Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Kubenea aliandika kwenye gazeti lake la Mwanahalisi ukurasa wa kwanza "BEN SAA NANE KUJITOKEZA" na alieleza kuwa anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa lakini akina Mbowe hawakufuatilia habari hiyo hadi leo sasa Serikali itaonaje umuhimu wa kuifuatilia habari hiyo
Kubenea alimwagiwa tindikali na timu ya Mzee mammvi kutokana na alivyokuwa anamuandika hovyo EL kwenye magazeti yake. Baada ya maongezi EL alamlipia matibabu India na hajawahi hata kufungua mashtaka. Kubenea ni malaya wa siasa siyo wa kumuamini
 
Kama ndivyo kwanini MAKONDA hajapelekwa mbele ya sheria!?

Hii inaonesha wazi kwamba swali la mleta mada halitapata jibu kwa sababu muuaji (CCM)bado yuko kwenye hatamu.
Jinai haiozi wala haizeeki. Ni suala la muda tu, yaweza kuwa 2025 au 2030. Kitakachomuokoa Makonda kupanda kwa Pilato ni kifo tu
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Bu= Buchweshwaija
Md= Mdoe
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara

Huyu Ben alijichanganya, ndiyo maana hakuna mtu ambaye ana habari naye. Yeye badala la kufuatilia mambo yanayohusu ustawi wa moja kwa moja wa wananchi, yeye anaanza kupamba na mambo binafsi. Halafu mwenye mamlaka makubwa. Hilo liwe somo kwa vijana, never fight with your government and top leaders. Those are institutions. It's very likely to lose your everything.
Isitoshe kati ya Ben na JPM nani alikuwa smart upstairs. Huyo Ben wengine tulianza kumsikia baada ya kutoweka. Alikuwa hafahamiki.
 
Magufuli maisha yake yote alikuwa mwalimu na alijiendeleza baada ya kupata Masters na ushahidi wa picha siku anapata hiyo shahada upo mitandaoni akiwa amekaa pembeni ya Mama yake.

JPM alichukiwa kwa sababu ya misimamo yake ya kutotaka ujinga huko serikalini. Alikuwa na maadui wengi hivyo haikuwa ajabu kumtengenezea hizo habari zikiwa ni sehemu ya chuki.

Kwa kichwa kile kupata PhD ilikuwa ni kitu rahisi sana. The guy was so smart, mnyongenlkn haki yake mpeni. Alikuwa na analytical skills ya hali ya juu.
Huyu Ben alikosa utambuzi, alikubali kutumika na matokeo yakawa hivyo.
Pia ukiangalia hata uwezo wake wa kufikiri unatia mashaka, maana hata elimu yake ni ya kuunga unga kama ilivyo kwa wanahabari walio wengi.
 
Same here
Kiliniumiza sana sana, Kuna mtu ana ID Fulani sijui yohana sijui tumaini yupo humu alichowahi kumwambia na kikatokea

Angekuwa na utambuzi angeacha kumfuatilia mkuu wa nchi. Mkuu wa nchi ni taasisi siyo kama unavyomuona. Epuka siku zote kuingia mgogoro na taasisi hiyo. Itakuwa hatari sana kwako.
 
Ulichokiandika ni sawa kwa kadiri ya unavyotaka tupokee.Lakini,ni ajabu wewe hupendi wala hautaki kuambiwa usiyoyataka na wengine.Tatizo lilikuwa wapi muda ule?Ukiulizwa jina lako unaitwa nani,chimbuko la wazazi wako nk,si unatakiwa ujibu tu?Unadodoswa,mtu anapotea.Unapewa changamoto za uongozi,unahutubia umma.Baada ya dakika tano mtu aliyekupa changamoto ananyukwa risasi nyingi mwilini.Tukuweke kundi gani?Tukufikiriaje?Unatuondoleaje fikra hasi juu yako?.Hapo bado kuna ya akina mchungaji Mwingira na wanasiasa wengine waliowekwa under-pressure(blackmail) ili waunge juhudi zisizoeleweka.

Wale wote walikuwa wana personalise vitu. Wanamnyookea moja kwa moja rais, kitu ambacho ni hatari.
 
Huyu Ben alijichanganya, ndiyo maana hakuna mtu ambaye ana habari naye. Yeye badala la kufuatilia mambo yanayohusu ustawi wa moja kwa moja wa wananchi, yeye anaanza kupamba na mambo binafsi. Halafu mwenye mamlaka makubwa. Hilo liwe somo kwa vijana, never fight with your government and top leaders. Those are institutions. It's very likely to lose your everything.
Isitoshe kati ya Ben na JPM nani alikuwa smart upstairs. Huyo Ben wengine tulianza kumsikia baada ya kutoweka. Alikuwa hafahamiki.
Ungemfahamu vipi Ben wakati muda huo ulikuwa bado unatumwa na mama yako ukatwange karanga kwenye kinu cha jirani yenu.
 
Ngoja nikampekue yaani doh[emoji24][emoji24][emoji24]
Maumivu ni maumivu kwakweli

Mngemshauri Ben kuwa usipingane na taasisi naye angewasikia. Haya yote yasingetokea. Kwani waswahili husema mwenye hekima akiona hatari anajificha, mpumbavu anaendelea na kuumia. Huo ndiyo ukweli, hata wanao washauri hivyo.
 
Back
Top Bottom