inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Duh,inaeleza mengi kuhusu mshikamano ndani ya chamaHata Lissu alikuwa hana nia ya kuwania uenyekiti CHADEMA mpaka Wenje alivyotangaza nia kugombea umakamu mwenyekiti CHADEMA.
Ndiyo Lissu akasema mkimwaga ugali namwaga mboga.
This is serendipity.
Wamerudi wote dadeki. Kweli Lissu effect si mchezoNimewaona akina Laki Si Pesa waliokimbia enzi za Magu, nikashangaa sana.
Hata Faiza Foxy karudi.
Hivi juzi niliona post ya Msaga Sumu na Magamba Matatu
Na wengine wanakuja kwa ID tofautiWamerudi wote dadeki. Kweli Lissu effect si mchezo
Kuna Jamaa anaitwa Molemo hajaonekana humu kwa miaka takribani 3 kaja mwezi huu tu wa January Wakati wa Mbowe vs Lissu SaggaWamerudi wote dadeki. Kweli Lissu effect si mchezo
MPaaaka waseeeemeeeWamerudi wote dadeki. Kweli Lissu effect si mchezo
Kwanza sijakuzingua ila nilikuulizaSijasema umeniambia hili ni tatizo langu.
Nimekuambia hilo ni tatizo lako, si langu.
Kama wewe hujui Kiingereza jifunze, usinizingue mimi kwa sababu wewe hujui Kiingereza.
Jifunze Kiingereza. Usinishumike shati mimi kwa sababu wewe hujui Kiingereza.
Tunawakaribisha chama pendwa kwenye uhalisia wamaisha na mazingira ya mtanzania,watoke kwenye maigizo na wayakatae kwa moyo wao wote na kwa vitendo.Na wengine wanakuja kwa ID tofauti
Mkuu, kwa jinsi tunavyo kufahamu, kama comment yako ya awali ndio hii, basi UMEFIKWA.Naona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe kama mjinga vile.
Pengine tatizo lako hujui mantiki katika lugha yoyote.Kwanza sijakuzingua ila nilikuuliza
Binadamu wa kawaida huwa wanajibu maswali
Na hiyo usinishumike shati nacho ni kiswahili
Inabidi nikajifunze
Maana naona sijui lugha yoyote
KabisaTunawakaribisha chama pendwa kwenye uhalisia wamaisha na mazingira ya mtanzania,watoke kwenye maigizo na wayakatae kwa moyo wao wote na kwa vitendo.
Mbona sisi wachaga hatuna hizo fikra unazozingumzia weweWamepanic kivipi wakati they think about how to harvest 48.5% CDM members ambao hawajampigia Mbowe
We unafikiri wachaga watamuachia Lissu kilaini laini
Pengine mi ni binadamu wa kawaidaPengine tatizo lako hujui mantiki katika lugha yoyote.
Sema kwa wizi wa kura uliopo nchi hii kuishusha ndio ngumu,upinzani una nguvu ya kutosha tu,tatizo weziUmeanza vizuri ila hapo mwisho kwenye mpakwa mafuta,umeharibu kila kitu,ila kumbuka hata Lisu mwenyewe hakutarajia kama angekuwa mwenyekiti.aliingia tu kama kukomoa vile baada ya kuona kuna mtu anataka kuwa naibu mwenyekiti.
Kitakachotokea na CCM kupata upinzani wenye nguvu,ila kwa aina ya wapinzani tuliona nchini,kuishusha CCM bado ni ngumu mno
Hakuna binadamu wa kawaida.Pengine mi ni binadamu wa kawaida
Jipe moyoUmeanza vizuri ila hapo mwisho kwenye mpakwa mafuta,umeharibu kila kitu,ila kumbuka hata Lisu mwenyewe hakutarajia kama angekuwa mwenyekiti.aliingia tu kama kukomoa vile baada ya kuona kuna mtu anataka kuwa naibu mwenyekiti.
Kitakachotokea na CCM kupata upinzani wenye nguvu,ila kwa aina ya wapinzani tuliona nchini,kuishusha CCM bado ni ngumu mno
Umejuaje hakuna wakati Mimi nipo ?Hakuna binadamu wa kawaida.
Wewe kwanza hata si binadamu, achilia mbali wa kawaida.Umejuaje hakuna wakati Mimi nipo ?
Ccm sio chama cha siasa. Ni kikundi cha dola kinachofanya siasa.chadema ndio wanatutafuta uchokozi uzuri chama cha mapinduzi ni kikomavu kisiasa huko tumeshapita ndugu