Kumbe unajua kwamba wanasiasa wote ndio walivyo ni wanafki.Na huo unafiki wao tuliusema wakati ule, na hata sasa tumeendelea kuwaambia kuwa kumpokea Lowassa ilikuwa ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
Hizo ni Propaganda bossHivi waliopururwa na hili gonjwa walikuwa na matatizo ya lishe? Kwamba lile jiwe kumbe halikuwa jiwe?
View attachment 1884876
Pana wodi pale mwananyamala SSH alitimua mbio. Anaonaje pole pole akiwa anakwenda hata kuwasalimia salimia wale wagonjwa na kuwapa ndogo ndogo za mambo ya lishe?
Hizo ni Propaganda boss
Ndio huyu alikuwa anampigia simu usiku kwa Mambosasa halafu mambosasa anaitikia maelekezo mkuuKibanga aka mzee wa VX na majambazi wengine wapo kwenye mhaho.
Msimamo akaonyeshe kwa familia yake.Ni hiari, sasa kuonyesha msimamo wake kuna shida gani? Tumeona wengi wakionyesha misimamo yao ya kuchanja, na ni sahihi kwa maamuzi yao.
Wizi upo kila mahali, lakini sio kwa ushenzi ule.Huo wizi unaofahamika ndio unaofanya ccm iwe madarakani kipindi chote hiki halafu wewe unaona ni kitu kidogo et ni wizi unaofahamika, sasa kama hilo umeweza kulikubali na kuliona dogo sasa hilo kubwa unalolishangaa hapa lipi wakati hata iweje ccm ilikuwa lazima tu iendelee kukaa madarakani kivyovyote vile.
Mbona kipindi cha yule mtawala muovu hakujitokeza useme aache iwe hiyari, au ulikuwa unaona ni sawa yeye kushurutisha msimamo wake? Huyo Polepole kwakuwa ni mnafiki, majizi menzake ya kura yamkamate kwa nguvu na kumchoma sindano ya sumu.
Wajumbe hawakumuacha salama. Ha ha haaa!Huo uchaguzi unaolilia utafikiri huko nyuma kulikuwa na uchaguzi wa haki, wengine tulishaacha masuala ya uchaguzi bongo kabla hata ya huo uchaguzi unaouongelea ila mwenzetu sijui huo uchaguzi ndio mara yako ya kwanza kushiriki uchaguzi bongo.
Hoja ya msingi ni kwamba ccm ilikuwa lazima iendelee kubaki madarakani kama kawaida yake iwe kwa wizi mdogo uliyouzoea au wizi mkubwa unaoulalamikia hapa, iwe kwa kubalance kama ulivyozoea au kutobalance kama ilivyotokea.Wizi upo kila mahali, lakini sio kwa ushenzi ule.
Hoja ya msingi ni kwamba ccm ilikuwa lazima iendelee kubaki madarakani kama kawaida yake iwe kwa wizi mdogo uliyouzoea au wizi mkubwa unaoulalamikia hapa, iwe kwa kubalance kama ulivyozoea au kutobalance kama ilivyotokea.
Kelele zako ni kama kwamba huko nyuma hali ilikuwa shwari kumbe walikuwa wana balance tu ila juu chini ccm lazima iendelee kuwa madarakani na ndio maana wengine tulishaacha ujinga wa kupiga kura maana toka mwanzo uchaguzi wa Tz ni usanii mtupu tu, sasa safari hii hawaja balance ndio kunakufanya wewe upige kelele.Sasa unataabika nini nikoweka wazi huo ushenzi, au mimi kuanika wazi uhuni ni jambo geni kwako?
Kelele zako ni kama kwamba huko nyuma hali ilikuwa shwari kumbe walikuwa wana balance tu ila juu chini ccm lazima iendelee kuwa madarakani na ndio maana wengine tulishaacha ujinga wa kupiga kura maana toka mwanzo uchaguzi wa Tz ni usanii mtupu tu, sasa safari hii hawaja balance ndio kunakufanya wewe upige kelele.
Kama kuzidiwa nadhani wangekuwa washaachia nchi mpaka sasa hivi maana toka enzi za Cuf huko, we kubali tu walikuwa wana balance kitu ambacho safari hii hakikufanyika wenyewe mlikuliwa msharidhika kule kubalance.Kelele za wizi zipo miaka yote, na wala walikuwa hawabalance bali walikuwa wanazidiwa, kwani rate ya wapinzani ili inazidi kupanda, huku idadi ya ccm ikizidi kushuka. Ila uchaguzi uliopita dhalimu aliigiza ushenzi ambao haujapata kutokea. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.