Kuoa wanawake wengi ni njia moja ya kuwasitiri wanawake...Umetoa hoja ya msingi saana Mkuu, mi mwenyewe ni muislam teena alielelewa kwenye misingi ya Imani lakini tukija kwenye suala la kua na mwanamke zaidi ya mmoja staki kusikia na siwezi kufanya hivyo japo sijaoa.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] umenikwaza saana ila nimechekambinu ya kuwavuta wengi kwenda kwao na binti akitoka upande wao kwenda kwingine watamtumia mapepo na majini hadi akome
I do respect your belief (of whether the is no God or whatever), but was it necessary for you to insult and offend the faith of others ?
and you think of yourself as a intelligent person? just because you don't believe in God ? and that you're free ?
trust me, you aren't.
Waislamu hukimbilia ndoa fasta maana hujua kuna talaka tofauti na ukristo, mpk ujitafakari. Dada yangu alibadili dini 2008 kutoka RC na kuwa mwislamu, wazazi walimkataza Ila akatishia kujiua ikabd wamwache. Miaka kumi badae mwaka huu katelekezwa Mwanza mwanaume yupo Dar anakula bata. Usikimbilie ndoa kwa kubadili dini, Bali endelea kumwomba Mungu wa kwako atakuja.
Mungu awe na mtoto ambae ni Yesu ili iweje!? Hana hiyo shida. He is complete. Kwanza ni dhambi kuanza kumuwazia mambo kama hayo!ndugu nakuombea kwa MUNGU aliye hai akupe neema ya kuijua kweli ili uwe huru, yaani mtu anakuambia MUNGU hana mtoto kwasababu hajawahi oa, hivi unadhani MUNGU WA KWELI kwa uweza wake anahitaji aoe ili apate mtoto? yaani aliyesema iwe dunia na ikawa unamfananisha na mwadamu kama wewe ambaye ili uwe na mtoto unahitaji mwanamke? kama hauamini kuwa YESU NI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI NA KUWA ALITOLEWA MSALABANI MARA MOJA ILI ATUPATANISHE NA MUNGU, BASI UNAPOTEA
Mkuu kwa hii hoja yaako popote pale ulipo nasema ubarikiwe saana.Usikariri lugha ya picha. Hakuna kitu kinachokatazwa katika ndoa kwa waislam kama taraka. Ni ukosefu wa elimu ndio maana unaona watu hukimbilia taraka.
YeaaahNa hasa kukiwa na maslahi, si ndiyo?
Na mchana wanafungua siku hiziHiko usiku ndo kinakuwa wazi mchana kinafungwa.
Kwa mama wa kipemba.
Na mchana wanafungua siku hizi
Wewe na dini yako hiyo ya wasooona usidanganye watu hapo na vimistari vyako hivyo. Kwanza chimbuko la dini yako ni ukatoliki ilivoundwa ili iwashinde jews. TokaaKaribu kaka,tuko pamoja,nasoma biblia kila siku,,,,Mungu alimleta Yesu kuwaokoa wana wa Israel tu sio bibadamu wote Matayo 15:24 "“Nimetumwa tu kwa ajili ya kondoo wa Israeli waliopotea.”
Yesu alipowatuma wafuasi wake wakahubiri Injili mjini,aliwambia msiende kuhubiri kwa kila mtu nendeni kwa wana wa Israel tu.. Matayo 10:5-15
Nakuwekea mistari wa 5 mpaka wa 7 nini biblia inasema kuhusu Yesu na alikuja kwa ajili ya kina nani,-..
Matayo 10:5-7:-
5) Yesu aliwatuma hawa kumi na wawili, akawaagiza, “Msiende kwa watu wa mataifa wala msiingie mji wo wote wa Wasamaria.
6) Bali waendeeni kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.
7) Na mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia
Karibu katika dini ya ukweli,dini isiobagua,dini ya kiislamu
ni kweliAcha upuuziiiiii baki na dini yako utakuja kujutaa mbeleni waislamu sisi ni wepesi kutoa talaka sijui wanafanyaga kwa misifa au ??
Tunasababisha masingle mothers kitaa.
Lakini wapo walio badili dini na kifo ndio kiliwatenganisha.Waislamu hukimbilia ndoa fasta maana hujua kuna talaka tofauti na ukristo, mpk ujitafakari. Dada yangu alibadili dini 2008 kutoka RC na kuwa mwislamu, wazazi walimkataza Ila akatishia kujiua ikabd wamwache. Miaka kumi badae mwaka huu katelekezwa Mwanza mwanaume yupo Dar anakula bata. Usikimbilie ndoa kwa kubadili dini, Bali endelea kumwomba Mungu wa kwako atakuja.
Huja mpenda tu basi dadaa..mimi meogopa kubadili.
1.talaka
2.kupigwa
3.eti mwanaume ni Mungu wako wewe ni kijakazi wake.
4.eti hata ukiwa kwenye hedhi au kuumwa utafute njia ya kumtimizia mume wako so unampa tigo au halafu akikuforce hashtakiwi wala nini haki.
5.eti wewe hurusiwi kuongea kitu kupinga kitu yeye na ndugu zake ndio wapangaji.
6.watoto na mama wao wapo tu.
so mimi ht kama anahela nakila kitu nimeghairi