Hiyo mifano haiendani na kilichotokea kwa Ndugai. Ndugai ni Mkuu wa Mhimili wa utawala wakati hao uliowataja walikuwa mawaziri tu ndani ya Mhimili wa Serikali.
Katika historia hatujawahi kuwa na Spika mbumbumbu na asiye na hekima kama huyu Ndugai. Kuna lack of trust kutoka kwa Rais wake, lazima ang'oke tu
Ndiyo huyu. Threads zake siyo za kupuuza kwa utabiri ule.Mkuu wewe ndio ulitabiri kwamba ifikapo mwaka 2015 nchi hii itaendeshwa kidikteta? kama sura inakuja halafu inakata hivi?
Mazingira ni tofauti kabisa bwashee!
Ndugai hajampinga Rais bali amepinga mikopo!Aking'olewa Spika kwa kigezo cha kumpinga Rais itakuwa msiba mkubwa kwa Demokrasia…Spika mpya atakuwa very submissive kwa Rais badala ya kufanya kazi ya kusimamia Serikali
'Mawazo hayapigwi rungu'-JK
Kama mtu kakukosoa wewe toa ufafanuzi Jamii ndio itamuona hamnazo na kizuri zaid mkosaji kaomba radhi hadharan itoshe
ya kudemka🤣🤣Ngoma ya Makunduchi vs Kongwa.
Naielewa hoja yako. Lakin kwa maoni yangu huyu bwana Kazi tangu nianze kumjua, hasa alipokalia kiti cha usipika niwe mkweri kichwani ni mtupu. Huyu hawezi simamia hoja nzito nzito kama watangulizi wake walivyofanya. Kama issues kadhaa zilienda mezani kwake akazizima. Ningemuunga mkono leo kama angesimamia zile issue wakati wa mwendazake.Aking'olewa Spika kwa kigezo cha kumpinga Rais itakuwa msiba mkubwa kwa Demokrasia…Spika mpya atakuwa very submissive kwa Rais badala ya kufanya kazi ya kusimamia Serikali
'Mawazo hayapigwi rungu'-JK
Kama mtu kakukosoa wewe toa ufafanuzi Jamii ndio itamuona hamnazo na kizuri zaid mkosaji kaomba radhi hadharan itoshe
Naielewa hoja yako. Lakin kwa maoni yangu huyu bwana Kazi tangu nianze kumjua, hasa alipokalia kiti cha usipika niwe mkweri kichwani ni mtupu. Huyu hawezi simamia hoja nzito nzito kama watangulizi wake walivyofanya. Kama issues kadhaa zilienda mezani kwake akazizima. Ningemuunga mkono leo kama angesimamia zile issue wakati wa mwendazake.
Lakin kudhihirisha kuwa ni mtupu kichwani akaenda kuomba msamaha kwa kusingiziwa ameeditiwa.
Tuna sipika ambae hana analoliamini na kulisimamia
Ndugai hajampinga Rais bali amepinga mikopo!
Hii ngoma wala haitafika asubuhi, kila kitu kitatulia na maisha ya Unafki yataendelea.Tanzania kuna mihimili mitatu,
1. Serikali
2. Bunge
3. Mahakama
Nchi ya kusadikika bado inazidi kutofautiana yenyewe, ni nchi moja yenye chama kimoja na nchi hii haikutaka kujijengea utawala wa kuambiana ukweli au kukosoana hata kama ni chama kimoja,,hii shida ya kutokosoana kisa tuu watu wametoka chama kimoja ndio inazidi kuleta shida.
Tangu enzi za ukoloni chama tawala kimekuwa kinacheza ngoma moja ya kusifiana na imejenga tabia na ikitokea umeikosoa serikali basi unaitwa usaliti.
Demokrasia ni neno pana sana,,usiseme nchi imerud kwenye democracy huku hutaki ukosolewe na mbunge au mwanachama aliyetoka chama chako,,nchi ya democracy serikali inakosolewa hata kama anayekukosoa katokea chama chako,,
Hii inayoendelea kati ya mama na Spika ni tabia iliyojengwa kuwa kusiwepo na kukosoana na hatimae mtu anaonekana kakosea kumbe sio kweli.
Na mwanzo nilisema mama alikosea sana kukubali ushaur wa kutengua mawazir wa JPM,wale ndio walikua turufu kwake,,ila sasa kaona aliowaweka hawafai ametangaza mkeka mpyaaa.
Sitaki kuongea mengi nayoyajua yanakuja ila mechi hii mshindi lazima apatikane,,hii inaitwa nani amuwahi mwenzake.
Je spika atumie kiti cha bunge kumoblize wabunge kutokua na imani na Rais na mwishoe Rais aondolewe madarakan?
Au mama amuwahi spika kwa kumoblize wabunge kwa kupeleka hoja ya kutokua na imani na spika ili baadae Spika aondolewe?
Hii vita haijaisha, subirini bunge lije, kwa sasa tuko half time?
I will tell you before 2013, who will be the next President. Acha moto ufukute kwanza!
Kupingwa na mawaziri ndio mbaya zaidi kuliko kupingwa na spika.Hiyo mifano haiendani na kilichotokea kwa Ndugai. Ndugai ni Mkuu wa Mhimili wa utawala wakati hao uliowataja walikuwa mawaziri tu ndani ya Mhimili wa Serikali.
