Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Hakuna tukio limewahi kuniuma kama la Ben Saanane.
Mbaya zaidi nyakati zake za mwisho hapa JF tulitokea kuwa marafiki wakubwa, akifurahia sana ubuyu wangu kule celebrities forum.

Kupotea kwake kulinifanya nimchukie sana bwana yule! Ila, Mungu anajua zaidi.
Hajapotea bali katoweka
 
Kwa kichwa kile kupata PhD ilikuwa ni kitu rahisi sana. The guy was so smart, mnyongenlkn haki yake mpeni. Alikuwa na analytical skills ya hali ya juu.
Huyu Ben alikosa utambuzi, alikubali kutumika na matokeo yakawa hivyo.
Pia ukiangalia hata uwezo wake wa kufikiri unatia mashaka, maana hata elimu yake ni ya kuunga unga kama ilivyo kwa wanahabari walio wengi.
JPM alikuwa na akili na uthubutu, alikuwa pia hana uoga tofauti na marais wengi wa afrika ya tiktok, hawaaminiki hata kidogo.
 
Huyu Ben alijichanganya, ndiyo maana hakuna mtu ambaye ana habari naye. Yeye badala la kufuatilia mambo yanayohusu ustawi wa moja kwa moja wa wananchi, yeye anaanza kupamba na mambo binafsi. Halafu mwenye mamlaka makubwa. Hilo liwe somo kwa vijana, never fight with your government and top leaders. Those are institutions. It's very likely to lose your everything.
Isitoshe kati ya Ben na JPM nani alikuwa smart upstairs. Huyo Ben wengine tulianza kumsikia baada ya kutoweka. Alikuwa hafahamiki.
Ni nani alikufanganya kuwa JPM alikuwa smart upstairs? Angekuwa smart asingekopi Thesis ya Dr Phillips
 
Kwa nn makonda umemtaja moja kwa moja,lkn kwa nn hawa wengine umeshindwa kuwataja?!, na kama wewe unajua Ben alikamatwa na nani na kwa kuongozwa na nani,na akapelekwa wapi ,kwa nn bado Ben mnamtafuta wakati kila kitu mnajua?!,
Bado unataka nikujibu nini hapo? Mbona umejieleza vizuri tu
 
Hakuna uthubutu zaidi ya msukumo wa kupata 10%. Matumizi yake ya fedha kwenye manunuzi ya ndege hayakufuata sheria ya manunuzi ya umma. Magu alikuwa CORRUPT to the core
Huna ushahidi wowote ule kwamba alitaka kupata asilimia kumi huko kwa wauzaji. Alifufua shirika lililokuwa limejifia miaka mingi kabla hajaingia ikulu angalau kwa hilo tumshukuru.

Sheria ya manunuzi ina umuhimu gani kulinganisha na kurudisha heshima ya Taifa iliyokuwa imepotea muda mrefu?.

Sheria ya manunuzi hailingani na namna TWIGA wetu anavyoendelea kuipaisha bendera ya Tanzania kila anapoonekana hewani huko nje.

Afadhali yeye corrupt to the core na kazi inaonekana, Afrika imejaa wapigaji wanaoingia na kuondoka ikulu bila ya kazi kuonekana.
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Nadhani mkuu utakuwa ushafunga hii story
 
Kama alivyosema msemaji wa serikali Mobhare Matinyi kwamba huwa wanasoma mijadala yote muhimu ya humu jamiiforum; basi tunaomba kama watanzania tupatiwe majibu ya swali hili maana sio jambo la kawaida.

Mods msifute huu uzi wala kuunganisha maana unaenda sambamba na kauli ya Mobhare Matinyi juu ya JAMIIFORUM.
Mungu anajua, Mungu atalipa, hawana uchungu, haliwahusu!!!
 
JPM alikuwa na akili na uthubutu, alikuwa pia hana uoga tofauti na marais wengi wa afrika ya tiktok, hawaaminiki hata kidogo.

..Magufuli alikuwa muoga.

..ndio maana alikuwa ameufyata wakati wa Mkapa na Kikwete.

..angekuwa sio muoga asingesubiri awe na cheo au madaraka ndipo atetee rasilimali zetu.
 
Back
Top Bottom