Tanzania ni BARAKA,

Afrika imebarikiwa na ni Baraka Kwa Dunia nzima.
Kusema kwamba Tanzania ni baraka wala hakubadilishi Uhalisia ulivyo.

Naku uliza hivi [emoji116]

Tanzania yenye baraka, Inashindwaje kutumia rasilimali zilizopo kuleta maendeleo kwa Taifa?

Badala yake Tanzania ina Raia wengi maskini na walala hoi,

Viongozi wa Tanzania ni ombaomba wa misaada na mikopo kutoka kwa wazungu?

Unakwepa uhalisia ulivyo, kwa kujifariji na uongo?

Kama Tanzania ni baraka, leo hii isingekuwa ombaomba wa misaada na mikopo kutoka kwa wazungu.

Nakwambia tena hivi [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.
 
Kama wewe ni mpumbavu endelea kujivunia upumbavu,wewe kuzaliwa mweusi haimanishi kuwa umelaaniwa.Na ndiyo maana mnalilia DP World ambayo asili yake ni Waarabu watu weupe kuja kutawala bandari zenu kwa sababu ya ujinga huu huu wa kujidharau pumbavu.
Sema unachoweza sema ila uafrika mpaka sasa ni upumbavu
 
Hujui kuwa hata Maji ya ziwa Victoria kuyapeleka Dodoma, Nchi ilipitia upinzani usionwa kawaida?

Lowassa alipambana vilivyo, nyuma ya Umaskini wa Africa wapo wabaya wetu, wao wanajiita washindani au wabia wa maendeleo.
Hao wabaya ni kina nani?

Si ni Waafrika wenyewe kwa wenyewe walio walafi, wachumia matumbo na wala rushwa.

Ngozi nyeusi ina laana ya milele.
 
Huo ni ushahidi kuwa Umaskini wa meamfika ni WA kutengeneza.

Sisi tumebarikiwa, maadui wanaotumia ndugu zetu kutuhujumu Kwa kutumia mbinu mbalimbali, mikopo, mitaala mibovu, sera nk nk.

Ukiwa mnyonge duniani utakamuliwa hadi ufe. Survival of fittest, ni jungle, na law of jungle inawala. swala ataliwa siku zote na Simba. Muhimu kujiongeza kama Mchina, Mwarabu, Mzungu, mhindi. Wanajitambua zaidi ya Mwafrika wana umoja zaidi ndio nguvu yao.

Ila huku wanatumia majeshi, UN, ndugu zetu, kuua viongozi waaminifu, mikataba ya hovyo, rushwa, vikwazo vya kiuchumi kuziangamiza na kudhoofisha nzi zisizokubaliana na wao hasa ukiwa na assets nyingi.

Waarabu walijiongezea maeneo mengi Afrika magharibi Misri, Algeria, Morocco, Libya, Mauritania kutumia mapanga, jambia, dini uuaji mkubwa sasa hivi ni majority.

Wazungu vivyo hivyo bunduki, dini Kuchukua North, South and Central America Afrika, Asia.

Walikuwa wanafikiria vizazi vyao miaka 500, elfu ijao kuishi kwenye jangwa, baridi wangetoweka.

Sisi tunafikiria nini?
 
Dear Steven, nadhani tuache kuumauma, mkataba wowote lazima uwe na maslahi kwa wote. Meanwhile mwekezaji ni lazima alindwe, nasi pia tunapaswa kulindwa bila kuathiri biashara ya mwekezaji.

Je mkataba huu unatulinda sisi? Umetoa mfano DP wapo England na kwingineko, Je, mikataba yao ni ya aina hii ya kwetu? Katika nchi za dunia ya I na II ni wapi DP wana mikataba ya aina hii kama Tanzania? Tupe mifano tafadhali.
Mikataba yenye maslahi kwa wote ndio hii ya project contracts iliyomaliza kuandaliwa ili biashara iweze kuanza mwezi Oktoba mwishoni.

TICTS walikuwa pale bandarini kwa miaka 22, mimi na wewe tulishiriki vipi kutetea kulindwa kwa maslahi yetu kwenye hiyo mikataba iliyoongoza biashara?. Huyu ni mpangishaji tu wa pale bandarini wala haina sababu ya kumuogopa kama ambavyo wasomi wetu wote wanakuwa waoga.

Imeshapita mikataba mingi sana nchi hii na kila siku ipo mipya inayoongoza biashara mbalimbali na utekelezaji wa miradi mingi.
 
Kusema kwamba Tanzania ni baraka wala hakubadilishi Uhalisia ulivyo.

Naku uliza hivi [emoji116]

Tanzania yenye baraka, Inashindwaje kutumia rasilimali zilizopo kuleta maendeleo kwa Taifa?

Badala yake Tanzania ina Raia wengi maskini na walala hoi,

Viongozi wa Tanzania ni ombaomba wa misaada na mikopo kutoka kwa wazungu?

Unakwepa uhalisia ulivyo, kwa kujifariji na uongo?

Kama Tanzania ni baraka, leo hii isingekuwa ombaomba wa misaada na mikopo kutoka kwa wazungu.

Nakwambia tena hivi [emoji116]

Uafrika hasa utanzania ni laana.

Ujenzi wa Bwawa la mwalimu Nyerere,

Magu alipitia upinzani mkubwa Kutoka hao unaowaona matajiri, Hata World bank walimnyima mkopo Hadi akalazimika kwenda kukopa pesa bank za kibiashara Kwa riba kubwa.

Ujue kujitutumua Ili tufanye yetu, upinzani tutapata Kutoka waliotutangulia kimaendeleo.

Bwawa halijakamikika, wameshakuja DPp world kuzitaka bandari zetu, SGR, na bwawa likiwemo Ili tuendelee kuwaombaomba,

Nyuma ya DPp world yupo Marekani na west.

Uafrika ni BARAKA, wageni wanatamani utajiri wetu ndo sababu wanaleta Kila aina ya UOVU tufarakane.
 
Mikataba yenye maslahi kwa wote ndio hii ya project contracts iliyomaliza kuandaliwa ili biashara iweze kuanza mwezi Oktoba mwishoni.

TICTS walikuwa pale bandarini kwa miaka 22, mimi na wewe tulishiriki vipi kutetea kulindwa kwa maslahi yetu kwenye hiyo mikataba iliyoongoza biashara?. Huyu ni mpangishaji tu wa pale bandarini wala haina sababu ya kumuogopa kama ambavyo wasomi wetu wote wanakuwa waoga.

Imeshapita mikataba mingi sana nchi hii na kila siku ipo mipya inayoongoza biashara mbalimbali na utekelezaji wa miradi mingi.
Umehongwa au huna akili?
 
Ni akili za kitumwa kudhani kuwa kuna mtu katika karne hii atakufunga minyororo shingoni na kukurudisha utumwani, dunia imeshatoka huko.

Huyu mwarabu aliyewavalisha minyororo mababu zetu na kuwapiga viboko ndio ambaye wajukuu zake wanaendesha DPW, vipi aache kufanya biashara anazofanya dunia nzima kisa historia mbaya ya mababu zake?.

Kibaya zaidi utakuta haya ni mawazo ya mtu mwenye elimu ya juu sana na anao ushawishi na anasikilizwa huko makanisani na kwenye jumuiya mbalimbali tulizonazo!. Mungu alisaidie taifa hili.
Ni HAMNAZO au umehongwa?
 
Back
Top Bottom