Ni sahihi fundi kupiga picha kazi aliyopewa aifanye, na kuitumia kujitangaza bila makubaliano na mwenye kazi?

Ni sahihi fundi kupiga picha kazi aliyopewa aifanye, na kuitumia kujitangaza bila makubaliano na mwenye kazi?

Habari?

Unamtafuta fundi kisha unampa kazi yako na unampa malipo yake kama mlivyokubaliana.

Akimaliza kufanya kazi yako anaipiga picha na kuianika mitandaoni akijitangaza kwamba ni yeye kaifanya.

Hapa mfano mkubwa ni fundi wa ujenzi, deco, kupaua ,rangi nk. Wanafanya kazi kisha wanapiga nyumba yako picha na kuianika mitandaoni.

Wengine ni fundi nguo. Unatafuta mshono wako wa nguo yako ya siku yako muhimu mfano harusi, kisha unampa kazi. Akimaliza anaivalisha kwenye mdoli anaiweka kama matangazo na kuituma mitandaoni.

Je ni sahihi nikulipe pesa ufanye kazi yangu kisha utumie kujitangaza bila makubaliano na mimi?
Ni sawa na unampeleka mwanao shule alafu kesho unakuta ameekwa kwenye bango la shule mitaani na mitandaoni Nchi zingine unaweza kushtaki.
 
sawa mkuu lakini kumbuka wengi wanaoweka mitandaoni ni design zao. Wamedesign wao. wao ni madiaigner.
na lengo ni kutengeneza hela.

sasa ngoja siku wewe upate design yako kwa lengo la kuwa unique umpe fundi kazi kisha akiipatia aanze kuwajengea hiyo design mtaa mzima ndio utajua haujui🤣
Hakuna kitu unique mkuu labda ujazunguka kuangalia...
 
Mwaka jana Diamond aliingia kwenye mgogoro na muuza nguo chidi.

kisa diamond alinunua nguo kwq chid na akalipa hela kama inavyotakiwa ila kila diamond akivaa hizo nguo akipiga picha , jamaa muuza nguo anazichukua anapost kwake anaandika "amevalishwa na mimi".

Diamond akamwambia kama ulitaka kunitumia kupata wateja nisingelipia hizo nguo ilibidi unipe bure ila kwakuwa nimenunua hauna haki ya kutangazia watu nimenunua kwako.

mimi niliona ana point pia. Privancy ni muhimu
Diamond hakuwa sahihi kumkataza jamaa kujitangaza kuwa kamuuzia nguo yeye. Ila kusema kamvisha hapo kidogo ni tofauti na kusema kamuuzia, na especially kama nguo sio special order, huwezi jua kuwa alinunua pair moja kwako na pea moja kwingine na zote zinafanana.

Mtengeneza nguo anaweza kusema kamvisha ila sio muuza nguo.

Tukija kwa suala lako, kama hao jamaa wanaopost picha zako wanafanya hivyo kwa ajili ya kutangaza biashara, una haki ya kudai mapato kutoka katika faida zao maana umetumika kuwaingizia fedha
 
Habari?

Unamtafuta fundi kisha unampa kazi yako na unampa malipo yake kama mlivyokubaliana.

Akimaliza kufanya kazi yako anaipiga picha na kuianika mitandaoni akijitangaza kwamba ni yeye kaifanya.

Hapa mfano mkubwa ni fundi wa ujenzi, deco, kupaua ,rangi nk. Wanafanya kazi kisha wanapiga nyumba yako picha na kuianika mitandaoni.

Wengine ni fundi nguo. Unatafuta mshono wako wa nguo yako ya siku yako muhimu mfano harusi, kisha unampa kazi. Akimaliza anaivalisha kwenye mdoli anaiweka kama matangazo na kuituma mitandaoni.

Je ni sahihi nikulipe pesa ufanye kazi yangu kisha utumie kujitangaza bila makubaliano na mimi?
Hata kama sio sahihi huyo fundi akipiga ni sawa sawa na amepiga na asipopiga ni sawa na amepiga. Utamfanya nini.
 
Sasa umenijibu vizuri, samahani kwa lugha kali.

Mimi jana nimeenda kusuka. Amenisuka nimependeza na nimemlipa hela yake. Baadaye napita instagram nakuta kumbe mimi bila kujua amenichukua video amepost. Nikamwambia ashushe post au anirudishie hela yangu ili nijue mimi ni modo wake wa matangazo.

Wiki kadhaa nyuma mpiga picha alikuja nikafanya photo shoot za gender reveal za my unborn baby. Na lengo ni niziweke baada ya kujifungua. na kila picha niliilipia.
Sasa na yeye akazipost kwenye page yake. Bila ruhusa yangu.

Sasa ndio ninawaza ni sahihi au sio sahihi? au ni mimi nina matatizo.
Uwe unawapa maelezo before kuwa picha zako wasizipost

Nadhani mmeshindwana maelewano tuu
Mtu ukimwambia before hawezi kukupost

Mimi kwenye biashara yangu wateja wenyewe wakinunua bidhaa huwa wanapiga picha makwao wananitumia nawapost na wanajivunia kupostiwa kwenye page zetu
 
Hapo haifai yaani ni km mm nimenunua malaya nikamzagamua then nikamlipa.... Halafu baadae aje aweke mtandaon kujibrand mizagamuo anayotoa... Sio vzr coz yeye anapata faida wakati jamii itaniona mm km mcheza x
Hiyo ni biashara haramu

Acha kufananisha na biashara halali
 
Sasa umenijibu vizuri, samahani kwa lugha kali.

