Ni sahihi mke kuvaa skin tight mbele za watoto wake wa kiume?

Ni sahihi mke kuvaa skin tight mbele za watoto wake wa kiume?

Wazazi wa kike wa siku hizi wamekua watu wa hovyo kabisa hawana maadili ya kulea watoto wao matokeo yake mapunga na wasiotaka kuoa kuongezeka

Si vyema mama kuvaa mavazi ya kutatanisha mbele ya watoto wako wakiume haswa kwa wale walio kwenye balehe na waliokwisha balehe

Binafsi namuona mpuuzi na mpumbavu mama mtu mzima asiyevaa na kuzungumza kwa heshima.

Nb
Kumbuka unapotafuta mwanamke wa kuoa sio tu unatafuta mke bali unatafuta pia mlezi wa watoto wako, zingatia
 
Heri ya nane nane wakuu
Ebana,nimepokea kesi moja hapa mezani kwangu ikimhusu jamaa yangu flani hivi.
Kesi yenyewe iko hivi,jamaa ameoa hawa totoz wa mjini na kamzalisha two kids za kiume.umri wa shemeji ni 30+ kwa kumkadiria but shemeji yeye pigo zake akiwa home huwa ni skin tight tu na mavazi mengine ya hasara hasara,jamaa anasema keshamuonya sana shemeji kuhusu kuvaa mavazi ya hasara mbele za watoto wake wa kiume ambao wote wana miaka chini ya 10 lkn shemeji haelewi.
Sasa jamaa ananiambia usiku huu karudi home kamkuta shem kapiga tight moja inambana sio poa afu yuko na watoto wake wa kiume wanacheck tamthilia bila wasiwasi.
Jamaa kamuita chumbani kamwambia avae kanga ila shem kanuna?
Je imekaaje hii issue wakuu?
Kwahiyo Bumunda linatuna mbele ya watoto na yeye anaona poa
 
Heri ya nane nane wakuu
Ebana,nimepokea kesi moja hapa mezani kwangu ikimhusu jamaa yangu flani hivi.
Kesi yenyewe iko hivi,jamaa ameoa hawa totoz wa mjini na kamzalisha two kids za kiume.umri wa shemeji ni 30+ kwa kumkadiria but shemeji yeye pigo zake akiwa home huwa ni skin tight tu na mavazi mengine ya hasara hasara,jamaa anasema keshamuonya sana shemeji kuhusu kuvaa mavazi ya hasara mbele za watoto wake wa kiume ambao wote wana miaka chini ya 10 lkn shemeji haelewi.
Sasa jamaa ananiambia usiku huu karudi home kamkuta shem kapiga tight moja inambana sio poa afu yuko na watoto wake wa kiume wanacheck tamthilia bila wasiwasi.
Jamaa kamuita chumbani kamwambia avae kanga ila shem kanuna?
Je imekaaje hii issue wakuu?
Huyo shemeji yako ana cha kulindia mpunga,almaarufu mkia? Na kwanini mwamba anakushitakia wewe kwani wewe ni paroko?
 
Mimi tu nikionaga mdada kavaa taiti kitumbua kimevimba,hadi sasa sijawahi kujikontroo kuona ile sehemu,wengine hadi pale paluingiza panakua panaonyesha kashimo,aisee... inasimama hatari.Huyo mama ajiheshimu basi,anawafedhehesha watot😵na kitumbua cha mtu ambaye siyo ndugu yako,na siyo ndugu yako.
Hahahaha 😂 teacher angalia usiende kula watoto wetu
Utaenda jela
We bado unajitafuta
Acha tamaaa
Ukiona chup ya student pita mbali sana
Dedication 20% song Acha tamaaa mbaya
 
Wanawake hawanaga akili wao wanaona mtoto wa kiume ni kama wa kike.kama wewe ni Baba wa mtoto wa kiume vitu kama hivyo ni kutoa AMRI na ukirudia mara ya pili unamshtua na makofiiiiiii kidogo akili zinarudigi wakinaswa makofi.
 
Back
Top Bottom