Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Dini zote zinatokana na Ibrahimu(radhiyallahu annu= Radhi za mwenyezi mungu zimfikie),Ukatoliki ni dini gani?!,nani mtume wa dini inayoitwa Katoliki,kama umekusudia "Roman catholic" jina linajieleza wenyewe,..

Je Roman Catholic ni dini iliyoletwa na Yesu,Je Yesu aliwambia wanafunzi na wafuasi wake kuwa anayoyahubiri ni ukatoliki!!?,

Mimi sijaongeza chochote isipokuwa nimeweka mistari kutoka katika BIBLIA,Au unapinga maandiko ya BIBLIA!!??kama hupingi sasa hasira za nini!!??

Je Ugalatia ni kitu gani!!,

Mkuu mimi ni mwislam dini yangu inafata mafundisho ya Ibrahim,ya Musa,ya Daudi,ya Isa(yesu) na ya Muhamad
Wewe hapa ulikuja ukitaka kuwakashifu wakristo kuwa dini yao sio ya haki yako hiyo hiyo iloteremshwa sijui na nani ndo ya haki. Ukataka kuaminisha watu kuwa yesu aliwatenga wengine akawabakisha waisraeli. Baya zaidi ukatuletea mistari ya bible uliyokaririshwa na mwalimu wako wa madras. Sasa tunakwambia wanaomfata kristo ndio waisraeli wa kiroho hivyo hawana wasiwasi kiwa hayo maneno uliyoyanukuu yanawahusu wao pia kwa mujibu wa Wagalatia 3:29.
Sasa hizi bla bla zingine ondoka nazo haziko relevant na ulichokileta mwanzo kafiri we
 
Quran iliteremshwa au iliandikwa na wanadamu??
Uteremshwaji wa Injili hauna tafauti na Uteremshwaji wa Quran hauna tafauti na Uteremshwaji wa Taurat hauna tafauti na Uteremshwaji wa Zaburi..

Swali unaweza kutaja kila mtume kateremshiwa kitabu gani katika hivi vitabu:-Taurat,Zaburi,Injill,Furkan(Quran),Hivi vitabu vyote Mungu kavimeteremsha kwa njia moja.Je vimeteremswha vipik!??

Nasubiri jibu mkuu..
 
Wewe hapa ulikuja ukitaka kuwakashifu wakristo kuwa dini yao sio ya haki yako hiyo hiyo iloteremshwa sijui na nani ndo ya haki. Ukataka kuaminisha watu kuwa yesu aliwatenga wengine akawabakisha waisraeli. Baya zaidi ukatuletea mistari ya bible uliyokaririshwa na mwalimu wako wa madras. Sasa tunakwambia wanaomfata kristo ndio waisraeli wa kiroho hivyo hawana wasiwasi kiwa hayo maneno uliyoyanukuu yanawahusu wao pia kwa mujibu wa Wagalatia 3:29.
Sasa hizi bla bla zingine ondoka nazo haziko relevant na ulichokileta mwanzo kafiri we
bora ndugu yangu umueleze huyu ndugu maana yule roho wa upotoshaji wa ile kweli imemuandama sana hata haoni
 
Wewe hapa ulikuja ukitaka kuwakashifu wakristo kuwa dini yao sio ya haki yako hiyo hiyo iloteremshwa sijui na nani ndo ya haki. Ukataka kuaminisha watu kuwa yesu aliwatenga wengine akawabakisha waisraeli. Baya zaidi ukatuletea mistari ya bible uliyokaririshwa na mwalimu wako wa madras. Sasa tunakwambia wanaomfata kristo ndio waisraeli wa kiroho hivyo hawana wasiwasi kiwa hayo maneno uliyoyanukuu yanawahusu wao pia kwa mujibu wa Wagalatia 3:29.
Sasa hizi bla bla zingine ondoka nazo haziko relevant na ulichokileta mwanzo kafiri we
Mkuu sijawahi kuikashifu dini ya kikristo hata siku moja na wala siwezi kuikashifu,kama umesoma koments zangu mimi nawakubali hata wale wanaoabudu Miti..