Mimi jana nimeenda kusuka. Amenisuka nimependeza na nimemlipa hela yake. Baadaye napita instagram nakuta kumbe mimi bila kujua amenichukua video amepost. Nikamwambia ashushe post au anirudishie hela yangu ili nijue mimi ni modo wake wa matangazo.

Wiki kadhaa nyuma mpiga picha alikuja nikafanya photo shoot za gender reveal za my unborn baby. Na lengo ni niziweke baada ya kujifungua. na kila picha niliilipia.
Sasa na yeye akazipost kwenye page yake. Bila ruhusa yangu.

Sasa ndio ninawaza ni sahihi au sio sahihi? au ni mimi nina matatizo.
Kukuweka wewe ukaonekana sura yako au taswira bila idhini yako si sahihi. Wabongo huwa tunajifanyia tu mambo kienyeji + uchawi + ukuda ndio mambo yanatuharibia. Kwa hili ulilolieleza ukienda kisheria anakulipa fidia
 
Inabidi umwambie bwana bwana ukizitumia picha zangu kibiashara hatutaelewana.
Betpawa wenyewe ukila hela zao kwa dau dogo picha zako ni halali yao kwa mwaka mzima. Sasa ukute nyumbani hawajui kama ni mjasiriamali au ulikuwa unawatukana wajasiriamali wenzako kumbe na wewe ni mwenzao.
 
Habari?

Unamtafuta fundi kisha unampa kazi yako na unampa malipo yake kama mlivyokubaliana.

Akimaliza kufanya kazi yako anaipiga picha na kuianika mitandaoni akijitangaza kwamba ni yeye kaifanya.

Hapa mfano mkubwa ni fundi wa ujenzi, deco, kupaua ,rangi nk. Wanafanya kazi kisha wanapiga nyumba yako picha na kuianika mitandaoni.

Wengine ni fundi nguo. Unatafuta mshono wako wa nguo yako ya siku yako muhimu mfano harusi, kisha unampa kazi. Akimaliza anaivalisha kwenye mdoli anaiweka kama matangazo na kuituma mitandaoni.

Je ni sahihi nikulipe pesa ufanye kazi yangu kisha utumie kujitangaza bila makubaliano na mimi?
Huu ndio tunaita uchawi
 
Kwani akipiga hilo paa picha anakuoiga na wewe? Ufundi ujuzi ni mali yake nyumba ndio mali yako, pengine na wewe umempata kupitia mitando baada ya kuona kazi zake.
Acha kuwa na roho ya kwanini wewe sio wa kwanza kuvaa suti au kujenga.
 
Sasa umenijibu vizuri, samahani kwa lugha kali.

Mimi jana nimeenda kusuka. Amenisuka nimependeza na nimemlipa hela yake. Baadaye napita instagram nakuta kumbe mimi bila kujua amenichukua video amepost. Nikamwambia ashushe post au anirudishie hela yangu ili nijue mimi ni modo wake wa matangazo.

Wiki kadhaa nyuma mpiga picha alikuja nikafanya photo shoot za gender reveal za my unborn baby. Na lengo ni niziweke baada ya kujifungua. na kila picha niliilipia.
Sasa na yeye akazipost kwenye page yake. Bila ruhusa yangu.

Sasa ndio ninawaza ni sahihi au sio sahihi? au ni mimi nina matatizo.
vipi alizitoa au aliacha?
 
Habari?

Unamtafuta fundi kisha unampa kazi yako na unampa malipo yake kama mlivyokubaliana.

Akimaliza kufanya kazi yako anaipiga picha na kuianika mitandaoni akijitangaza kwamba ni yeye kaifanya.

Hapa mfano mkubwa ni fundi wa ujenzi, deco, kupaua ,rangi nk. Wanafanya kazi kisha wanapiga nyumba yako picha na kuianika mitandaoni.

Wengine ni fundi nguo. Unatafuta mshono wako wa nguo yako ya siku yako muhimu mfano harusi, kisha unampa kazi. Akimaliza anaivalisha kwenye mdoli anaiweka kama matangazo na kuituma mitandaoni.

Je ni sahihi nikulipe pesa ufanye kazi yangu kisha utumie kujitangaza bila makubaliano na mimi?
Kisheria jibu ni hapana. Sema wabongo tumeishi kijingajinga, hatujui hata haki zetu. Kuna watu ninaona hapa wanatukana na kukejeli. Ukweli huruhusiwi kutumia hiyo kazi kujinadi bila ya idhini ya mwenye mali.

Naona kwa ujinga huohuo,wapo ambao huomba hata ramani ya jengo. Ubunifu na uchoraji ni fani za watu. Wanaishi kwa kazi hizo. Wewe kuipata kwa free ni sawa tu na sisi tunaepakua kazi za sanaa na kuzitumia bila kulipia. Hii tunafanya dhuluma.

Hatusemi usifanye,bali hakikisha unapata idhini ya mmiliki.
 
Kwani akipiga hilo paa picha anakuoiga na wewe? Ufundi ujuzi ni mali yake nyumba ndio mali yako, pengine na wewe umempata kupitia mitando baada ya kuona kazi zake.
Acha kuwa na roho ya kwanini wewe sio wa kwanza kuvaa suti au kujenga.
huo ufundi angeufanya sasa kwa hela yake ndio ajitangaze.
 
Back
Top Bottom