Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

najua Rc ni dhehebu ipo ndani ya dini ya kikristo ila ningekubali kuolewa nayeye kama sio yafuatayo ukigombana naye tu anakuacha mawifi je je kuongezewa mke mwingine yaani kazi sana.
nipo njia panda naweza olewa nikafa kama ananipenda anioe na dini yangu.
watoto wakikuwa watajua wafuate lipi.
Akikuoa na dini yako ipo siku atakwambia anataka kuoa wa dini yake la badilisha
 
hapo suluhisho wote muokoke muachane na dini muufuate uwokovu katika YESU KRISTO ndio mtaiona amani ya ndoa yenu. watu wa dini hawataweza kunielewa hapa zaidi watakejeli na kutukana.
Umemaliza [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hata huyu tayari ameshatupiwa majini na hajitambui,asipopata mtu wa karibu wa kumsaidia,mtamkuta sasa hivi anasema ala la la la na maneno asiyoyajua badala ya kufanyia Mungu wa kweli ibada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndio hivyo mkuu,sijjakosea,sijaharibu,...wakristo ni waislam,waislam tunaamini kuwa Musa alihubiri uislam,Isa kahubiri uislam,Daudi kahubiri uislam,..

wakristo wa leo hawafati mafundisho ya Yesu(Isa),wanafata mafundisho ya PAULO kama wanafata mafundisho ya Yesu basi wakristo ni waislam kwani Isa(Yesu) alifundisha uislam..,

Unatakiwa ujue kuwa huwezi kuwa mwislamu kama humkubali Yesu(Isa) radhi ya allahu anuhu

Lakini Mkuu kwanza unatakiwa ujue nini maana ya neno "ISLAM"..
MKUU umeharibu hali ya hewa sana daah,..aisee

haya nikuulize naomba uniambie NINI MAANA YA UISLAMU KISHERIA SIO KILUGHA....

NAtaka UKniambie maana ya uislamu kisheria sitaki kilugha kwa sababu kilugha hatuwezi kuhukumu mambo,tunaposema kisheria eidha utoe maana kutoka katika quran na hadith
 
Zamani kidogo,pale Manzese Madizini kuna bi Mdada mmoja toka uchagani alielelewa katika Ukatoliki,alipataga Bwana kama wewe na Akasilimu...baada ya ndoa akuweza pata mtoto,hivyo akalimwa Talaka tatu!...
Taraka mpaka ya jirani yake ampelekee
 
YOHANA 1:1-3
HAPO MWANZO KULIKUWAKO NA NENO, NAYE NENO ALIKUWAKO KWA MUNGU,NAYE NENO ALIKUWA MUNGU. HUYO MWANZO ALIKUWAKO KWA MUNGU. VYOTE VILIFANYIKA KWA HUYO WALA PASIPO YEYE HAKIKUFANYIKA CHO CHOTE KILICHOFANYIKA.
YOHANA 1:14
NAYE NENO AKAFANYIKA MWILI AKAKAA KWETU, NASI TUKAUONA UTUKUFU WAKE, UTUKUFU KAMA WA MWANA PEKEE ATOKAYE KWA BABA, AMEJAA NEEMA NA KWELI.
Umemaliza mkuu
 
Mkuu sijawahi kuikashifu dini ya kikristo hata siku moja na wala siwezi kuikashifu,kama umesoma koments zangu mimi nawakubali hata wale wanaoabudu Miti..

Kama hujui unatakiwa ujue kuwa waisalam bila ya kumkubali Isa(yesu) basi sio mwislam,kwa mantiki hiyo mwislam hawezi kumkashifu Isa(Yesu)..

Uislam umejengwa kama ni dini endedelezi kutoka kwa Ibrahimi,Musa,Daudi,Yesu na kwa maana hiyo kuwa dini ya kiislamu inafata yale yote aliyofanya na kuhubiriwa na Yesu(Isa),kwababu Isa na yeye kaendeleza yale aliyokuja nayo Musa kama biblia inavyosema katika

matayo 5:17


17) "Think not that I am come to destroy the law, or the prophets: I am not come to destroy, but to fulfil."

17)“Msidhani kwamba nimekuja kufuta sheria ya Musa(taurat) na mafundisho ya manabii. kwamba mpaka mbingu na dunia zitaka potoweka, hakuna hata herufi moja ya sheria itakayopotea mpaka shabaha yake ikamilike."

Mkuu hapo nimekuwekea tafsiri mbili utaona kuwa ya kiswahili kuna maneno yamezidishwa,sijui kwanini lakini ndio mambo yanvyochanganya katika bibilia...

Kwa ufupi Yesu kaja kuyaendeleza sheria za kitabu cha Musa "taurat",Muhamad na yeye kateremshiwa Quran kuja kuyaendeleza ya Musa na ya Yesu,..na ndio maana moja katika suna ya Isa(Yesu) ambayo waislamu tunaifata ni kutahiriwa,"

Je wewe umetahiriwa ,je wewe unamfuata yale aliyohuburi na kufanya Yesu,au unafaata yale aliyohubiri Paulo!!??

