Ni Rais au Spika? Mmoja lazima achomoke

Ni Rais au Spika? Mmoja lazima achomoke

MAGAMBA MATATU

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2011
Posts
646
Reaction score
1,199
Tanzania kuna mihimili mitatu,
1. Serikali
2. Bunge
3. Mahakama

Nchi ya kusadikika bado inazidi kutofautiana yenyewe, ni nchi moja yenye chama kimoja na nchi hii haikutaka kujijengea utawala wa kuambiana ukweli au kukosoana hata kama ni chama kimoja,,hii shida ya kutokosoana kisa tuu watu wametoka chama kimoja ndio inazidi kuleta shida.

Tangu enzi za ukoloni chama tawala kimekuwa kinacheza ngoma moja ya kusifiana na imejenga tabia na ikitokea umeikosoa serikali basi unaitwa usaliti.

Demokrasia ni neno pana sana,,usiseme nchi imerud kwenye democracy huku hutaki ukosolewe na mbunge au mwanachama aliyetoka chama chako,,nchi ya democracy serikali inakosolewa hata kama anayekukosoa katokea chama chako,,

Hii inayoendelea kati ya mama na Spika ni tabia iliyojengwa kuwa kusiwepo na kukosoana na hatimae mtu anaonekana kakosea kumbe sio kweli.

Na mwanzo nilisema mama alikosea sana kukubali ushaur wa kutengua mawazir wa JPM,wale ndio walikua turufu kwake,,ila sasa kaona aliowaweka hawafai ametangaza mkeka mpyaaa.

Sitaki kuongea mengi nayoyajua yanakuja ila mechi hii mshindi lazima apatikane,,hii inaitwa nani amuwahi mwenzake.

Je spika atumie kiti cha bunge kumoblize wabunge kutokua na imani na Rais na mwishoe Rais aondolewe madarakan?

Au mama amuwahi spika kwa kumoblize wabunge kwa kupeleka hoja ya kutokua na imani na spika ili baadae Spika aondolewe?

Hii vita haijaisha, subirini bunge lije, kwa sasa tuko half time?

I will tell you before 2013, who will be the next President. Acha moto ufukute kwanza!
 
😁😁😁
16413743210542.jpg
 
Mkuu mie nasubiri huo utabiri wako tena kwa hamu sana.

Tufanyie upesi ndugu, watu kama nyie ni adimu sana na kiukweli tunashauku sana mkuu tujue hatma ya nchi yetu ili tuimbe wimbo mzuri wa Tazama Ramani, utaona nchi nzuri na Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote kisha tutamalizia na Chorus/kibwagizo cha Mungu Ibariki TANZANIA, Mungu Ibariki Afrika!!

We wish you all the best!!
 
Wabunge wa ccm wameanza kupanga njama ya kumuondoa ndugai mambo yameanza huko twita
 
Tanzania kuna mihimili mitatu,
1. Serikali
2. Bunge
3. Mahakama

Nchi ya kusadikika bado inazidi kutofautiana yenyewe, ni nchi moja yenye chama kimoja na nchi hii haikutaka kujijengea utawala wa kuambiana ukweli au kukosoana hata kama ni chama kimoja,,hii shida ya kutokosoana kisa tuu watu wametoka chama kimoja ndio inazidi kuleta shida.

Tangu enzi za ukoloni chama tawala kimekuwa kinacheza ngoma moja ya kusifiana na imejenga tabia na ikitokea umeikosoa serikali basi unaitwa usaliti.

Demokrasia ni neno pana sana,,usiseme nchi imerud kwenye democracy huku hutaki ukosolewe na mbunge au mwanachama aliyetoka chama chako,,nchi ya democracy serikali inakosolewa hata kama anayekukosoa katokea chama chako,,

Hii inayoendelea kati ya mama na Spika ni tabia iliyojengwa kuwa kusiwepo na kukosoana na hatimae mtu anaonekana kakosea kumbe sio kweli.

Na mwanzo nilisema mama alikosea sana kukubali ushaur wa kutengua mawazir wa JPM,wale ndio walikua turufu kwake,,ila sasa kaona aliowaweka hawafai ametangaza mkeka mpyaaa.

Sitaki kuongea mengi nayoyajua yanakuja ila mechi hii mshindi lazima apatikane,,hii inaitwa nani amuwahi mwenzake,,
Je spika atumie kiti cha bunge kumoblize wabunge kutokua na imani na Rais na mwishoe Rais aondolewe madarakan?
Au mama amuwahi spika kwa kumoblize wabunge kwa kupeleka hoja ya kutokua na imani na spika ili baadae Spika aondolewe??

Hii vita haijaisha,,subirin bunge lije,,kwa sasa tuko half time????

I will tell you before 2013,who will be the next President. Acha moto ufukute kwanza!
CCM ni chama kikubwa ambacho ndio kinaongoza serikali, kwa kutubu kwa Mh. Spika na Wote kutoa ya moyoni na kwa historia ya chama, haya mambo yatamalizwa vizuri tu amicably na Wote wanaohujumu kurudi kwenye njia sahihi ya kujenga nchi kama Mama alivyojitanabaisha kuwa focus ni kujenga nchi na maisha ya watu. haya mengine tunachochea kuni mbichi ambazo hazitawaka kamwe.
 
