mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Jamaa anawaonea wivu hadi watoto wake😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimesemaSasa unasemaje nakunyima haki yakuchart.humu ??
Unamanisha nini?? SijakuelewaWapi nimesema
Wala usikonde, upo sawa kabisa. Kwanza umenikosha, nimeipenda staili yako. Natamani ungekua wangu ila ndio hivyo tena, asiye bahati habahatiki.. 😌😌😌Binafsi vazi langu official nikiwa nyumbani ni tight(zile ndefu) na tshirt kubwa kubwa....sijazoea kuvaa dera/gauni wala sketi fupi
Napitia comments kwa umakini sana kuona kama ni sawa ama sio sawa
Aweke picha kwa faida ya members...
Hapa ni bongo sio ulayaWatoto hao wana umri gani? Mbona ulaya wanakua na chupi tyuuh na hakuna tatizo.
Bongo ku complicates nyingi mnoo lol
Mwanzoni wanakuja kama kondoo... Mapichapicha unaanza kuyaona baada ya miaka miwili ya kuishi naeYe alitumwa na nani kuoa mwanamke wa hivyo!? Hapo alikosea mwanzoni kabisa
Unapiga chini.. Hamkubandikwa na super glue.Mwanzoni wanakuja kama kondoo... Mapichapicha unaanza kuyaona baada ya miaka miwili ya kuishi nae
Unamaana kua mkeo lazima umuonye akisikilize mkuu,sio ???!!!Kama kumuonya na hasikii basi huyo sio mke wake
Kwakifupi huyo jamaa yako uzuri unamchanganya ndio maana kashindwa kufanya uamuzi.