"Kafiri" ni neno wanalotumia waislam kuwaita wakristo,kwa kwelli waislamu wanawaita wakristo wamakafiri wanakuwa sio waisalam kwani waisalam tunatakiwa tuwakubaili "ahlil kitabu" watu walioteremshiwa vitabu,..

"kafiri" maana yake ni mtu asiekuwa na dini
Sasa Mkuu, hapo umesema mwenyewe kua YESU HAKUJA KUTANGUA SHERIA ZA manabii. Je mbona Mohammad hakua nabii?
Unamuaminije sheria zake, angali sio Nabii kama manabii wengine waliokuwepo zamani?.

Na pia kwanini Hamumpendi Yesu ambaye ni Mkuu zaidi?
 
Sasa mkuu unataka kuniambia kitabu chako cha imani yako kinapotosha!?mimi nakuwekea mistari ya Biblia,nimekwambia mimi nasoma sana Biblia na kuifahamu

Matayo 10:5-7:-
5) Yesu aliwatuma hawa kumi na wawili, akawaagiza, “Msiende kwa watu wa mataifa wala msiingie mji wo wote wa Wasamaria.

6) Bali waendeeni kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.

7) Na mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia

Kwa maana hiyo Yesu ni mwokozi wa wana wa Israel Tu...Mimi na wewe Yesu hatuhusu...
Unaweza kusoma sana na usielewe vilevile, kuitafsiri Biblia sio kama usomavyo gazeti la udaku mkuu ndiyo maana tuna ambiwa tuenende katika roho si kupayuka payuka tu
 
mimi meogopa kubadili.
1.talaka
2.kupigwa
3.eti mwanaume ni Mungu wako wewe ni kijakazi wake.
4.eti hata ukiwa kwenye hedhi au kuumwa utafute njia ya kumtimizia mume wako so unampa tigo au halafu akikuforce hashtakiwi wala nini haki.
5.eti wewe hurusiwi kuongea kitu kupinga kitu yeye na ndugu zake ndio wapangaji.
6.watoto na mama wao wapo tu.
so mimi ht kama anahela nakila kitu nimeghairi
Heeee hiyo namba 4 vip[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44] mie ndiyo nasikia wajameni
 
Acha upuuziiiiii baki na dini yako utakuja kujutaa mbeleni waislamu sisi ni wepesi kutoa talaka sijui wanafanyaga kwa misifa au ??

Tunasababisha masingle mothers kitaa.
Sema hata wewe mkuu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] na ndiyo kampa kwa haraka na mwenzie atakuja hivyo hivyo
 
Na hiyo ndio nchi ambayo mafuta hayakauki,.na ni nchi ambayo Mungu kaahidi kuwa hatakuwa maskini mpaka mwisho wa dunia...
Mungu alimwapia Ibrahim kuwa ahadi ya mtoto Isaka anampa baraka zake na kubariki pia huyo pia huyo mtoto wa kijakazi naye nitampa baraka zake kwahiyo hayo mafuta ni sehemu ya baraka alizo pewa mtoto wa hajiri
 
Dini ni Kama mashati tu unaweza vaa hili ukavua na ukavaa jingine maisha yakaendelea, ila sisi watu wa IMANI kwa MUNGU katika KRISTO Yesu huwa hatuna alternative eyote! Maana hatumilikiwi na dini hivyo wewe ni ruksa tu maana upo chini ya dini
 
mimi meogopa kubadili.
1.talaka
2.kupigwa
3.eti mwanaume ni Mungu wako wewe ni kijakazi wake.
4.eti hata ukiwa kwenye hedhi au kuumwa utafute njia ya kumtimizia mume wako so unampa tigo au halafu akikuforce hashtakiwi wala nini haki.
5.eti wewe hurusiwi kuongea kitu kupinga kitu yeye na ndugu zake ndio wapangaji.
6.watoto na mama wao wapo tu.
so mimi ht kama anahela nakila kitu nimeghairi
Kama hujui kitu ni kazi kubwa sana
Naomba ufatilie na uelewe zaidi dini kabla hujafikia maamuzi.
Kuna jamaa yangu alipata rafiki wa kitaliano na akataka kumuoa baada ya msichana kuwajulisha wazazi wake ambao walikuwa Italy kuwa wanatarajia kufunga ndoa.
Jambo la kwanza mama yake aliuliza
Je una vidole vyako salama? Maana huwa wanakata vidole ukiwakosea waislam.
Sasa niambie na wewe upo katika mkumbo kama wa huyo mtaliano au?

Ondokana na fikra potovu na unaweza kuendelea na mwanaume mwingine na kuishi nae kama partners na ndoa watoto watakapokuwa wakubwa
The choice is yours my dear
 
Back
Top Bottom