Mkuu nadhani tufuate dhumuni la kiafya zaidi...Kiustaarabu/kiheshima sio sahihi
Lakini kiafya ni sahihi
Heshima zingine sio za lazima sana istoshe kama heshima inaweza kupelekea madhara
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nadhani tufuate dhumuni la kiafya zaidi...Kiustaarabu/kiheshima sio sahihi
Lakini kiafya ni sahihi
Mbona kkoo zinauzwa hadharan hamfungui uzi ??
Hilo ni vazi kama vazi jingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwio zakwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona ni sahihi tu, mi naanika tena nyingi zimetoboka atakae mind kimpango wake kwio zake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
Nina ugonjwa wa kuiba chupi za wanawakeHapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583
Sent using Jamii Forums mobile app
Kistaarabu ni sahihi kabisa kuanika nje na sio kuficha ndani zinuke uvundo.Kiustaarabu/kiheshima sio sahihi
Lakini kiafya ni sahihi
Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakuwa ndo anabalehe.mbona chupi ni nguo tu za kawaida mkuu, au imagination ndo zinakusumbua??
Ila mwanamke anaeyanika nguo za ndani nje kama ivo ana element za umalaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ninapoishi kuna wamama wanne wameolewa
Hawa wamama na wadogo zao wa kike full kuanika chupi zao nje tena njia ya kwenda toilet ni kama mashindano hivi ya kuanika chupi
Je ni sahihi kweli kwa mke wa mtu au mwanamke wa Kitanzania/kiafrica kuanika chupi zake nje tena sehemu ya wazi kabisa
Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1377581View attachment 1377583
Sent using Jamii Forums mobile app