Kama hujui unatakiwa ujue kuwa waisalam bila ya kumkubali Isa(yesu) basi sio mwislam,kwa mantiki hiyo mwislam hawezi kumkashifu Isa(Yesu)..

Uislam umejengwa kama ni dini endedelezi kutoka kwa Ibrahimi,Musa,Daudi,Yesu na kwa maana hiyo kuwa dini ya kiislamu inafata yale yote aliyofanya na kuhubiriwa na Yesu(Isa),kwababu Isa na yeye kaendeleza yale aliyokuja nayo Musa kama biblia inavyosema katika

matayo 5:17


17) "Think not that I am come to destroy the law, or the prophets: I am not come to destroy, but to fulfil."

17)“Msidhani kwamba nimekuja kufuta sheria ya Musa(taurat) na mafundisho ya manabii. kwamba mpaka mbingu na dunia zitaka potoweka, hakuna hata herufi moja ya sheria itakayopotea mpaka shabaha yake ikamilike."

Mkuu hapo nimekuwekea tafsiri mbili utaona kuwa ya kiswahili kuna maneno yamezidishwa,sijui kwanini lakini ndio mambo yanvyochanganya katika bibilia...

Kwa ufupi Yesu kaja kuyaendeleza sheria za kitabu cha Musa "taurat",Muhamad na yeye kateremshiwa Quran kuja kuyaendeleza ya Musa na ya Yesu,..na ndio maana moja katika suna ya Isa(Yesu) ambayo waislamu tunaifata ni kutahiriwa,"

Je wewe umetahiriwa ,je wewe unamfuata yale aliyohuburi na kufanya Yesu,au unafaata yale aliyohubiri Paulo!!??

"Kafiri" ni neno wanalotumia waislam kuwaita wakristo,kwa kwelli waislamu wanawaita wakristo wamakafiri wanakuwa sio waisalam kwani waisalam tunatakiwa tuwakubaili "ahlil kitabu" watu walioteremshiwa vitabu,..

"kafiri" maana yake ni mtu asiekuwa na dini
 
Wewe hapa ulikuja ukitaka kuwakashifu wakristo kuwa dini yao sio ya haki yako hiyo hiyo iloteremshwa sijui na nani ndo ya haki. Ukataka kuaminisha watu kuwa yesu aliwatenga wengine akawabakisha waisraeli. Baya zaidi ukatuletea mistari ya bible uliyokaririshwa na mwalimu wako wa madras. Sasa tunakwambia wanaomfata kristo ndio waisraeli wa kiroho hivyo hawana wasiwasi kiwa hayo maneno uliyoyanukuu yanawahusu wao pia kwa mujibu wa Wagalatia 3:29.
Sasa hizi bla bla zingine ondoka nazo haziko relevant na ulichokileta mwanzo kafiri we
Mkuu sijui unafata biblia gani?! waisraeli wa kale na wa leo wanamkana Yesu,waisrael wanamchukulia Yesu kama tapeli tu,waisrael wanafata mafundisho ya Taurat hawana habari kabisa na agano jipya,hawana habari kabisa na Gospel,usijidanganye..
 
Mkuu sijawahi kuikashifu dini ya kikristo hata siku moja na wala siwezi kuikashifu,kama umesoma koments zangu mimi nawakubali hata wale wanaoabudu Miti..

Kama hujui unatakiwa ujue kuwa waisalam bila ya kumkubali Isa(yesu) basi sio mwislam,kwa mantiki hiyo mwislam hawezi kumkashifu Isa(Yesu)..

Uislam umejengwa kama ni dini endedelezi kutoka kwa Ibrahimi,Musa,Daudi,Yesu na kwa maana hiyo kuwa dini ya kiislamu inafata yale yote aliyofanya na kuhubiriwa na Yesu(Isa),kwababu Isa na yeye kaendeleza yale aliyokuja nayo Musa kama biblia inavyosema katika

matayo 5:17


17) "Think not that I am come to destroy the law, or the prophets: I am not come to destroy, but to fulfil."

