Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Kurudi Saa mbilii ndo mwanamke anaanza kufoka hivii?..
Kufunguliwa mlango hata saa6 mchana ni ufala. Huna funguo? Hana shughuli zingine za kufanya? What's so special about kufunguliwa mlango na kwanini wewe unataka ugonge kwako?
Matatizo ya mitanganyika hayatatuliwi hata na katiba mpya.