Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

..Magufuli alikuwa muoga.

..ndio maana alikuwa ameufyata wakati wa Mkapa na Kikwete.

..angekuwa sio muoga asingesubiri awe na cheo au madaraka ndipo atetee rasilimali zetu.
Hujui ulichokiandika. Magufuli alikuwa waziri tu katika serikali zote mbili na pengine hakuwa amepanga kugombea urais siku moja akipata nafasi.

Tunapanga kwa uwezo wa akili zetu wakati huo huo Mungu anapanga kwa ukubwa na upekee wa uumbaji wake.
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Aisee hii nchi kuna watu wana taarifa nyeti sana (kama huu mfano ni valid).
 
Huelewi mjadala umeanzia wapi. Issue ni kwamba ali FORGE chapisho la muswaada wa PhD. Kuwa kwenye orodha ya wahitimu wa mwaka huo siyo hoja ya kubisha

Una maanisha taasisi haikujua kwamba alifanya hivyo, mpaka wakamtunuku shahada ya uzamifu!? Lakini wewe umeweza kutambua!?
 
Mkuu hii issue ni VALID. Ndiyo maana hakuna hata mmoja ameweza kui challenge, ukiacha yule aliyemtaja Kubenea kuwa alikuwa anajuwa Ben Saanane aliko
Makonda akitaka laana isimwangukie yeye na vizazi vyake,aonyeshe walipo mhifadhi,familia impumzishe kwa heshima,naye aombe radhi akimsukumia mzigo aliyemtuma.
Kama 7ya
 
Huna ushahidi wowote ule kwamba alitaka kupata asilimia kumi huko kwa wauzaji. Alifufua shirika lililokuwa limejifia miaka mingi kabla hajaingia ikulu angalau kwa hilo tumshukuru.

Sheria ya manunuzi ina umuhimu gani kulinganisha na kurudisha heshima ya Taifa iliyokuwa imepotea muda mrefu?.

Sheria ya manunuzi hailingani na namna TWIGA wetu anavyoendelea kuipaisha bendera ya Tanzania kila anapoonekana hewani huko nje.

Afadhali yeye corrupt to the core na kazi inaonekana, Afrika imejaa wapigaji wanaoingia na kuondoka ikulu bila ya kazi kuonekana.
Usitafute vijisababu ku justify makosa ya DIKTETA. Ndege za ATCL hazikuwapo kabla ya Magufuli, kwani tulikuwa hatusafiri?

Kwanza ilikuwa cheap kusafiri na Fast Jet kwa Tsh 90,000 Mwanza -Dar kuliko sasa ATCL kwa Tsh 300,000+

Ila Steven Joel Ntamusano bado uko kwenye blanketi la Mwendazake maana hata CAG ameripoti kuwa ATCL ni loss making parastatal kwenye 2020/21 report.

Kwani huyo Twiga inayemtamani hawezi kuruka kwenye private company kwa makubaliano ? Kama ilivyo British Airways au American Airways?
 
Usitafute vijisababu ku justify makosa ya DIKTETA. Ndege za ATCL hazikuwapo kabla ya Magufuli, kwani tulikuwa hatusafiri?

Kwanza ilikuwa cheap kusafiri na Fast Jet kwa Tsh 90,000 Mwanza -Dar kuliko sasa ATCL kwa Tsh 300,000+

Ila Steven Joel Ntamusano bado uko kwenye blanketi la Mwendazake maana hata CAG ameripoti kuwa ATCL ni loss making parastatal kwenye 2020/21 report.

Kwani huyo Twiga inayemtamani hawezi kuruka kwenye private company kwa makubaliano ? Kama ilivyo British Airways au American Airways?
TWIGA ni nembo ya nchi lazima ataruka hata kama kina fast jet wapo sokoni. Hakuna taifa lisilokuwa na shirika lake la ndege, zipo sababu nyingi za kuwa nalo.

Nyerere alipofariki mwaka 99 mwili wake ulifuatwa na ATC kutoka London Uingereza ukaletwa na ndege mpaka Dar, ni heshima kwa taifa kufanya tukio lile.

Kwa taifa lenye wataalam wa anga wenye maono mengi huwezi kukwepa kumiliki national carrier.

Shirika la ndege lilikuwa limejifia kabla ya JPM kuingia ikulu na huo ndio ukweli, alikuta lina ndege tatu tu na zenyewe hazieleweki zinafanya nini, akaanza kulifufua kwa ujasiri wake huku akikataa kusikiliza kelele za wajuaji wengi wa Tanzania.

Kuwa cheap wakati shirika halifuati misingi ya uendeshaji yenye kueleweka ni kujidanganya tu. Hizo hasara zinazotajwa na CAG huenda zikipungua mwaka baada ya mwaka kumbuka kabla ya JPM shirika lilikuwa mahututi hivyo madeni ya miaka ya nyuma ni lazima yashughulikiwe kwanza ili faida halisi ianze kuonekana.
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Kumbe unajua kila kilichofanyika kafungue kesi basi,
 
Kama alivyosema msemaji wa serikali Mobhare Matinyi kwamba huwa wanasoma mijadala yote muhimu ya humu jamiiforum; basi tunaomba kama watanzania tupatiwe majibu ya swali hili maana sio jambo la kawaida.

Mods msifute huu uzi wala kuunganisha maana unaenda sambamba na kauli ya Mobhare Matinyi juu ya JAMIIFORUM.
Umesahau na kushambuliwa kwa Lissu
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara

Copy unayo tuione?
 
And the list goes on;
Lissu assassination attempt.
Azory Gwanda abduction.
AZORY.......
KIBITI TERRORISM......

Kuna swali huwa najiuliza kwa tafakuri yadidi........ PALE KIBITI hali haikuwa shwari, watu wameuwawa, wametekwa , wamepotea....... risasi za usiku na mambo mengine mengi........ KIBITI huko huko ambako viongozi wa vijiji, misikiti na wale wa CCM wamepitia madhila makubwa..... hukohuko KIBITI Azory naye yakamkukta..... cha ajabu kelele ikawa kwa mtu mmoja tu na si wale wengine kana kwamba wale wengine ni "manyani" (samahani ktumia neno hili) Azory ni binadamu na wale wengine pia ni binadamu, ila inashangaza kuona kuwa kwenye sehemu kama Kibiti ambako palikuwa pamechafuka........ watu wanataja mtu mmoja tu..... KUNA NINI MNACHOKIJUA ambacho sisi wengine hatukijui?????

TOKA WAKATI HUO KIBITI PAKATULIA............
NINI USHIRIKI WENU NA MACHAFUKO YA KIBITI??? (nyie mnaojua)/
 
Chuo kinagunduaje wakati kimekuwa corrupted? Mbona wewe eliakeem kichwa chako kigumu kuelewa? Hivi umesoma hata O-Level wewe? Ulipasi vipi mitihani?

Chuo kiko corrupted!? Huh, dat iz very serious allegation. Lkn una haki ya kutoa hisia zako. Maana miaka yote hatujawahi sikia kadhia hizo. Mimi nimesoma hapo zaidi ya miaka 25 iliyopita lkn sikuwahi sikia hicho kitu. Pia regulator (TCU) hawajawahi tilia shaka uaminifu wa chuo.
 
Back
Top Bottom