Ni rahisi sana Afrika (Tanzania) kurudi utumwani

Ni rahisi sana Afrika (Tanzania) kurudi utumwani

Mikataba yenye maslahi kwa wote ndio hii ya project contracts iliyomaliza kuandaliwa ili biashara iweze kuanza mwezi Oktoba mwishoni.

TICTS walikuwa pale bandarini kwa miaka 22, mimi na wewe tulishiriki vipi kutetea kulindwa kwa maslahi yetu kwenye hiyo mikataba iliyoongoza biashara?. Huyu ni mpangishaji tu wa pale bandarini wala haina sababu ya kumuogopa kama ambavyo wasomi wetu wote wanakuwa waoga.

Imeshapita mikataba mingi sana nchi hii na kila siku ipo mipya inayoongoza biashara mbalimbali na utekelezaji wa miradi mingi.
Hapa hujajibu hoja zangu. Wewe endelea na propaganda. Kwaheri.
 
Ujenzi wa Bwawa la mwalimu Nyerere,

Magu alipitia upinzani mkubwa Kutoka hao unaowaona matajiri, Hata World bank walimnyima mkopo Hadi akalazimika kwenda kukopa pesa bank za kibiashara Kwa riba kubwa.

Ujue kujitutumua Ili tufanye yetu, upinzani tutapata Kutoka waliotutangulia kimaendeleo.

Bwawa halijakamikika, wameshakuja DPp world kuzitaka bandari zetu, SGR, na bwawa likiwemo Ili tuendelee kuwaombaomba,

Nyuma ya DPp world yupo Marekani na west.

Uafrika ni BARAKA, wageni wanatamani utajiri wetu ndo sababu wanaleta Kila aina ya UOVU tufarakane.
Hao matajiri wakubwa wana pewa dira na kupewa taarifa muhimu na waafrika sisi sisi,

Si kwamba wanakuja tu,Bila ya kuwa na ushirikiano wa kisiri na baadhi ya waafrika wenzetu, Sasa mpaka hapa huoni kwamba waafrika ndio tuna shida?

Kwa nini waafrika wasi ungane kwa pamoja kuwapinga hao wapinzani wa kizungu?

Huoni kwamba waafrika ndio wenye shida?

Huoni wazungu wame ungana, Wana umoja wa ulaya, wana bunge la Ulaya (EU), wana umoja wa kujihami NATO wana viza za pamoja Schengen Visa n.k

Magufuli alipingwa na kusalitiwa na watanzania walafi, wachumia matumbo na wakwepa kodi walio shirikiana na hao hao wazungu.

Wazungu na waarabu wapo Afrika kwa maslahi yao na vizazi vyao vijavyo, Sisi waafrika tulivyo wajinga tuna ungana nao kuuza rasilimali za vizazi vyetu.

Huoni kwamba sisi waafrika ndio wenye shida na ukosefu wa akili?

Uafrika ni laana.
 
Hao matajiri wakubwa wana pewa dira na kupewa taarifa muhimu na waafrika sisi sisi,

Si kwamba wanakuja tu,Bila ya kuwa na ushirikiano wa kisiri na baadhi ya waafrika wenzetu, Sasa mpaka hapa huoni kwamba waafrika ndio tuna shida?

Kwa nini waafrika wasi ungane kwa pamoja kuwapinga hao wapinzani wa kizungu?

Huoni kwamba waafrika ndio wenye shida?

Huoni wazungu wame ungana, Wana umoja wa ulaya, wana bunge la Ulaya (EU), wana umoja wa kujihami NATO wana viza za pamoja Schengen Visa n.k

Magufuli alipingwa na kusalitiwa na watanzania walafi, wachumia matumbo na wakwepa kodi walio shirikiana na hao hao wazungu.

Wazungu na waarabu wapo Afrika kwa maslahi yao na vizazi vyao vijavyo, Sisi waafrika tulivyo wajinga tuna ungana nao kuuza rasilimali za vizazi vyetu.

