SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
ephen_ kwani raraa reree ni mumeo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SweetyCandy taratibu basi 😆ephen_ kwani raraa reree ni mumeo??
Hapanaephen_ kwani raraa reree ni mumeo??
Sasa unasemaje nakunyima haki yakuchart.humu ??Hapana
Sema tuSweetyCandy taratibu basi 😆
Kwahiyo Bumunda linatuna mbele ya watoto na yeye anaona poaHeri ya nane nane wakuu
Ebana,nimepokea kesi moja hapa mezani kwangu ikimhusu jamaa yangu flani hivi.
Kesi yenyewe iko hivi,jamaa ameoa hawa totoz wa mjini na kamzalisha two kids za kiume.umri wa shemeji ni 30+ kwa kumkadiria but shemeji yeye pigo zake akiwa home huwa ni skin tight tu na mavazi mengine ya hasara hasara,jamaa anasema keshamuonya sana shemeji kuhusu kuvaa mavazi ya hasara mbele za watoto wake wa kiume ambao wote wana miaka chini ya 10 lkn shemeji haelewi.
Sasa jamaa ananiambia usiku huu karudi home kamkuta shem kapiga tight moja inambana sio poa afu yuko na watoto wake wa kiume wanacheck tamthilia bila wasiwasi.
Jamaa kamuita chumbani kamwambia avae kanga ila shem kanuna?
Je imekaaje hii issue wakuu?
Huyo shemeji yako ana cha kulindia mpunga,almaarufu mkia? Na kwanini mwamba anakushitakia wewe kwani wewe ni paroko?Heri ya nane nane wakuu
Ebana,nimepokea kesi moja hapa mezani kwangu ikimhusu jamaa yangu flani hivi.
Kesi yenyewe iko hivi,jamaa ameoa hawa totoz wa mjini na kamzalisha two kids za kiume.umri wa shemeji ni 30+ kwa kumkadiria but shemeji yeye pigo zake akiwa home huwa ni skin tight tu na mavazi mengine ya hasara hasara,jamaa anasema keshamuonya sana shemeji kuhusu kuvaa mavazi ya hasara mbele za watoto wake wa kiume ambao wote wana miaka chini ya 10 lkn shemeji haelewi.
Sasa jamaa ananiambia usiku huu karudi home kamkuta shem kapiga tight moja inambana sio poa afu yuko na watoto wake wa kiume wanacheck tamthilia bila wasiwasi.
Jamaa kamuita chumbani kamwambia avae kanga ila shem kanuna?
Je imekaaje hii issue wakuu?
Vp ulituma maombi ya ajira zilizitoka?Mkuu siyo kila mtu unamjibu,focus kwenye ulichouliza.
Kawa...nini?View attachment 3064842kama hii au?
Hahahaha 😂 teacher angalia usiende kula watoto wetuMimi tu nikionaga mdada kavaa taiti kitumbua kimevimba,hadi sasa sijawahi kujikontroo kuona ile sehemu,wengine hadi pale paluingiza panakua panaonyesha kashimo,aisee... inasimama hatari.Huyo mama ajiheshimu basi,anawafedhehesha watot😵na kitumbua cha mtu ambaye siyo ndugu yako,na siyo ndugu yako.