Kurudi Saa mbilii ndo mwanamke anaanza kufoka hivii?..
Haswa lengo la mtuma meseji ilikuwa ni kusababisha taharuki kwenye ubongo wa mlengwa.Hiyo message imekaa kidharau dharau flani hivi.eti kuepuka usumbufu, inamaana mtu kurudi nyumbani kwake akagonga mlango ni usumbufu?
Washa makofi huyo akili ikae sawa.
Wakati mwingine sisi wanaume huwa tunaanzisha ugomvi kwa mambo madogo sana. Jambo kama hilo halihitaji hata akili ya la saba kuling'amua ila mnataka kuanza ku complicate.Kazi yake ni nini sasa?
Mzee kwani vitasa vina funguo moja ....? [emoji1][emoji1][emoji1]✓ Wakati mwingine funguo inaweza kupotea kisha ikawa msala kwa aliyefungiwa mlango kwa nnje kwa ATHARI zifuatazo;
1. Mke anaweza kuhitaji msaada wa ghafla ikiwa anaumwa na msaada zaidi wa karibu ukawa ni mumewe lakini bahati mbaya mtendao wa simu usiwe vizuri.
2. Anaweza kuzidiwa akashindwa kujikongoja hadi kufungua geti ili apate msaada hata toka kwa Jirani au kwa wapita njia.
✓ "Usumbufu" inamaana kurudi kwa Mumewe ni kero kwake ilihali usikute ni yeye mwenyewe ndiye sababu ya Mumewe kurudi usiku sana home tokana na gubu.
✓ Haiba ya kike huanzaga kuondoka kwa jinsi ujumbe unavyowasilishwa kwa Mumewe kwa lugha isiyo rafiki kimahusiano maana Me yeyote ajitambuaye hupenda utii toka kwa Mke.
✓ Watu wengi wameandika kimuhemuko bila ya kuangalia upande wa Me unasababishwa na ulazima upi hadi awe anamgongea Ke wake kufungua geti.
✓ Me anaweza kuajiri House Girl akawa anatelekeza yote kisha akawa Mke mwenza wa huyo Mke halali wa ndoa sababu ya uvivu wa kijinga.
Boss Mimi ni mwanaume na siwaendekezi wanawake ila kwa hili namtetea huyo dada .Huyo mwanamke hayupo sawa, wengi waliocomment humu ni wanawake na wadhani ndoa ni kula, kuzaa na kulala. Yaani kwa mrindo wa fikra za humu mwanaume unakuwa kama mtu wa nyumbani yani uwahi kurudi kila siku na ujinga mwingine, wanume wana mambo mengi, unaweza kuta anachelewa kuna kazi imemtinga huko au kapitia kupata kinywaji kidogo na washikaji na kuna mambo ya msingi wanabadikiahana au tuu anapunguza mawazo kutokana na magumu anayopitia lakini wanawake wanawaza tu mme arudi mda wa kuku kulala km mke mwenza. Mwanaume ni HERO sio msaidizi wa domestic works. Ofcoz hii isizi ikawa kila siku mme anarudi usiku wa manane amelewa, HAPANA!
Yupo sahihi tena sana tu.Yani mama wa watu anakuwa na tension muda wote asilale ili kumfungulia mtu asiyejulikana atarudi saa ngp!Si sawa kabisa, hata mimi nisingemfanyia hivo.Ningebeba ufunguo saa ya kurudi nirudi nilale kimyaaa bila usumbufu. Huo u Mungu mtu si mzuri.Mi naona yupo sahihi.. kumuamsha mtu aliyelala akufungulie sio fair
Si upo kwa mama b grocery, wote jF hapa tunajua itakuwa mkeo. Acha wenge, beba funguo zakoHajui hata niko wapi nafanya nini?
Hahahahahah hii ndoa ni ya Mwendokasi, sikiliza hii, umelala asubuhi halafu Wife ameamka anaandaa watoto, ukisikia anasema hivi "Yaani mnafikiri Mimi sichoki? Niamke niwaandalie Kila kitu halafu nyie mmelala tu, hata Mimi nachoka"! Ukisikia maneno kama haya anayesemwa ni wewe na sio watoto. Huhitaji kupaniki.....Kwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Mwambie ampe Funguo Housegirl, uone huo ugomvi wake, Yuko radhi akeshe anakusubiri Hadi pakucheKwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Tena unamwamsha ukitoka ulevini. Bora hata ingekuwa unatoka safari au mihanjo ya utafutaji.Mi naona yupo sahihi.. kumuamsha mtu aliyelala akufungulie sio fair
Kwahiyo ni ww sio rafiki yakoHajui hata niko wapi nafanya nini?
Nimeipenda I'D yako mpendwaAroooo, kumbe kuna kufungua na mageti pia, ngoja tuwndelee kusubiri subiri.
Mkuu si useme tu kuwe ni wewe uliyetumiwa details za ndani hizi unazijuaje?Huwa wanafanya alfajiri
Kama mwanaume mwenzako nadiriki kukwambia kuwa una akiri finyu kuhusu mahusiano na ndoa kiujumla mkuu. Being submissive to you doesn't mean you should treat her like a house maid kwamba kilakitu anapaswa afanye yeye hata kama mpo wawili tu ndani ya nyumba. Yaani utoke huko kwenye starehe zako tena usiku na mlango ufunguliwe kila siku. Hayuko pale kukustarehesha kimapenzi tu bali furaha yako iwe yake, ya kwake iwe yako na karaha zote ziwe zenu wote.Kazi yake ni nini sasa?
Kwa hiyo niwe natembea na funguo tu mfukoni kisa mwanamke hawezi fungua mlango??? hujafunga mlango unapoondoka asubuhi funguo unatembea nayo ili iweje?? Haya ndo mambo mwanamke anakufokea tu kifalaaa....Kufunguliwa mlango hata saa6 mchana ni ufala. Huna funguo? Hana shughuli zingine za kufanya? What's so special about kufunguliwa mlango na kwanini wewe unataka ugonge kwako?
Matatizo ya mitanganyika hayatatuliwi hata na katiba mpya.