Huoni kwamba sisi waafrika ndio wenye shida na ukosefu wa akili?

Uafrika ni laana.
DP World iliasisiwa na Mtukufu Magufuri.
 
Mimi siyo mpumbavu nathamini na kuheshimu UAFRIKA wangu.
Ku uthamini Uafrika wala hakubadilishi Uhalisia wa mazingira ya Afrika yalivyo ya Hovyo.

Ni sawa na timu ya mpira kufungwa halafu inajipa matumaini kwamba, Licha ya kufungwa kwetu ila tume washambulia na kupiga pasi nyingi kwa timu pinzani.

Lakini kufungwa, wamefungwa.
 
Ku uthamini Uafrika wala hakubadilishi Uhalisia wa mazingira ya Afrika yalivyo ya Hovyo.

Ni sawa na timu ya mpira kufungwa halafu inajipa matumaini kwamba, Licha ya kufungwa kwetu ila tume washambulia na kupiga pasi nyingi kwa timu pinzani.

Lakini kufungwa, wamefungwa.
Unaulaani Uafrika lakini unasahau kuwa siasa safi Tanzania haipo,kwa nini usijulize kuwa nchi za Malawi,Zambia na Ghana ambazo zote ziko Afrika huwa zinafanyaje kubadilisha viongozi wa Vyama mbali mbali na nchi zao zikabikia salama?
 
Hata na wabunge waliopo leo wali asisiwa na maguuli huyo huyo.

Licha ya mazuri aliyoyafanya, Magufuli pia alikuwa na mabaya yake yanayo ligharimu taifa leo hii.
Uko sahihi kabisa tunapitia kipindi kigumu tangu taifa lipate uhuru kwa sababu ya mawazo ya Magufuri.Leo Bandari inaenda bure kwa Waarabu baada ya ccm kuona kuwa wameshindwa kuongoza nchi wakaona bora tukose wote.
 
Nijibu nimekuuliza,

Umehongwa au huna akili?

Maana unajaribu kulinganisha mkataba wa TICS na DP World!!
Kazi wanazofanya ni zile zile za ushushaji na upakiaji wa mizigo bandarini, suala zima la DP World limeingiziwa siasa nyingi za upotoshaji na sababu ni ukubwa wa kampuni yenyewe na namna inavyokwenda kuwaumbua wapigaji wa hapo TPA.
 
Kama Bado unaamini wewe ni mwafrika uliyelaaniwa,

Sina ninaloweza jadiliana nawe sababu Mimi Ni MWAFRIKA NILIYEBARIKIWA sana.
Uko sahihi,

Mwafrika hajalaaniwa, kuna ujinga tu ambao unaachwa ukatamalaki.
Ujinga huu umesababisha waafrika kuongozwa na viongozi wenye fikra za kijingajinga hivyo watu wetu kuzoea shida na uduni wa fikra.
Tunahitaji kuhamasishana, kupeana elimu ya kupambana katika zama hizi, bila kelele (kimya kimya), tunao uwezo wa kuwafanya chochote hao wanaojiona bora zaidi.
Changamoto kubwa ni wenzetu wasaliti wanaojitoa na kuwa submissive kwa wageni.
 
Kazi wanazofanya ni zile zile za ushushaji na upakiaji wa mizigo bandarini, suala zima la DP World limeingiziwa siasa nyingi za upotoshaji na sababu ni ukubwa wa kampuni yenyewe na namna inavyokwenda kuwaumbua wapigaji wa hapo TPA.
Hujajibu swali,

Je umehongwa au HAMNAZO?
 
Hao matajiri wakubwa wana pewa dira na kupewa taarifa muhimu na waafrika sisi sisi,

Si kwamba wanakuja tu,Bila ya kuwa na ushirikiano wa kisiri na baadhi ya waafrika wenzetu, Sasa mpaka hapa huoni kwamba waafrika ndio tuna shida?

