Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Ni sababu zipi zinazofanya kupotea kwa Ben Rabiu Saanane lionekane ni jambo dogo mbele ya vyombo vya dola?

Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Kubenea aliandika kwenye gazeti lake la Mwanahalisi ukurasa wa kwanza "BEN SAA NANE KUJITOKEZA" na alieleza kuwa anaonekana kwenye vijiwe vya kahawa lakini akina Mbowe hawakufuatilia habari hiyo hadi leo sasa Serikali itaonaje umuhimu wa kuifuatilia habari hiyo
 
Kama alivyosema msemaji wa serikali Mobhare Matinyi kwamba huwa wanasoma mijadala yote muhimu ya humu jamiiforum; basi tunaomba kama watanzania tupatiwe majibu ya swali hili maana sio jambo la kawaida.

Mods msifute huu uzi wala kuunganisha maana unaenda sambamba na kauli ya Mobhare Matinyi juu ya JAMIIFORUM.
Mwendakuzimu Jiwe ndio aliagiza kutekwa na Kupotezwa Kwa Ben
Mungu aendelee kumlaza Mahala Pabaya Jiwe
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Duh!
 
Magufuli maisha yake yote alikuwa mwalimu na alijiendeleza baada ya kupata Masters na ushahidi wa picha siku anapata hiyo shahada upo mitandaoni akiwa amekaa pembeni ya Mama yake.

JPM alichukiwa kwa sababu ya misimamo yake ya kutotaka ujinga huko serikalini. Alikuwa na maadui wengi hivyo haikuwa ajabu kumtengenezea hizo habari zikiwa ni sehemu ya chuki.
Hatujakataa kwa kujiendeleza kwake, tunapinga uhalali wa alichokivuna(Hakikuwa sahihi).

Sasa Ben alihoji uhalali wake(PhD) kutokana na hoja alizoziweka. Magu alitakiwa ajibu hizo hoja kwa kuonesha Thesis yake, lakini akaona ataumbuka akachukua uamuzi wa kumpoteza aliyehoji na kuamuru Thesis itolewe Maktaba
 
Hatujakataa kwa kujiendeleza kwake, tunapinga uhalali wa alichokivuna(Hakikuwa sahihi).

Sasa Ben alihoji uhalali wake(PhD) kutokana na hoja alizoziweka. Magu alitakiwa ajibu hizo hoja kwa kuonesha Thesis yake, lakini akaona ataumbuka akachukua uamuzi wa kumpoteza aliyehoji na kuamuru Thesis itolewe Maktaba
Kuna utetezi mwingine ukiusoma tu unaona kweli watu wana kiwewe.
 
Wengi Sana wamepotezwa Tanzania!
Kelele za JF Ni Ben Saanane
Achani aende zake, liwe funzo kwa wengine!
Tanzania haikombolewi kwa kumdhihaki Rais,
Kuhoji uhalali wa Elimu yake!

PhD ngapi zinagawiwa burebure tu huko University?
Nyerere hakuikomboa hii Nchi kwa kukashfu Elimu ya Gavana wa Uingereza!

Ben Saanane alikuwa mpumbavu!
Tunawataka wapambanaji aina ya Mwambukusi!

RIP Ben Saanane!
Alichokitafuta kipumbavu amekipata!

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wengine wanasema alifungwa mikono na miguu halafu akapelekwa kwenye geto lililokuwa na Chatu mwenye njaa kali, akaachwa amalizane nae. Ila haijulikani ni nani alifanya hivyo
 
Kijana Ben alikamatwa na watu "wasiojulikana" (hawa walikuwa ni kikundi cha kuteka na kuua chini ya Makonda) wakamtesa sana, wakamhamisha sehemu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kumfikisha kwa Magufuli lakini alibaki na msimamo wake kuwa PhD ya Magufuli siyo halali. Hatimaye alikufa katika vyumba vya mateso na maiti yake ikapelekwa MNH kwa jina tofauti.

Nenda UDSM kwenye maktaba ya kitivo cha kemia, ukajaribu kuazima Thesis ya Magufuli, nakuhakikishia hutopewa. Imeondolewa, ni aibu.

Supervisor wa Thesis Magufuli, ambaye ni Profesa jina linaanza na "Bu", alipewa Uwenyekiti wa Bodi mbalimbali baada ya Magufuli kupata uRais. Na Mkuu wa Idara aliyekuwapo wakati huo alikuwa ni mlemavu wa miguu jina lake linaanza na "Prof Md" alipewa Ukatibu Mkuu wa Wizara
Kama ndivyo kwanini MAKONDA hajapelekwa mbele ya sheria!?

Hii inaonesha wazi kwamba swali la mleta mada halitapata jibu kwa sababu muuaji (CCM)bado yuko kwenye hatamu.
 
Kama alivyosema msemaji wa serikali Mobhare Matinyi kwamba huwa wanasoma mijadala yote muhimu ya humu jamiiforum; basi tunaomba kama watanzania tupatiwe majibu ya swali hili maana sio jambo la kawaida.

Mods msifute huu uzi wala kuunganisha maana unaenda sambamba na kauli ya Mobhare Matinyi juu ya JAMIIFORUM.
Wanaoua nao wanakufa.

Sielewi kwa nini tunachagua wasio na akili kuongoza?
 
Back
Top Bottom