Purpose is overrated!Do you think because u are a human being you have purpose?Selfish thinking of religious human beings,what about other living things?Kwahiyo other organisms are purposeless?Mwanadamu ni living thing asie na tofauti na mnyama mwingine,tofauti ni kua ana akili na sentient,ila ana kila kitu kama wengine,emotions,maumivu,raha,huzuni,emphathy,etc.Hiyo purpose keep for yourselves!
As scientists,we are still looking for answers!Sio kama nyie mnatoa majibu ya kufikirika eti tulijengwa kwa udongo!What the fvck is that nonsense?
Mkuu evolution ni effort tu ya mwanadamu kujaribu kutafuta majibu possible sources za sisi wanadamu.Sio kua ni jibu definite.Tunaendelea kutafuta majibu.Ndio raha ya sayansi.Hatujasema ndio jibu sahihi,ila so far kwa effort ya mwanadamu kwa kutumia sayansi tumefika kwenye Evolution Theory na yenyewe sio perfect,tutakuja kupata majibu sahihi zaidi research zinapoendelea.Anyone with a proven research can prove anything to be right or wrong.Ila kwenu,kilichoandikwa kwenye Biblia au Quran ndio sahihi!Rubbish
Mkuu,Neptune is real.Kwenye space centre kuna tools za kuona na unatuma waves za doppler effect unajua composition yake na kila kitu.Hebu acha kuleta theory za kiajabu.God is not real.Ni fictional character!Deal with it religious people!And again,Fvck your God,haya come and kill me kama umekasirika nimetukana fictional character called God!Dini haina tofauti na superstition,wote mnafanya rituals tu,wewe unafanyia kwenye kanisa yeye anafanyia chini ya mti,ni tofauti ya location tu..ila wote ni wachawi watupu!Nyani haoni kundule!