Nibiru
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 596
- 828
Wampumzishe mende sasa, kifo cha panya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wampumzishe mende sasa, kifo cha panya
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]khaaa hii Kali!!Paka anatufundisha wanaume tusiwagegede wanawake kabla hatujawafanyia romansi...
Maandalizi ni muhimu kabla ya mgegedo.
Nadhani nimeeleweka hasa pale ambapo huyu mnyama anaitwa "pussy"
Ngoja nimalizie K Vant yangu nilale
Aisee kidogo nishangae kwa maana aya ya mwisho ilivyoandikwa lazima nitakutana na post ya namna hii kuscroll tu naumana nayoPaka anatufundisha wanaume tusiwagegede wanawake kabla hatujawafanyia romansi...
Maandalizi ni muhimu kabla ya mgegedo.
Nadhani nimeeleweka hasa pale ambapo huyu mnyama anaitwa "pussy"
Ngoja nimalizie K Vant yangu nilale
Kiukweli paka ni wanyama wakatili sana, kuna paka hapa nyumbani huwa akikamata panya huko store inakuwaga ni mateso makali sana kwa panya.
Anachofanya anambeba panya kwa mdomo anamleta uwanja wa wazi anamwachia, hapo panya akianza kukimbia paka anamrukia anampiga makucha panya, anambeba upya kwa mdomo anamleta katikati ya uwanja anamwachia huku akijifanya kama vile hana muda naye.
Pindi panya akidhani kasemehewa anaanza kukimbia haraka lakini paka hamwachi afike mbali anamrukia anampiga makucha anambeba, yani ni hivyo hivyo mpaka panya anaishiwa matumaini kabisa anatulia tu kakubali yaishe ndio analiwa.
Ni mateso makali mno kwa panya, badala ya kuuliwa haraka anauliwa taratibu sana kwa maumivu makali sana kisaikolojia.
Ni kweli kabisaaa hii,Paka haijalishi jinsia yao humithilishwa na wanawake kupelekea hata papuchi kuitwa pussy. Ukichunguza kila tabia aliyokuwa nayo paka inashabihiana na ya binadamu wa kike.
Nimeipenda sentesi ya mwisho kuhusu kvant!Paka anatufundisha wanaume tusiwagegede wanawake kabla hatujawafanyia romansi...
Maandalizi ni muhimu kabla ya mgegedo.
Nadhani nimeeleweka hasa pale ambapo huyu mnyama anaitwa "pussy"
Ngoja nimalizie K Vant yangu nilale
Hiyo ya "pussy" hujaipenda? Bila pussy usingezaliwa, usisahau.Nimeipenda sentesi ya mwisho kuhusu kvant!
Usije ukafanya hivyo lwa dogi. Rex shenzy sana, msokoto mmoja tu wa bangi akafumua banda la kuku na kuwatanguliza kuku wote mbele ya haki. Walale pema peponi kuku wangu..Paka anaona yule anaemfuga ndio kijakazi wake
Yaani wewe ndio anakufuga namkumbuka motii wangu nilikuwa namchanganyia bangi kwenye dagaa wa kopo
Mwamshe basi najua uko naye hapo umemfunika na kyupi. Pussy nyau...Ngoja paka aje ajibu hizi tuhuma.
Mtoa mada amemaanisha huyu sio huyo alie kichwani kwako babu...Mwamshe basi najua uko naye hapo umemfunika na kyupi. Pussy nyau..
Lakini wote wana tabia moja. Wanapenda kubembelezwa, kudekezwa na kufanya mambo taratiiiibu kwa raha zao...
'Ni mnyama mkatili sanaa'Lakini wote wana tabia moja. Wanapenda kubembelezwa, kudekezwa na kufanya mambo taratiiiibu kwa raha zao...
Au nasema uongo mama pretty wangu?