Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Sasa umenijibu vizuri, samahani kwa lugha kali.
Mimi jana nimeenda kusuka. Amenisuka nimependeza na nimemlipa hela yake. Baadaye napita instagram nakuta kumbe mimi bila kujua amenichukua video amepost. Nikamwambia ashushe post au anirudishie hela yangu ili nijue mimi ni modo wake wa matangazo.
Wiki kadhaa nyuma mpiga picha alikuja nikafanya photo shoot za gender reveal za my unborn baby. Na lengo ni niziweke baada ya kujifungua. na kila picha niliilipia.
Sasa na yeye akazipost kwenye page yake. Bila ruhusa yangu.
Sasa ndio ninawaza ni sahihi au sio sahihi? au ni mimi nina matatizo.
Bila makubaliano sio sahihi.
Ni sahihi kwa kitu ambacho ni mali yako