Kwani ni lini Afrika ilipata Uhuru! Bado tuko utumwani.
Tuanze harakati za kujikomboa.
Kwa Mikataba hii ya madini na bandari unadhani Sisi ni watu huru? Aibu sana
Tulipata uhuru wa bendera. Hatuna uhuru wa kiuchumi, kiutamaduni, kifrikra, kisiasa.
Unaona waliojaribu kupinga huu mkataba, polisi inawasakama na wabunge kama mpina walivyofanywa wakitetea maslahi ya Taifa.