Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Hivi dada ukigundua ana ukimwi pasipo shaka saa hii ukakimbilia Angaza ukapima ukakuta hujaambukizwa utawndelea kusema unampenda? Nahisi utakuwa na jibu fulani hivi. Sasa hicho kinachokufanya usite na kituuliza hakina tofauti na ukimwi
 
Hivi dada ukigundua ana ukimwi pasipo shaka saa hii ukakimbilia Angaza ukapima ukakuta hujaambukizwa utawndelea kusema unampenda? Nahisi utakuwa na jibu fulani hivi. Sasa hicho kinachokufanya usite na kituuliza hakina tofauti na ukimwi
hahahaa ndio haki elimu
 
mimi meogopa kubadili.
1.talaka
2.kupigwa
3.eti mwanaume ni Mungu wako wewe ni kijakazi wake.
4.eti hata ukiwa kwenye hedhi au kuumwa utafute njia ya kumtimizia mume wako so unampa tigo au halafu akikuforce hashtakiwi wala nini haki.
5.eti wewe hurusiwi kuongea kitu kupinga kitu yeye na ndugu zake ndio wapangaji.
6.watoto na mama wao wapo tu.
so mimi ht kama anahela nakila kitu nimeghairi
Bahati Nzuri unafahamu baadhi ya side effects za huko unakotaka kukimbilia. Nilidhani Uu mjinga sana.
Nakushauri Acha kukurupuka ndoa. Wanaume wa Imani yako ni wengi sana. Tazama huko.
 
katika uislamu hakuna taifa au kundi la watu ambalo limetukuzwa zaidi kuliko wengine. mbele ya uislamu kila mtu/taifa lina haki sawa na wengine. hakuna taifa au kundi la watu lililo juu ya wengine.

Mbona moja ya nguzo tano za Uislam ni kwenda Macca Saudi Arabia na isiwe kwenda taifa lolote iwe ni nguzo ya Uisla kama nchi zote ni sawa,usitudanganye,wakati picha tunaiona kweupe!
 
Wewe na dini yako hiyo ya wasooona usidanganye watu hapo na vimistari vyako hivyo. Kwanza chimbuko la dini yako ni ukatoliki ilivoundwa ili iwashinde jews. Tokaa
Soma hapa: Wagalatia 3:29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Dini zote zinatokana na Ibrahimu(radhiyallahu annu= Radhi za mwenyezi mungu zimfikie),Ukatoliki ni dini gani?!,nani mtume wa dini inayoitwa Katoliki,kama umekusudia "Roman catholic" jina linajieleza wenyewe,..

Je Roman Catholic ni dini iliyoletwa na Yesu,Je Yesu aliwambia wanafunzi na wafuasi wake kuwa anayoyahubiri ni ukatoliki!!?,

Mimi sijaongeza chochote isipokuwa nimeweka mistari kutoka katika BIBLIA,Au unapinga maandiko ya BIBLIA!!??kama hupingi sasa hasira za nini!!??

Je Ugalatia ni kitu gani!!,

Mkuu mimi ni mwislam dini yangu inafata mafundisho ya Ibrahim,ya Musa,ya Daudi,ya Isa(yesu) na ya Muhamad
 
Mbona moja ya nguzo tano za Uislam ni kwenda Macca Saudi Arabia na isiwe kwenda taifa lolote iwe ni nguzo ya Uisla kama nchi zote ni sawa,usitudanganye,wakati picha tunaiona kweupe!
Makka ndio uislamu ulipoanza,ndio kuran ilipoteremshwa,Makka ndipo baba wa dini zote IBRAHIMU alipojenga nyumba aliyoamrishwa na Mungu(Alkaba),waislamu wa dunia nzima wanatakiwa waelekee kwenye nyumba hiyo pale wanaposali,,..
 
Makka ndio uislamu ulipoanza,ndio kuran ilipoteremshwa,Makka ndipo baba wa dini zote IBRAHIMU alipojenga nyumba aliyoamrishwa na Mungu(Alkaba),waislamu wa dunia nzima wanatakiwa waelekee kwenye nyumba hiyo pale wanaposali,,..

Nashukuru umethibitisha kua nchi zote siyo sawa
 
mimi meogopa kubadili.
1.talaka
2.kupigwa
3.eti mwanaume ni Mungu wako wewe ni kijakazi wake.
4.eti hata ukiwa kwenye hedhi au kuumwa utafute njia ya kumtimizia mume wako so unampa tigo au halafu akikuforce hashtakiwi wala nini haki.
5.eti wewe hurusiwi kuongea kitu kupinga kitu yeye na ndugu zake ndio wapangaji.
6.watoto na mama wao wapo tu.
so mimi ht kama anahela nakila kitu nimeghairi
Ujui ulichokiandika. Labda kama lengo lako kuanzisha uzi lilikua ni kufikisha huu ujumbe pekee, kamuulize vizuri aliyekudanganya.
 
Ujui ulichokiandika. Labda kama lengo lako kuanzisha uzi lilikua ni kufikisha huu ujumbe pekee, kamuulize vizuri aliyekudanganya.
hivi hujui jinsi ya kumuacha mtu unayempenda kwa moyo hivi unajua kuwa sio rahisi kuanza mwanzo hivi unajua kuwa kuwa mpweke ni mbaya hivi unajua ni ngumu kumsahau mtu anayekupenda kwa moyo ni ngumu kufuta kila kitu kirahisi tu labda hujawahi kupata mapenzi ya kweli .
hujawahi kudekezwa hujawahi wewe so usiongee upuuzi kisa ni dini yakoo .
umenielewa
 
Sababu hizo ni nyepesi sana. Shule ziko ngapi,labda hilo la commonia(check spellling), jambo ambalo inaonyesha hakufuata ndoa bali ni mihemuko tu ili kuondoa mkosi.
Jambo la mwisho tujiulize,kabla ya kuja Waarab(karne ya 7-15)na wazungu(karne ya 18-20) watu walioana vipi hapa Tanzania na Afrika. Ukitafakari hilo,kaeni U RC wenu na Uislam wenu.
wayaaaaaaaaa""" asante
 
Ujui ulichokiandika. Labda kama lengo lako kuanzisha uzi lilikua ni kufikisha huu ujumbe pekee, kamuulize vizuri aliyekudanganya.
Hawajui nini uislam unasema kuhusu mke na vipi mwanamme anatakiwa amuenzi na kumtunza mke wake,..

sheria moja inayonifurahisha katika haki ya mke ni pale mwanamme wa kiislamu anapomwacha mke akafanye kazi,,,

Sheria inasema kama mkeo anafanya kazi basi mshahara anaopata kazini ni wake,na wewe mume lazima umsaidie mke wako katika kile unachokipata kazini,lakini yeye mke hana ulazima wa kukupa wewe mume kile anachokipa(mshahara) kazini...

Dini zote nilizosoma duniani hamna hata dini moja iliyompa uhuru mwanamke kama hivi,hakika uislam ni dini ya Mungu
 
Makka ndio uislamu ulipoanza,ndio kuran ilipoteremshwa,Makka ndipo baba wa dini zote IBRAHIMU alipojenga nyumba aliyoamrishwa na Mungu(Alkaba),waislamu wa dunia nzima wanatakiwa waelekee kwenye nyumba hiyo pale wanaposali,,..
Quran iliteremshwa au iliandikwa na wanadamu??
 
wafia dini "" nawaona mnavyoburuzana"" dini zimewafnya kuwa watumwa wa fikira"" mmekubali kuburuzwa tu'' bila yakujua kuwa mnatumika kuwanufaisha watu""

poleni sana aisee
 
Back
Top Bottom