17)“Msidhani kwamba nimekuja kufuta sheria ya Musa(taurat) na mafundisho ya manabii. kwamba mpaka mbingu na dunia zitaka potoweka, hakuna hata herufi moja ya sheria itakayopotea mpaka shabaha yake ikamilike."

Mkuu hapo nimekuwekea tafsiri mbili utaona kuwa ya kiswahili kuna maneno yamezidishwa,sijui kwanini lakini ndio mambo yanvyochanganya katika bibilia...

Kwa ufupi Yesu kaja kuyaendeleza sheria za kitabu cha Musa "taurat",Muhamad na yeye kateremshiwa Quran kuja kuyaendeleza ya Musa na ya Yesu,..na ndio maana moja katika suna ya Isa(Yesu) ambayo waislamu tunaifata ni kutahiriwa,"

Je wewe umetahiriwa ,je wewe unamfuata yale aliyohuburi na kufanya Yesu,au unafaata yale aliyohubiri Paulo!!??

"Kafiri" ni neno wanalotumia waislam kuwaita wakristo,kwa kwelli waislamu wanawaita wakristo wamakafiri wanakuwa sio waisalam kwani waisalam tunatakiwa tuwakubaili "ahlil kitabu" watu walioteremshiwa vitabu,..

"kafiri" maana yake ni mtu asiekuwa na dini
hapa umekuja kuharibu mwisho mwisho hapo mkuu.inaonyesha hujui unachokisema kabisaa yani daaaah!!!!

unaposema tuwakubali ahlUKl kitaab tuwakubali kwa lipi lazima ufafanue sio unajUKmuisha tu mkuu haya mambo ya dini hutakiwi kupindisha mambo..
 
hapa umekuja kuharibu mwisho mwisho hapo mkuu.inaonyesha hujui unachokisema kabisaa yani daaaah!!!!

kumbe wakristo ni waislamu duh..
Ndio hivyo mkuu,sijjakosea,sijaharibu,...wakristo ni waislam,waislam tunaamini kuwa Musa alihubiri uislam,Isa kahubiri uislam,Daudi kahubiri uislam,..

wakristo wa leo hawafati mafundisho ya Yesu(Isa),wanafata mafundisho ya PAULO kama wanafata mafundisho ya Yesu basi wakristo ni waislam kwani Isa(Yesu) alifundisha uislam..,

Unatakiwa ujue kuwa huwezi kuwa mwislamu kama humkubali Yesu(Isa) radhi ya allahu anuhu

Lakini Mkuu kwanza unatakiwa ujue nini maana ya neno "ISLAM"..
 
hapa umekuja kuharibu mwisho mwisho hapo mkuu.inaonyesha hujui unachokisema kabisaa yani daaaah!!!!

unaposema tuwakubali ahlUKl kitaab tuwakubali kwa lipi lazima ufafanue sio unajUKmuisha tu mkuu haya mambo ya dini hutakiwi kupindisha mambo..
"Kullu bidaah dhalala wakina dalala fil nar" maana yake:-

"Katika mambo yote, mabaya zaidi ni kuzidisha; na kila kuzidisha ni kupotosha, na kila anaepotosha utamkabili moto wa Jahannam.."

Kutokana na maneno ya hapo juu siwezi kuzidisha langu katika dini ya kiislam,..

Kuran inapozungumzia watu wa vitabu inazungumzi wale watu walifata mitume walioteremshiwa vitabu nao ni:- Musa,Daudi,Isa(Yesu) na Muhamad..

Hivi vitabu vyote kuanzia Taurat(Musa),Zaburi(Daudi),Injil(Isa),Furkan(Muhamad) ujumbe wa vitabu hivi ni mmoja tu mcheni mungu,hakuna mwengine wa kumuabudu isipokuwa mungu(Master universe),yeye ndie bwana wa kila kilichokuwepo duniani na akhera..,na hiyo ndio maana ya neno "ISLAM"..

"ISLAM" = "Submit to God"
 
Hahahahaaa

Nimetukana nani?

Na nani amekwambia mimi nina 'faith'?

Sina faith mkuu!

