Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

Ni sahihi mimi nitoke kwenye Ukatoliki niwe Muislam?

mimi meogopa kubadili.
1.talaka
2.kupigwa
3.eti mwanaume ni Mungu wako wewe ni kijakazi wake.
4.eti hata ukiwa kwenye hedhi au kuumwa utafute njia ya kumtimizia mume wako so unampa tigo au halafu akikuforce hashtakiwi wala nini haki.
5.eti wewe hurusiwi kuongea kitu kupinga kitu yeye na ndugu zake ndio wapangaji.
6.watoto na mama wao wapo tu.
so mimi ht kama anahela nakila kitu nimeghairi
In Islam ninavojua mm ni kharaaaam kumuingilia mtu kinyume na maumbile na hata Kama ni mke basi unarhusiwa kuondoka ukarudi kwenu ukatulia kaumu Lut waligharikishwa kwa sababu ya kulawitiana sasa hiyo no.4 ndo kwanza naickia Leo

no.1 kiuhalisia talaka Mungu anaichukia ni ruhusa kuacha if hakuna hata little chance ya kuendelea na ndoa na ukiachwa sheria ya eda miez mitatu km ni mjamzito hadi ujifungue ukae humo humo ndani kwa mume vyumba tu tofaut hwenda ikapita fatwa mkasameheana na kuridiana

No.2 kipigo ni tabia ya mtu na sio dini iliohalalisha mume ampige mke na tunashuhudia wanaume tofaut wanapiga wake zao na wengine hawana dini

No 3 ni utiifu tu wa nidhamu kwa mume wako ila haupaswi kumtegemea kiumbe yeyote isipokua Mungu na sio kweli km lzma umtii kwa kila analolitaka ni utiifu tu km unavyowatii wazazi wako jema unakubal na baya una uhuru wa kukataa
No.5 na namba sita ni hivo hivo

Mtoa Mada ungefanya utafiti kwanza ukazielewa sheria za dini usifate mkumbo inaonesha hata huko RC si muelewaji wa dini usingefika kabisa hapa imani hasa ikikukaa moyoni hufikirii hata kubadili na kufika kuomba ushaur shida ya binadam inakuja pale unapochanganya matendo ya mtu na imani yake kwa mfano mimi kitu ambacho sijawah kupoteza hata sekunde kufkiria kubadili basi ni dini nimezaliwa nayo nimekua nayo na nitakufa nayo wakunibadilisha hayupo kwa mtu na haitowezekana hata niishi miaka yote bila mume
 
Mimi nataka nitoe faida kidogo ya kielimu juu ya jambo husika. Watu wengi wamekuwa hawalitilii mkazo suala la kiimani yaani dini katika mahusiano. Lakini suali la msingi,ni kwanini watu leo hii tumefikia hapa ?

Jibu ni jepesi sana,nalo ni uchache wa elimu juu ya imani zetu. Ukweli usio na shaka ni kuwa dini ni mfumo wa maisha yaani vipi uishi na wenzako,vipi ufanye biashara,vipi uamiliane na wenzi wako,vipi uishi na majirani zako na uoe,vipi ulee na mengine yasiyokuwa hayo.

Hayo yote unayapata katika dini. Ushauri wangu ni kuwa kama umeikubali imani yako basi basi ishi kindaki ndaki kama imani yako inavyokutaka,na kaa ukijua ya kuwa huwezi kutenganisha suala la mahusiano na imani,nasema tena na tena huwezi kutanganisha viwili hivi.

Mathalani,mimi nimekuwa katika imani niliyo nayo,bali nikajifunza imani yenyewe,basi sikuwahi kuwaza kuja kuwa na mahusiano na mtu ambaye si wa imani yangu sababu siruhusiwi kufanya hivyo. Wala kumpenda kimahusiano ya kimapenzi mtu ambaye si wa imani yangu.

Wanazuoni wanasema " UKITAKA KUIHARIBU JAMII,BASI RUHUSU MAHUSIANO YA KIMAPENZI KWA WATU WENYE IMANI TOFAUTI"

Hapo lazima jamii iharibike.

