Ni sababu ipi ya paka kumtesa panya kwa kumchezea badala ya kumuua haraka?

Ni sababu ipi ya paka kumtesa panya kwa kumchezea badala ya kumuua haraka?

Panya hawana adabu wanastahili adhabu kwakuwa ni wasumbufu sana,wametafuna nyaya za spika kweny bufa,nguo zang wametafuna cha ajab anatoboa kidogo tu anaiacha anatafuna nyingine
Hiyo ni stail nzuri ya kuadhibu vitu kama ivyo hata mwizi tu ukimkamata njia nzuri ya kumuadhib ni kumkata kidog kidog ili hasira zipungue ..
 
Paka anatufundisha wanaume tusiwagegede wanawake kabla hatujawafanyia romansi...

Maandalizi ni muhimu kabla ya mgegedo.

Nadhani nimeeleweka hasa pale ambapo huyu mnyama anaitwa "pussy"

Ngoja nimalizie K Vant yangu nilale
Aisee kidogo nishangae kwa maana aya ya mwisho ilivyoandikwa lazima nitakutana na post ya namna hii kuscroll tu naumana nayo
 
Kiukweli paka ni wanyama wakatili sana, kuna paka hapa nyumbani huwa akikamata panya huko store inakuwaga ni mateso makali sana kwa panya.

Anachofanya anambeba panya kwa mdomo anamleta uwanja wa wazi anamwachia, hapo panya akianza kukimbia paka anamrukia anampiga makucha panya, anambeba upya kwa mdomo anamleta katikati ya uwanja anamwachia huku akijifanya kama vile hana muda naye.

Pindi panya akidhani kasemehewa anaanza kukimbia haraka lakini paka hamwachi afike mbali anamrukia anampiga makucha anambeba, yani ni hivyo hivyo mpaka panya anaishiwa matumaini kabisa anatulia tu kakubali yaishe ndio analiwa.

Ni mateso makali mno kwa panya, badala ya kuuliwa haraka anauliwa taratibu sana kwa maumivu makali sana kisaikolojia.
Screenshot_20220208-144244.jpg
 
Paka anatufundisha wanaume tusiwagegede wanawake kabla hatujawafanyia romansi...

Maandalizi ni muhimu kabla ya mgegedo.

Nadhani nimeeleweka hasa pale ambapo huyu mnyama anaitwa "pussy"

Ngoja nimalizie K Vant yangu nilale
Nimeipenda sentesi ya mwisho kuhusu kvant!
 
Paka anaona yule anaemfuga ndio kijakazi wake


Yaani wewe ndio anakufuga namkumbuka motii wangu nilikuwa namchanganyia bangi kwenye dagaa wa kopo
Usije ukafanya hivyo lwa dogi. Rex shenzy sana, msokoto mmoja tu wa bangi akafumua banda la kuku na kuwatanguliza kuku wote mbele ya haki. Walale pema peponi kuku wangu..
 
Back
Top Bottom