Kipi nilichosema ni cha uongo?Kiseme ili tujue my post was wrong!

Im intelligent just like you.Do you think Im dumb?Or you think you are dumb?We are all intelligent with varying inteligence levels.Na haina uhusiano wowote na takataka linaloitwa dini!

Dini ndio imetukanwa,hujatukanwa wewe,nini kinakuuma kama sio inherent behaviour ya chuki hizo dini zimewaambukiza?

Wewe unaweza muua mwanadamu mwenzio akisema "Yesu Ni Mpumbavu"!..Yaani unaua mtu mwanadamu mwenzio anaemtukana mtu ambae infact hamna mwenye proof kama ali-exist kweli,na mtu mwenyewe hana mahusiano yoyote ya kindugu na wewe!Cha ajabu ndugu yako uliezaliwa nae tumbo moja akitukanwa humsaidii chochote!

Siamini dini yoyote wala any figure head,nipo free,sipangiwi cha kufikiri,nafikiria kwa kutumia ubongo wangu,najua mazuri na mabaya sio lazima nikasome eti kitabu walichoandika wanadamu wenye mioyo mibovu kama yangu ili nijue cha kufanya!

Dini ni kifungo,thats true!

Kama unabisha basi andamana mkuu!Ruksa!Nchi huru hii!

what do you think is the purpose of this life?
just being born, grow up and die. and the cycle continues?

who created us?
did we just magically appear from nothing ?

and please don't tell me the evolution crap, because even those scientists who invented this theory cant explain why " evolution has paused".

Most of the atheists, claim that there is no God because they can't see him. Well, if i tell you that there is a planet called Neptune. would you believe it? why do you believe that planet Neptune exists while you haven't seen it with your own eyes?

"We will show them Our signs in the horizons and within themselves until it becomes clear to them that it is the truth. But is it not sufficient concerning your Lord that He is, over all things, a Witness? " Qur'an (41:53)
 
Mbona moja ya nguzo tano za Uislam ni kwenda Macca Saudi Arabia na isiwe kwenda taifa lolote iwe ni nguzo ya Uisla kama nchi zote ni sawa,usitudanganye,wakati picha tunaiona kweupe!
Macca ni mji ambao ipo Alkaabah, hii ndio kibla ya uislamu.
kwa hoja yake hiyo, najua utauliza kwa nn macca? hata ingekua Tanzania basi bado ungeuliza kwa nn Tanzania? thinking capacity ndio imeishia hapa?

mbali na hiyo, mtu aliezaliwa macca na yule aliezaliwa mtogole au mbagala mbele ya mola wao (Allah) wapo sawa, na mbora wao ni yule ambae ni mchamungu zaidi. hakuna mambo sijui yahudi kabarikiwa zaidi wala nini. huku katika al islam everybody is equal infront of our Lord (Allah).
 
Yesu ni njia na kweli na uzima mtu haji kwa Baba ila.....angali kuna roho inakufuatilia,kama wazazi wamekukatalia wasilikilize wazazi.
Kwakweli hapo ndipo , YESU NI NJIA, asikilize wazazi
 
Wasiliana na Paroko wako atakushauri namna nzuri ya kufanya, maana zipo namna ya kutatua changamoto ya ndoa za mseto.
Kila la kheri bi dada
Paroko atamwambia awe RC na wakioana lazima aaslim, lakini jibu la mwisho ni lake
 
Shoga usibadiri Dini.mwanamke kweli hana Dini lakin ana imani...watamka ndoa ni rahis kwao na talaka ni raisi kwao kutamkwa.
Hilo neno kabisa talaka mitala vyote kwa pamoja
 
welcome to islam my sister,
your first statement is utter the shahada

Ash-hadu an laa illaha illa 'llah, wa ash-hadu anna Muhammad rasullu 'llah.

Translation.
I bare witness that there is no God but Allah, And i bare witness that Muhammad is the messenger of Allah.

Tafsiri
Nina shuhudia kuwa hapana Mola (Mungu) isipokua Allah, na nina shuhudia kuwa Muhammad ni mtume wa Allah.
 
Back
Top Bottom