USHAURI WANGU KWAKO

Jitafakari upya angalia wapi ulikosea kisha rekebisha ulipokosea usonge mbele.

ZIADA

Kwetu sisi waislamu tumeruhusiwa kuwaoa wasio kuwa waislamu yaani AHLUL KITAB (Wayahudi na manaswara),kwa masharti yakitimia masharti hayo unaweza kumuoa asiye kuwa muislamu japokuwa kuna mjadala juu ya jambo hili.
 
Umetoa hoja ya msingi saana Mkuu, mi mwenyewe ni muislam teena alielelewa kwenye misingi ya Imani lakini tukija kwenye suala la kua na mwanamke zaidi ya mmoja staki kusikia na siwezi kufanya hivyo japo sijaoa.
Kaka wewe ni muislamu,ila hupaswi kusema maneno hayo unakosea. Jambo kama hupendi kulifanya au huwezi,bora ukae kimya hilo ndio chaguo bora zaidi.
 
hivi hujui jinsi ya kumuacha mtu unayempenda kwa moyo hivi unajua kuwa sio rahisi kuanza mwanzo hivi unajua kuwa kuwa mpweke ni mbaya hivi unajua ni ngumu kumsahau mtu anayekupenda kwa moyo ni ngumu kufuta kila kitu kirahisi tu labda hujawahi kupata mapenzi ya kweli .
hujawahi kudekezwa hujawahi wewe so usiongee upuuzi kisa ni dini yakoo .
umenielewa
Nafahamu na samahani kama nimekukosea. Na wala sikukushauri ubadilishe dini. Ila ulichoandika post no. 159 sio sahihi.ndio maana nikakwambia aliyekudanganya muulize vizuri kama hayo yanauhusiano na hiyo dini. Nivizuri kuandika vitu unavyovifahamu na unauhakika navyo, sio unavyovihisi bila kuwa naujuzi navyo.
 
so mnashauri nibadili dini
Maamuzi ni yako bibie...ila mmh haya mambo ya kubadili dini kwaajili ya mapenzi huwa yanaleta shida sometimes! Fanya maamuzi sahihi akili yako inavyokutuma.
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Wanatangaza faster kwa sababu wako katika mkakati wa kusilimisha wakristo, nina mfano hai, kwao taraka sio deal hata kwenye simu unapewa taraka, hivyo kufunga ndoa sio kifungo sana kwao. Uchaguzi ni wako.
 
Hao wanaokataa mbona hawakuoi sasa unajichelewesha tuu! ngoja uzeeke ndio utajua faida ya Rc
 
Sema hata wewe mkuu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] na ndiyo kampa kwa haraka na mwenzie atakuja hivyo hivyo
Hahahah mkuu me nasema kweli asije juta huyo ndugu yetu.any way tumuache mwenyewe afanye maamuzi.
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Usije ukabadili din sababu ya ndoa badili din ikiwa umeridhishwa na hoja zao
 
Mkuu sijui unafata biblia gani?! waisraeli wa kale na wa leo wanamkana Yesu,waisrael wanamchukulia Yesu kama tapeli tu,waisrael wanafata mafundisho ya Taurat hawana habari kabisa na agano jipya,hawana habari kabisa na Gospel,usijidanganye..
Wewe usijifanye hujui kufatilia uzi. Soma huko juu upate elimu sio kuleta vitu virahisi rahisi. Wakristo halisi ni wanafunzi wa kristo. Neno linasema hivi katika Wagalatia 3:29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi. Hivyo mkristo anakuwa uzao wa Abraham kwa imani. Anayemkataa kristo sio muisraeli hata awe amezaliwa katikati ya uyahudi. Sijui utalielewa hili maamuma
 
Mkuu sijui unafata biblia gani?! waisraeli wa kale na wa leo wanamkana Yesu,waisrael wanamchukulia Yesu kama tapeli tu,waisrael wanafata mafundisho ya Taurat hawana habari kabisa na agano jipya,hawana habari kabisa na Gospel,usijidanganye..
Achana na visini vinavyoongozwa na mapepo
 
Dini zote zinatokana na Ibrahimu(radhiyallahu annu= Radhi za mwenyezi mungu zimfikie),Ukatoliki ni dini gani?!,nani mtume wa dini inayoitwa Katoliki,kama umekusudia "Roman catholic" jina linajieleza wenyewe,..

