Ni sababu ipi ya paka kumtesa panya kwa kumchezea badala ya kumuua haraka?

Ni sababu ipi ya paka kumtesa panya kwa kumchezea badala ya kumuua haraka?

Kama kuna kitu kitu huyo mnyama ananiudhi basi ni yale makelele yao ya kubembelezana kama binadamu. Yaani wanapenda kuharibu usingizi wa watu kwani wanapenda kubembelezana usiku mwingi hata ukiwafukuza muda mfupi wanarudi na kelele zaidi ya za mwanzo wakati mwingine nahisi ni kama wanafanya makusudi kuharibu usingizi wangu.
Wwnakupa twisheni wanakuona boya kwa unayomfanyia mwenza wako[emoji1787]
 
Paka anatufundisha wanaume tusiwagegede wanawake kabla hatujawafanyia romansi...

Maandalizi ni muhimu kabla ya mgegedo.

Nadhani nimeeleweka hasa pale ambapo tunajua huyu mnyama anaitwa "pussy"

Ngoja nimalizie K Vant yangu nilale
Haa ha ha, nimecheka KIFALA sana aise; bahati nzuri niko pekee yangu, daa
 
Paka anatufundisha wanaume tusiwagegede wanawake kabla hatujawafanyia romansi...

Maandalizi ni muhimu kabla ya mgegedo.

Nadhani nimeeleweka hasa pale ambapo tunajua huyu mnyama anaitwa "pussy"

Ngoja nimalizie K Vant yangu nilale
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mie paka kwa kweli siwapendi kutoka moyoni hata awe na muonekano mzuri kiasi gani kuna mmoja alikuwa kwa mama yangu nilikuwa nampiga akiniona tu hata kama amelala nikiingia mbioo anasepa
Wewe kweli pussy, sasa unamchukia paka bila sababu ya msingi umenikera sana katika mnyama ambaye sipendi apewe tabu ni paka! Tena hasa akiwa mstaarabu ndio safi
 
Hapo paka anakuonyesha tu kuwa jinsi gani ?wakoloni walivyowatesa BABABU/MABIBI zetu na bado akili yako haitaki kuelewa tu WALITESWA zaidi ya huo mfano wa paka kwa panya MKUU.. ila usiwachukie
Hahahahahhahahah
 
Mimi paka akae mbali nami kabisa. Vinaniudhi sana hivi vinyama vinapenda anasa. Sofa ninunue mimi, afu kulala kakale kanyau.... pumbaf safi sana
Wa kwangu kwenye sofa anakona yake anapenda kukaa, tumeweka kitambaa kwa ajili ya manyoya sasa ikitokea ukakaa kwenye hiyo kona yake atakutoa kwa kukusukuma na viguu vyake ukiwa mbishi atatishia kukung'ata ukiwa mbishi zaidi anasusa hatokaa tena hata umuite vipi haji, hadi hasira zake ziishe
 
Je panya anavyokula watu vidole huku anapuliza ukishtuka asubuhi kakumaliza vidole ukiwa hai huo siyo ukatili?
 
Paka anaona yule anaemfuga ndio kijakazi wake


Yaani wewe ndio anakufuga namkumbuka motii wangu nilikuwa namchanganyia bangi kwenye dagaa wa kopo
Wana muda wao yeye na dogo wa kuangalia katuni sasa itokee muda umefika hawajawashiwa Tv au imewekwa kipindi kingine, ataliaaa, ataenda kugonga kioo cha Tv na vikono vyake, ataanza kuivuta rimoti utasema anaweza kuitumia, ukimkazia anaenda jikoni anadondosha vitu kisha anajikausha kama sio yeye.
 
Wana muda wao yeye na dogo wa kuangalia katuni sasa itokee muda umefika hawajawashiwa Tv au imewekwa kipindi kingine, ataliaaa, ataenda kugonga kioo cha Tv na vikono vyake, ataanza kuivuta rimoti utasema anaweza kuitumia, ukimkazia anaenda jikoni anadondosha vitu kisha anajikausha kama sio yeye.
Hahaha na wanachagua chakula sasa na ukimpa vizuri vinono panya hali au anaweza asihangaike nao
 
Back
Top Bottom