MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,199
Tanzania kuna mihimili mitatu,
1. Serikali
2. Bunge
3. Mahakama
Nchi ya kusadikika bado inazidi kutofautiana yenyewe, ni nchi moja yenye chama kimoja na nchi hii haikutaka kujijengea utawala wa kuambiana ukweli au kukosoana hata kama ni chama kimoja,,hii shida ya kutokosoana kisa tuu watu wametoka chama kimoja ndio inazidi kuleta shida.
Tangu enzi za ukoloni chama tawala kimekuwa kinacheza ngoma moja ya kusifiana na imejenga tabia na ikitokea umeikosoa serikali basi unaitwa usaliti.
Demokrasia ni neno pana sana,,usiseme nchi imerud kwenye democracy huku hutaki ukosolewe na mbunge au mwanachama aliyetoka chama chako,,nchi ya democracy serikali inakosolewa hata kama anayekukosoa katokea chama chako,,
Hii inayoendelea kati ya mama na Spika ni tabia iliyojengwa kuwa kusiwepo na kukosoana na hatimae mtu anaonekana kakosea kumbe sio kweli.
Na mwanzo nilisema mama alikosea sana kukubali ushaur wa kutengua mawazir wa JPM,wale ndio walikua turufu kwake,,ila sasa kaona aliowaweka hawafai ametangaza mkeka mpyaaa.
Sitaki kuongea mengi nayoyajua yanakuja ila mechi hii mshindi lazima apatikane,,hii inaitwa nani amuwahi mwenzake.
Je spika atumie kiti cha bunge kumoblize wabunge kutokua na imani na Rais na mwishoe Rais aondolewe madarakan?
Au mama amuwahi spika kwa kumoblize wabunge kwa kupeleka hoja ya kutokua na imani na spika ili baadae Spika aondolewe?
Hii vita haijaisha, subirini bunge lije, kwa sasa tuko half time?
I will tell you before 2013, who will be the next President. Acha moto ufukute kwanza!
1. Serikali
2. Bunge
3. Mahakama
Nchi ya kusadikika bado inazidi kutofautiana yenyewe, ni nchi moja yenye chama kimoja na nchi hii haikutaka kujijengea utawala wa kuambiana ukweli au kukosoana hata kama ni chama kimoja,,hii shida ya kutokosoana kisa tuu watu wametoka chama kimoja ndio inazidi kuleta shida.
Tangu enzi za ukoloni chama tawala kimekuwa kinacheza ngoma moja ya kusifiana na imejenga tabia na ikitokea umeikosoa serikali basi unaitwa usaliti.
Demokrasia ni neno pana sana,,usiseme nchi imerud kwenye democracy huku hutaki ukosolewe na mbunge au mwanachama aliyetoka chama chako,,nchi ya democracy serikali inakosolewa hata kama anayekukosoa katokea chama chako,,
Hii inayoendelea kati ya mama na Spika ni tabia iliyojengwa kuwa kusiwepo na kukosoana na hatimae mtu anaonekana kakosea kumbe sio kweli.
Na mwanzo nilisema mama alikosea sana kukubali ushaur wa kutengua mawazir wa JPM,wale ndio walikua turufu kwake,,ila sasa kaona aliowaweka hawafai ametangaza mkeka mpyaaa.
Sitaki kuongea mengi nayoyajua yanakuja ila mechi hii mshindi lazima apatikane,,hii inaitwa nani amuwahi mwenzake.
Je spika atumie kiti cha bunge kumoblize wabunge kutokua na imani na Rais na mwishoe Rais aondolewe madarakan?
Au mama amuwahi spika kwa kumoblize wabunge kwa kupeleka hoja ya kutokua na imani na spika ili baadae Spika aondolewe?
Hii vita haijaisha, subirini bunge lije, kwa sasa tuko half time?
I will tell you before 2013, who will be the next President. Acha moto ufukute kwanza!