Je Roman Catholic ni dini iliyoletwa na Yesu,Je Yesu aliwambia wanafunzi na wafuasi wake kuwa anayoyahubiri ni ukatoliki!!?,

Mimi sijaongeza chochote isipokuwa nimeweka mistari kutoka katika BIBLIA,Au unapinga maandiko ya BIBLIA!!??kama hupingi sasa hasira za nini!!??

Je Ugalatia ni kitu gani!!,

Mkuu mimi ni mwislam dini yangu inafata mafundisho ya Ibrahim,ya Musa,ya Daudi,ya Isa(yesu) na ya Muhamad

Uislam umeanzishwa na katoliki ili kuwadhibiti wayahudi na wa protestant mkuu,hivyo uuheshimu tuu mkuu
 
Na hiyo ndio nchi ambayo mafuta hayakauki,.na ni nchi ambayo Mungu kaahidi kuwa hatakuwa maskini mpaka mwisho wa dunia...

Acha uongo mkuu,vitu vingine angalia watu wa kuwadanganya.

Saudi Arabia mafuta yanakauka,na wao wanajua hilo ndio maana wana mpango mkubwa wa ku diversify uchumi wao ili kutotegemea mafuta.Kasome mpango wa saudi arabia wa vinu 16 vya nuclear,na kasome Saudi Arabia Mega city Neom utakaogharim dola bil 500.Mafuta yanaisha Saudia!
 
Olewa Dada nimeona watoto WA Mchungaji WA tatu wrote WA kike kila mchumba akija muislam Na wrote wamebadili dini wameolea Na wamejenga miji yao
 
naombeni ushauri mimi ni msichana ambaye kwa muda sijawa na mtu nilitangaza hapa nimepata mtu nimempenda amenipenda.
ila sasa kazi ipo yeye ni muislamu.
naanataka nibadilishe dini.
kwetu ni nope .
ni imani tosha walishakata niolewe na dini tofauti kwao juzi tumeenda hali ndio hiyo.
nimechoka kabisa.
naombeni ushauri.
maana wakristo hawatamkii ndoa ila nikipata waislamu.
wanadai ndoa fasta.
hata miezi sita hafikii.
so niko njia pandaa hadi now.
Suala la kubadili dini ni suala la kiimani na pia ni suala binafsi

Unapaswa kuamua wewe mwenyewe pasipo kutuuliza sisi.
 
Wale jamaa wao ndoa zao wanakaa kwa janvi wakichoma ubani na kunywa uji au Maji tu shughuli imekwisha na tayari ushaitwa mke wa fulani na ikitokea umekwaza hata maaa machache tu baada ya kufunga ndoa Ana uhuru wa kukupiga chini sa ndomana wao ni wepesi sana kutangaza ndoa.

Sisi huku taratibu zipo tofauti na ndefu kidogo, na mwanaume anapaswa ajiridhishe na anayetaka kumuoa maana baada ya kufunga ndoa tu basi anajua wazi kwamba "alichokiunganiha Mungu, binadamu asikitenganishe" hata kama utakuwa na mapungufu kiasi gani anatakiwa avumilie.


Sasa kupanga ni kuchagua, kazi ni kwako.
 
Ninachoona hapo. Ni mambo Mengi ila Haya yanatosha.
You are desperate to get married. Na hii ni mbaya.
Mbili. Unamsemea Mwenzako eti tunapendana ,if so Kwanini Yeye akimbilie wewe ubadilishe dini. Mana hapo Kama imekuwa ngumu kwako why not him. Narudia so long As Mnapendana kama unavyodai.
Tatu. Are you ready to be the first wife kati ya 3 watakaokuja.
Nne. Unaweza olewa ndoa ya mseto. Ukabaki na dini yako.
Tano. Hakuna the same formula kwenye mambo haya. Inategemea sana. Nyie wawili.
 
Back
Top Bottom