Ni sahihi kwa mwanamke/Mke wa mtu kuanika chupi zake nje??



Je nayo ni sahihi kupiga picha chupi za wake za watu na kuzileta kwenye kadamnasi kama hii ya jf.??!!
 
Kwio zakwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
 
Msome huyu Nina ugonjwa wa kuiba chupi za wanawake

Jr[emoji769]
 

Ni sahihi kabisaaa, nkiziona huwa zinanitia hamasa.
 
Kama dukani zinauzwa hadharani basi hata kuanika hadharani hamna shida. Kama usafi unakusumbua anika ndani
Ni nguo za kawaida kama vest, soksi, etc
 

hao nao ni wachafu mno, zote hizo zinalundikwa wapi mpaka zifuliwe siku moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…