Kyagata ni kijiji huko UKURYANI, hivyo yawezekana mwandishi ni Mkurya......Niseme nini tena?Kwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
kumbe ni wewe, umejisema bila kujuaHajui hata niko wapi nafanya nini?
Inategemea na mwanaume. Vijana wengi wanapenda kusaidiwa majukumu na mwanamke. Ukiruhusu hili kubali kupoteza upande wa pili wa kuabudiwa na kusujudiwa kama mwanaume na ukikaa vibaya mtapangiana mpaka kazi za ndani kwa zamu.Mwambie ampe Funguo Housegirl, uone huo ugomvi wake, Yuko radhi akeshe anakusubiri Hadi pakuche
Yuko sahihi kabisaKwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Si Sawa kusumbuana usiku...me naona ni Sawa kugawana funguo za nyumbaHajui hata niko wapi nafanya nini?
π π π πni hatarii sana mwanamke kuna vitu anasema kukupima upepoo yani ukijaa tu umekwishaaa anajua hili falaaakama ni wewe mkuu fukuza huyo mwanamke hafai kabisa kwani amekuja kulala hapo mpu....vu huyo kufungua mlango usiku wa manane wakati umerudi kunywa walwa hiyo ni moja ya majukumu yake
Hilo swali yuko sawa,si uko hapo grocery kweli na unapiga vyombo,na inaonekana ukipiga hivyo vyombo vyako unakuwa msumbufu sana...Hajui hata niko wapi nafanya nini?
wewe una akili nyingi sana kama hivi ukikubali kuchukua funguo kwa amri yake kesho atakwambia uoshe ma hotpot na hutokataa kuna demu nilikaanae mwaka na nusu kwa amani na akazaa na mtoto akanipanda kichwani siku moja tu kunijaribu siku hiyo hiyo aliondoka mtoto akiwa na wiki mbili tangu kuzaliwa vikao vitatu vya familia havikufua dafu hadi leo ni singo mazaπ π π πni hatarii sana mwanamke kuna vitu anasema kukupima upepoo yani ukijaa tu umekwishaaa anajua hili falaaa
yaah wanawake wote wana hiyo tabiaaa... mwanamke anaweza asiwe na vitabia vya ovyoo unapomuoaa ila ukianza kuishi nae tabia zake kubadilika inategemeana na wew unaishi nae vipi usimchekee akizingua washa motowewe una akili nyingi sana kama hivi ukikubali kuchukua funguo kwa amri yake kesho atakwambia uoshe ma hotpot na hutokataa kuna demu nilikaanae mwaka na nusu kwa amani na akazaa na mtoto akanipanda kichwani siku moja tu kunijaribu siku hiyo hiyo aliondoka mtoto akiwa na wiki mbili tangu kuzaliwa vikao vitatu vya familia havikufua dafu hadi leo ni singo maza
kama amechoka arudi kwa wazazi wake huko atalala kwa amani mustarehe bila kusumbuliwa ebooooHapo SI rahisi tu amechoka tabia yako ya kurudi usiku mkubwa Kila siku kiasi cha kumkuta amelala, hapo anafikisha ujumbe Kwa lugha nyingine inaonyesha hata kitandani hapati chakula chake lazima achoke, anakuwa mlinzi geti ebooo
Wahi kurudi homeKwema wakuu?
Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.
"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"
Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
Nadhani hili ndio lilikuwa jibu murua kwake kabla ya kuleta bandiko huku, kama ulimuoa na ukamwambia Moja ya majukumu yake ni kukufungilia geti na anadai amechoka basi kibarua kimemshinda yakheee mrudishee akaoshe vyombo kwaokama amechoka arudi kwa wazazi wake huko atalala kwa amani mustarehe bila kusumbuliwa eboooo