Ni sahihi kwa Celebrity Niffer Kusema ana "strong army" likiwa ni jibu kwa Waziri Mkuu baada ya maagizo?

Ni sahihi kwa Celebrity Niffer Kusema ana "strong army" likiwa ni jibu kwa Waziri Mkuu baada ya maagizo?

Ujinga tu hamna lingine zaidi ya ujinga ujinga. Ni kajinga.
Ujinga ujinga tu...
Screenshot_20241119-015352.jpg
 
Sipendi kuingilia hilo suala la huyo mwanamke kuchangisha pesa , pia nisingependa kujadili legality ya order ya PM ya kumkamata huyo dada lakini nachojua hiyo anatembeza mbunye kwa watu wenye nguvu pia Majaliwa hajawahi hata siku moja kutoa amri ikatekelezwa haijawahi kutokea. Jamaa huwa anakuwa kama mpiga ramli tu sanasana anataka wamsumbue tu binti wa watu kuzuia akaunti zake mpaka amle.
Haupendi vipi wakati tayari umeonesha upo upande upi!

Mi' mtu aki sympathize na tapeli, kuelekeza mbinu za kujinasua kisheria, pamoja na pyepyepye zingine za mfano huo, hata kama alikuwa kwenye hadhi ya watu ninaowaheshimu sana, hujikuta namuondoa kwenye hadhi hiyo na kisha kumdharau sana.
 
Huyo Binti hiyo biashara anayofanya ni gelesha, ameshatapeli watu kwenye kuagiza mizigo china, pia akiishiwa pesa anaanza kukusanya michango ya watoto yatima. Wewe mtu anaenda china yeye na boyfriend wake, anakaaga huko mwezi, pesa anatoa wapi? Ndo Kwa biashara ya vipodozi? Au nguo , nauli tungi and return almost Dola 3000 za kimarekani
 
Je, Hawa wananchi ambao ni mastar na ma celebrities ambao pia ni wafanya biashara Wana uelewa wowote wa protokali za Kiserikali.

Nimeshangaa Mfanyabiashara mkubwa kabisa mwanamke mwenye mafanikio mengi akiwa amejijengea umaarufu mkubwa kupitia biashara zake, akitoa kauli tata inayoelekea kama ni kumjibu Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye ni Raia namba tatu baada ya maelekezo mahususi ya kutakiwa kukamatwa kwa Niffer ambaye aliendesha zoezi la Michango Kwa maafa ya Kariakoo kinyume na Sheria ama bila kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu inayosimamia majanga na dharura za aina hiyo.

Unaweza Kusoma ujumbe wa Niffer kupitia mtandao wake wa kijamii hapa chini

Ana kitu chema huyu

I see a star
 
Je, Hawa wananchi ambao ni mastar na ma celebrities ambao pia ni wafanya biashara Wana uelewa wowote wa protokali za Kiserikali.

Nimeshangaa Mfanyabiashara mkubwa kabisa mwanamke mwenye mafanikio mengi akiwa amejijengea umaarufu mkubwa kupitia biashara zake, akitoa kauli tata inayoelekea kama ni kumjibu Waziri Mkuu wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ambaye ni Raia namba tatu baada ya maelekezo mahususi ya kutakiwa kukamatwa kwa Niffer ambaye aliendesha zoezi la Michango Kwa maafa ya Kariakoo kinyume na Sheria ama bila kibali cha ofisi ya Waziri Mkuu inayosimamia majanga na dharura za aina hiyo.

Unaweza Kusoma ujumbe wa Niffer kupitia mtandao wake wa kijamii hapa chini

Ni kosa kutokujua sheria,au hafahamu
 
Kuna wadau wanadai anagongwa na mtu mzito, sasa mtu mzito kwa cheo ambae ni boss wa PM ni rais wa JMT na rais wetu ni mwanamke sasa kiburi kinatoka wapi? maana wote jinsia mmoja au mi kichwa changu ndio box? maana maruerue tu.
Chalamila ndiyo anakula mzigo itakua,maana hata kwenye utetezi wake ana mtaja Chalamila kama reference yake ya kuvunja sheria kua chala alikua anajua kua anachangisha!! Sasa Chala mwenyewe yuko kimya!!
 
Ukiwa kiongozi ukawa na tabia za baltzari ndo matokeo yake.
Nifa anamfananisha Waziri mkuu na madanga yake
 
Back
Top Bottom