Mama ajifunze subira

Jakaya alipingwa hadharan na kina Sofia Simba baada ya Kikao cha Kamati kuu 11th June,2015 na baada ya hapo hakuwafukuza kwny baraza la Mawaziri hadi mwisho wa utawala wake


Kina Zakia Meghji walimchenjia Benjamin Mkapa May2,2005 kwny Kamati kuu wakati wa mjadala wa kumkata Jakaya lakin hakuweka kinyongo

JPM alisemwa vibaya na kina Nape na Kinana lakin alipoombwa msamaha akasamehe

Mwinyi alitukanwa na kina Njelu kasaka kwny G55 hakufukuza Mtu

Kama Mkuu wa Muhimili mwenzie kajishusha hadi kamuomba radhi hadharan basi nae anapaswa kumsamehe na kufuta kinyongo na hayo ndio mafundisho ya Rasuli na utamaduni wa Ki Africa
 
Mama ajifunze subira

Jakaya alipingwa hadharan na kina Sofia Simba baada ya Kikao cha Kamati kuu 11th June,2015
Yawezekana ninyi mmebeba hilo la kukosoa lakini yawezekana kuna mengi zaid ya hilo moja ambayo yako nyuma ya pazia
 
Naona kama sasa naanza kumuelewa JPM alivyokuwa anasema "nimejitoa sadaka kwa ajili ya Watanzania maskini." Kwa ngoma ilivyo lazima watu wagawame fito. Wahuni vs Viroboto. Naamini hii mechi timu Viroboto wataibuka videdea maana wananchi wako upande wao maana Wana macho na masikio wanasikia na kutendewa wanayotendewa.
 
Tatizo spika anakosoa kwa maslani binafsi au kwa maslahi ya kongwa na sukuma gang, si ya nchi.
Inawezekana kabisa mama ana taarifa sahihi kabisa za kikao cha siri kilicho kaliwa kule mahala na ana details zote tena kamili kabisa
 
Naona kama sasa naanza kumuelewa JPM alivyokuwa anasema "nimejitoa sadaka kwa ajili ya Watanzania maskini." Kwa ngoma ilivyo lazima watu wagawame fito. Wahuni vs Viroboto. Naamini hii mechi timu Viroboto wataibuka videdea maana wananchi wako upande wao maana Wana macho na masikio wanasikia na kutendewa wanayotendewa.
Kwanza usiwaamini wananchi wa tanzania hilo la kwanza utaaibika bure.
 
Mama ajifunze subira

Jakaya alipingwa hadharan na kina Sofia Simba baada ya Kikao cha Kamati kuu 11th June,2015 na baada ya hapo hakuwafukuza kwny baraza la Mawaziri hadi mwisho wa utawala wake


Kina Zakia Meghji walimchenjia Benjamin Mkapa May2,2005 kwny Kamati kuu wakati wa mjadala wa kumkata Jakaya lakin hakuweka kinyongo

JPM alisemwa vibaya na kina Nape na Kinana lakin alipoombwa msamaha akasamehe

Mwinyi alitukanwa na kina Njelu kasaka kwny G55 hakufukuza Mtu

Kama Mkuu wa Muhimili mwenzie kajishusha hadi kamuomba radhi hadharan basi nae anapaswa kumsamehe na kufuta kinyongo na hayo ndio mafundisho ya Rasuli na utamaduni wa Ki Africa
Mazingira ni tofauti kabisa bwashee!
 
Mama ajifunze subira

Jakaya alipingwa hadharan na kina Sofia Simba baada ya Kikao cha Kamati kuu 11th June,2015 na baada ya hapo hakuwafukuza kwny baraza la Mawaziri hadi mwisho wa utawala wake


Kina Zakia Meghji walimchenjia Benjamin Mkapa May2,2005 kwny Kamati kuu wakati wa mjadala wa kumkata Jakaya lakin hakuweka kinyongo

JPM alisemwa vibaya na kina Nape na Kinana lakin alipoombwa msamaha akasamehe

Mwinyi alitukanwa na kina Njelu kasaka kwny G55 hakufukuza Mtu

Kama Mkuu wa Muhimili mwenzie kajishusha hadi kamuomba radhi hadharan basi nae anapaswa kumsamehe na kufuta kinyongo na hayo ndio mafundisho ya Rasuli na utamaduni wa Ki Africa
Hiyo mifano haiendani na kilichotokea kwa Ndugai. Ndugai ni Mkuu wa Mhimili wa utawala wakati hao uliowataja walikuwa mawaziri tu ndani ya Mhimili wa Serikali.

Katika historia hatujawahi kuwa na Spika mbumbumbu na asiye na hekima kama huyu Ndugai. Kuna lack of trust kutoka kwa Rais wake, lazima ang'oke tu
 
Back
Top Bottom