Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
inatisha sana, kwa hiyo Panya analeta ulemavu kwa watuWe wakishua ndo maana unashangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inatisha sana, kwa hiyo Panya analeta ulemavu kwa watuWe wakishua ndo maana unashangaa
Huyo ana bahati. Angekuwa wangu hivi sasa angeshakuwa marehemuWa kwangu kwenye sofa anakona yake anapenda kukaa, tumeweka kitambaa kwa ajili ya manyoya sasa ikitokea ukakaa kwenye hiyo kona yake atakutoa kwa kukusukuma na viguu vyake ukiwa mbishi atatishia kukung'ata ukiwa mbishi zaidi anasusa hatokaa tena hata umuite vipi haji, hadi hasira zake ziishe
Ukatili wake unakuja pale anapoanza mbwembwe zake za "utume na ya kutolea kabisa"'Ni mnyama mkatili sanaa'
Punguza ushirikina mkuu,una ushahidi wa hayo ?Paka ni CCTV ya [emoji89], usiulize sana, namaanisha, unaweza ukawa unamfuga paka ili akutunzie nyumba yako dhidi ya Panya na wadudu wengine, lakini paka ni kiumbe mmoja mwenye uwezo mkubwa sana kuliko binaadamu tumchukiliavyo, paka wana mawasiliano ya moja kwa moja na viumbe tofauti na Binaadamu paka wanamtumia kum trace binadamu.
Mimi paka nawapenda Sana,nakumbuka mzee alikuwa paka wake ni Mimi na mazee mwenyewe tu ndio tulikuwa tunampenda lkn mabro walikuwa wanapiga mabuti kila siku hata bimkubwa naye alikuwa hamkubali akimfuata jikoni anamfukuzaWa kwangu kwenye sofa anakona yake anapenda kukaa, tumeweka kitambaa kwa ajili ya manyoya sasa ikitokea ukakaa kwenye hiyo kona yake atakutoa kwa kukusukuma na viguu vyake ukiwa mbishi atatishia kukung'ata ukiwa mbishi zaidi anasusa hatokaa tena hata umuite vipi haji, hadi hasira zake ziishe
Sijajua wa kwako ila hawa viumbe wakizoea vinono hawakamati panya na wakikamata hawamli wanamuua tu au wakila wanatapikanadhani kwenye kuwinda Panya ni jadi yao akimuona sidhani kama anaweza akamuacha,
Mimi hua naletewa ndege akifurahi, sijui hata anamuwinda saa ngapi lakini utashtukia miguuni kwako au mlangoni kamuweka.
Bwege wewe siko hapa kukufurahisha, ukimpenda wewe inatosha usiforce tufanane.Wewe kweli pussy, sasa unamchukia paka bila sababu ya msingi umenikera sana katika mnyama ambaye sipendi apewe tabu ni paka! Tena hasa akiwa mstaarabu ndio safi
It's 63 not 33[emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna sehem nilisoma wameandika
"Cats have been blamed for the global extinction of 33 species in the world"
Infact nawapenda sana hawa jamaa [emoji76][emoji76]
Paka huyu huyu au yupi babu🙄🙄Ukatili wake unakuja pale anapoanza mbwembwe zake za "utume na ya kutolea kabisa"
Mie mwenyewe naelewa sana nyau my best friends!Mimi paka nawapenda Sana,nakumbuka mzee alikuwa paka wake ni Mimi na mazee mwenyewe tu ndio tulikuwa tunampenda lkn mabro walikuwa wanapiga mabuti kila siku hata bimkubwa naye alikuwa hamkubali akimfuata jikoni anamfukuza
[emoji769]Na katika iyo asilimia 95 wapendao kufuga paka ni wachawi[emoji769]Asilimia 90 ya wanawake hawapend paka
Iko hivi, mbwa na panya huwa wanaamini binadamu ni wawindaji wabovu, hivyo tunaishi kwa kuwategemea wao.nadhani kwenye kuwinda Panya ni jadi yao akimuona sidhani kama anaweza akamuacha,
Mimi hua naletewa ndege akifurahi, sijui hata anamuwinda saa ngapi lakini utashtukia miguuni kwako au mlangoni kamuweka.
Anawawinda juu ya bati. Wale ndege wanaojenga pembeni mwa nyumbanadhani kwenye kuwinda Panya ni jadi yao akimuona sidhani kama anaweza akamuacha,
Mimi hua naletewa ndege akifurahi, sijui hata anamuwinda saa ngapi lakini utashtukia miguuni kwako au mlangoni kamuweka.
kwenye kukamata Panya na asimle nakubaliana na wewe ndio tunarudi pale pale kuwinda ni jadi yao labda huyo Panya awe mkubwa sana kuliko Paka hua wanaogopa,Sijajua wa kwako ila hawa viumbe wakizoea vinono hawakamati panya na wakikamata hawamli wanamuua tu au wakila wanatapika
Nimefuga hawa viumbe nimeshuhudia haya nikajua ni peke angu wengi wanakutanaga na hilo hadi unashangaa dunia imekwisha nini paka hamamat panya
🤔Ona huyu nae anakuja na miujiza
🤔Ona huyu nae anakuja na miujiza
Hiyo ni ndio forplay kabla ya kumla.Kiukweli paka ni wanyama wakatili sana, kuna paka hapa nyumbani huwa akikamata panya huko store inakuwaga ni mateso makali sana kwa panya.
Anachofanya anambeba panya kwa mdomo anamleta uwanja wa wazi anamwachia, hapo panya akianza kukimbia paka anamrukia anampiga makucha panya, anambeba upya kwa mdomo anamleta katikati ya uwanja anamwachia huku akijifanya kama vile hana muda naye.
Pindi panya akidhani kasemehewa anaanza kukimbia haraka lakini paka hamwachi afike mbali anamrukia anampiga makucha anambeba, yani ni hivyo hivyo mpaka panya anaishiwa matumaini kabisa anatulia tu kakubali yaishe ndio analiwa.
Ni mateso makali mno kwa panya, badala ya kuuliwa haraka anauliwa taratibu sana kwa maumivu makali sana kisaikolojia.