Kwa nini waafrika wasi ungane kwa pamoja kuwapinga hao wapinzani wa kizungu?

Huoni kwamba waafrika ndio wenye shida?

Huoni wazungu wame ungana, Wana umoja wa ulaya, wana bunge la Ulaya (EU), wana umoja wa kujihami NATO wana viza za pamoja Schengen Visa n.k

Magufuli alipingwa na kusalitiwa na watanzania walafi, wachumia matumbo na wakwepa kodi walio shirikiana na hao hao wazungu.

Wazungu na waarabu wapo Afrika kwa maslahi yao na vizazi vyao vijavyo, Sisi waafrika tulivyo wajinga tuna ungana nao kuuza rasilimali za vizazi vyetu.

Huoni kwamba sisi waafrika ndio wenye shida na ukosefu wa akili?

Uafrika ni laana.
Kwamba wezi ndo unawaita Wana Akili, ila wanaoibiwa ni ......kama usemavyo?

Muda umefika, mkono umenyooshwa Kwa HUKUMU,

Mtetezi wa Wanyonge anakuja kuwatetea watu wake,

Anakuja Kwa HUKUMU, anakuja kuweka KITI chake Cha Enzi katika ardhi uliyoijanyaga Tanzania.

Anarudi tena Eden Ili kurudisha Amani kati ya Simba na mwanakondoo.

Mwanakondoo atanyonya maziwa ya Simba jike,

Mtoto mchanga atatia kidole ndani ya shimo la swila mwenye Sumu Kali na hatadhurika.

Anakuja mfalme kutawala miaka Elfu, KITI chake Cha Enzi ni Nyikani.

Hao wanaowadhulumu raia, Wana wa Mungu, hutowaona tena.

Itafika time, akichaguliwa mtu kukalia KITI hicho, atakataa na Kutoa udhuru,

KITI kitakuwa Cha moto, hakitakalika, ukikikalia umeisha.

IKULU, jumba jeupe Rasmi itajengwa MADHABAHU ya Mungu mkuu,

Watu hawataenda tena Kwa Waganga Kutoa kafara kupata uongozi, wote watauliza Kwa BWANA wa majeshi.

Pole kwako uonaye HUKUMU inachelewa juu ya nchi, pole kwako maana unaona waovu wanatamba na kuwakalia maskini.

Kuanzia 2024, utaona mabadiliko makubwa, mifumo inaenda kuvurugwa, hapatakuwa na RUSHWA tena, pesa itatafutwa Kwa tochi, wananchi watauliza Kila hesabu ya Kodi zao.

IMEKUWA.

Amen.
 
Ni uzalendo kwa taifa langu pekee Tanzania. Siwezi kuhongwa na sina sababu ya kujirahisisha.
Uzalendo ni kujenga uwezo wa ndani,

Uzalendo ni kuwezesha makampuni ya ndani, kuyadhanini wakope vifaa vya kisasa kuendesha Bandari zetu Kwa TIJA huku wakilinda Ajira za Watanzania.

Usilolijua Hadi sasa, Mkataba Ule Rasmi umetupwa Kapuni.

Zilipendwa.
 
Uzalendo ni kujenga uwezo wa ndani,

Uzalendo ni kuwezesha makampuni ya ndani, kuyadhanini wakope vifaa vya kisasa kuendesha Bandari zetu Kwa TIJA huku wakilinda Ajira za Watanzania.

Usilolijua Hadi sasa, Mkataba Ule Rasmi umetupwa Kapuni.

Zilipendwa.
Huko bara kuna tani zaidi ya milioni 20 zinazotakiwa kuletwa huku bandarini ili zisafirishwe huko nje, huo muda wa kujenga uwezo wa ndani na uendane na uelewa wetu kwamba hizi ni fursa ambazo zinatusubiri sisi tufaidike nazo.

Uwezo wa ndani bila ya teknolojia za kisasa, ni changamoto nzito sana.
 
Back
Top Bottom