Katika historia hatujawahi kuwa na Spika mbumbumbu na asiye na hekima kama huyu Ndugai. Kuna lack of trust kutoka kwa Rais wake, lazima ang'oke tu
Hata hili ni dhaifu. Hoja yako ni kwamba tutakua tunatengeza bunge dhaifu zaidi. Hili la Ndugai ni dhaifu sana. Wana CCM sasa ndiyo wameelewa udhaifu wa bunge lao. Hawana wa kumsingizia ndani ya bunge lao. Uamuzi wowote kwenye hili sakata, ni aibu tupu kwa CCM.Spika ajae atakuwa Muoga kuliko Job Ndugai kama ndugai ataondolewa kwa kigezo cha kumkosoa Rais hiyo ndio hoja yangu
Kama Spika atang'olewa kwa 'kosa' la kumkosoa Rais tujiandae kuwa na Bunge dhaifu kuwahi kutokea Nchini
Amewahi kuisimamia na kuiwajibisha?Kupingwa na mawaziri ndio mbaya zaidi kuliko kupingwa na spika.
Hadi sasa sijaona kosa la ndugai, ndugai hayupo bungeni kumpigia magogi raisi. Yupo kuisimamia serikali na kuiwajibisha
Vivaaa!!! sukuma gang.Kwa uzi wako huu, liko wazi Mama Samia atakaa pembeni. Team Hayati JPM bado mizizi imetitia ndani mama hawezi ogopwa maana amechongwa na team Hayati JPM hivyo hakuna kurudi nyuma.
Hawa ndio wenye nchi kwa sasa, hivyo hawatishikia kabisa muda mwingine saa mbovu husoma muda sahihi kabisa hivyo waliomtengeneza na kumfikisha hapo hawuogopi..Vivaaa!!! sukuma gang.
Japo Ndugai alitusaliti bwagamoyo port.
Sema msoga wanakuja kwa kasi..Hawa ndio wenye nchi kwa sasa, hivyo hawatishikia kabisa muda mwingine saa mbovu husoma muda sahihi kabisa hivyo waliomtengeneza na kumfikisha hapo hawuogopi..
Nionavyo hata hiyo katiba hajazaliwa wa kuisimamia, msimamizi wa watunga sheria mwenyewe anajificha juu ya meza japo anayo ulizi kikatiba.Tiba ya yote ni katiba mpya
Spika ni mtu mdogo sana ukimlinganisha na Rais.. Kumbuka Rais ni Mwenyekiti wa CCM ambacho kwa jinsi kilivyo ni chama -dola.. Hivyo kumwondoa Rais kwa kura za Wabunge ni ndoto za mchana..Tanzania kuna mihimili mitatu,
1. Serikali
2. Bunge
3. Mahakama
Nchi ya kusadikika bado inazidi kutofautiana yenyewe, ni nchi moja yenye chama kimoja na nchi hii haikutaka kujijengea utawala wa kuambiana ukweli au kukosoana hata kama ni chama kimoja,,hii shida ya kutokosoana kisa tuu watu wametoka chama kimoja ndio inazidi kuleta shida.
Tangu enzi za ukoloni chama tawala kimekuwa kinacheza ngoma moja ya kusifiana na imejenga tabia na ikitokea umeikosoa serikali basi unaitwa usaliti.
Demokrasia ni neno pana sana,,usiseme nchi imerud kwenye democracy huku hutaki ukosolewe na mbunge au mwanachama aliyetoka chama chako,,nchi ya democracy serikali inakosolewa hata kama anayekukosoa katokea chama chako,,
Hii inayoendelea kati ya mama na Spika ni tabia iliyojengwa kuwa kusiwepo na kukosoana na hatimae mtu anaonekana kakosea kumbe sio kweli.
Na mwanzo nilisema mama alikosea sana kukubali ushaur wa kutengua mawazir wa JPM,wale ndio walikua turufu kwake,,ila sasa kaona aliowaweka hawafai ametangaza mkeka mpyaaa.
Sitaki kuongea mengi nayoyajua yanakuja ila mechi hii mshindi lazima apatikane,,hii inaitwa nani amuwahi mwenzake.
Je spika atumie kiti cha bunge kumoblize wabunge kutokua na imani na Rais na mwishoe Rais aondolewe madarakan?
Au mama amuwahi spika kwa kumoblize wabunge kwa kupeleka hoja ya kutokua na imani na spika ili baadae Spika aondolewe?
Hii vita haijaisha, subirini bunge lije, kwa sasa tuko half time?
I will tell you before 2013, who will be the next President. Acha moto ufukute kwanza!
Hakumuomba radhi Rais specific. Yeye kawaomba radhi wananchi kiMama ajifunze subira
Jakaya alipingwa hadharan na kina Sofia Simba baada ya Kikao cha Kamati kuu 11th June,2015 na baada ya hapo hakuwafukuza kwny baraza la Mawaziri hadi mwisho wa utawala wake
Kina Zakia Meghji walimchenjia Benjamin Mkapa May2,2005 kwny Kamati kuu wakati wa mjadala wa kumkata Jakaya lakin hakuweka kinyongo
JPM alisemwa vibaya na kina Nape na Kinana lakin alipoombwa msamaha akasamehe
Mwinyi alitukanwa na kina Njelu kasaka kwny G55 hakufukuza Mtu
Kama Mkuu wa Muhimili mwenzie kajishusha hadi kamuomba radhi hadharan basi nae anapaswa kumsamehe na kufuta kinyongo na hayo ndio mafundisho ya Rasuli na utamaduni wa Ki Africa